DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
- Thread starter
-
- #21
Swali langu nimeuliza kutokana na nadharia ya “Creation theory” inayo wataja Adam na Hawa kwamba ndio waanzilishi wa watu duniani [ watu wa kwanza kuwapo hapa duniani ]. Kama unaweza kutoa majibu kwa msingi wa dini yoyote pia naruhusu ila jikite na mada zaidi [ mzungumzie mtu mweusi ].Maswali yako yote yanajibika.Kabla ya kukujibu ni vyema ukinijuza upande ambao unataka majibu yako yatokee mana kwa namna ulivyouliza ni wazi kuwa umeuliza kwa kupitia misingi ya dini hizi: Uislamu au Ukristu. Sasa kila dining kati ya hizo mbili zina majibu yake juu ya maswali uliyouliza.
Sasa unataka majibu yatokee upande gani?
Hapana sifahamu hilo.Je wafahamu kuwa abrahamu au ibrahimu ni mweusi.
Kwan nani kakwambia adam ni mweupe?Kwa hiyo ni sahihi kusema mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa mtu mweusi [ mwafrika ] mwenyewe na sio Adamu na Hawa ?
Fuvu la binadamu wa kwanza kuishi duniani, linapatokana Olduvai Gorge. Hii ni kwa mujibu wa historia. Hivyo binadam wa kwanza labda alikuwa mtu mweusi tena Mtanzania.Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.
Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili
taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.
Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?
2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?
3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?
4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?
N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Kwa hiyo swali 4 , mzungu kwa mzungu wanaweza kuzaa mtu mweusi mfano kama Baloteli ?Bila shaka huo ni mtazamo wako ila hakuna ukweli wowote.
Nadhani unafaham ama ushawahi kumskia malikia wa Sheba kutoka Ethiopia,
Malkia wa Sheba alizaa na Mfalme Suleman, mtoto aliitwa Meneliki wa Kwanza naye akamza Menelik II, Menelik II akamzaa Haile Sellasie
Swali je hao wote walikuwa watu weupe na ikumbukwe Suleman ni uzao wa Daudi generation ya Baba wa Iman Ibrahim.
Ungesema habar za Evolution kibiologia angalau ungekuwa unaelekea kweny fact japo hakuna empirical evidence.
Kwa mujibu wa tafiti Adamu na Hawa ni watu wa mashariki ya kati na watu wa mashariki ya kati ni weupe mfano waarabu, wajameni , wayahudi n.kKwan nani kakwambia adam ni mweupe?
Alikuwa ni mtu wa kwanza kwa upande wa watu weusi au ni kwa watu rangi zote duniani ?Fuvu la binadamu wa kwanza kuishi duniani, linapatokana Olduvai Gorge. Hii ni kwa mujibu wa historia. Hivyo binadam wa kwanza labda alikuwa mtu mweusi tena Mtanzania.
Sawa Asante. Kwa hiyo ni ngumu sana kupata majawabu sahihi ?Ajabu swali kama hili huwezi pata jibu. Na sababu zipo za kutosha tu.
1. Kusema Adam alizaa watoto weupe na
weusi haiwezekani.
2. Kusema walizaliwa weupe
wakatawanyika huko na kule na
kubadilika rangi, sijui. Labda kwa
miujiza.
3. Kusema kulikuwa na Adam kadhaa
weupe kwa weusi, hakuna mahali
imeandikwa.
4. Hoja ni nyingi. Lakini ili kutunza heshima
za vitabu na hao weupeweupe kuhoji ni
kama kukufuru!
5. Ukweli utabaki ukweli tu. Japo ukweli
wenyewe hatuja upata.
6. Wengine watakwambia, shida ni nini
wakati una uhai. Sawa, lakini ni muhimu
pia kukiri lipo ombwe mahali.
Akili ya binadamu huwezi izuia kuhoji kuwepo kwake duniani. Binadamu atakosa majibu lakini swali linatamalaki.
Tafiti zipi ,, natomba source niione na mimiKwa mujibu wa tafiti Adamu na Hawa ni watu wa mashariki ya kati na watu wa mashariki ya kati ni weupe mfano waarabu, wajameni , wayahudi n.k
Kwa nini sokwe wa sasa hivi hawabadiliki kuwa watu weusi? Na je watu wa rangi nyingine hapa duniani wao walitokana na nini ?Watu weusi tulitoka kwa sokwe, someni vitabu.
Kwa mujibu wa tafiti za kihistoria, kijiografia , na kitheolojia kuhusu watu wa mashariki ya kati na historia ya vizazi vyao.Tafiti zipi ,, natomba source niione na mimi
Bahati mbaya hatujui Adam na Hawa walikua race ganiKwa hiyo ni sahihi kusema mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa mtu mweusi [ mwafrika ] mwenyewe na sio Adamu na Hawa ?
Ni watu wa rangi nyeupe kutokana na watu wa mashariki ya Kati.Bahati mbaya hatujui Adam na Hawa walikua race gani
Mkuu naomba kukuuliza wewe k2wmba kwani adamu alikuwa mzungu(mtu mweupe) ?Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.
Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili
taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.
Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?
2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?
3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?
4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?
N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
SikupingiMwalimu wa history alisema tumetokana na sokwe sijui sokwe sijui nyani....na mi namuamini hakunidanganya
Mbona sokwe na nyani wa sasa hivi hawawi watu weusi?Mwalimu wa history alisema tumetokana na sokwe sijui sokwe sijui nyani....na mi namuamini hakunidanganya
Adamu na Hawa kwa mujibu wa tafiti mbalimbali hakuwa mzungu bali mtu wa mashariki ya kati ambapo watu wake sio wazungu.Mkuu naomba kukuuliza wewe k2wmba kwani adamu alikuwa mzungu(mtu mweupe) ?
Kama alikuws mzungu ni kwa mujibu wa maandiko gani ?