Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane, tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe

Ni ushauri mzuri. ila watu wazima wenye tabia za kitoto wanaudhi, ukikumbana naye piga hata makofi, hao ndio waliotufikisha hapa tulipo.
 
Io haipo sawa km kakuudh mwambie pale pale mm hii cpend akigudia unashusha nondo unajua kuna baadh ya watu wazima hutumia utu uzima wao kupelekesha watu sitosahau kuna jimama moja nililiheshimu ila nilichokipata adi leo nikikutana na mmama mtu mzima km sihitaj msaada wake namsalimia za saiz ila km nahitaj msaada wake namuamkia
 
Ukiona kijana anamtukana mtu mzima bila uwoga jua tatzo lipo kwa mama mlezi,alikuwa hampi kalipio,onyo au viboko kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa watu waliomzidi umri.
Very true...
 
Rais Magufuli ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
 
Mkuu hawa vijana wanaharibiwa na viroba na bange hasa hawa wanaohitimu vyuo siku hizi, wakishajiona wasomi basi ni kumkoromea kila mtu. Pia malezi mabovu kutoka kwa wazazi wao yanachangia sana..sana...ngoja niishie tu hapa.
 
Wale Mabeberu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Magufuli madini yetu yasingekuwepo.
 
yani ukasubiri hadi kesho yake ndio ukauliza kisa cha ugomvi? kaka hebu tunga hadithi zako kwa umakini
 
Kumkwepa sio suluhisho.

Bora angemfata kistaarabu na kumwambia jinsi utani wake unavyomkwaza.

Kuna wazee wengine wapuuzi sana aisee,
[emoji38]kuna bibi juzi kamwambia jamaa yangu "unaniona fala ?"[emoji28] yule bibi ana maneno machafu sana ,siku nyingine kamtukana jamaa yangu mwingine "muone ulivo mweupe kama m*und* wa nyani"
 
yani ukasubiri hadi kesho yake ndio ukauliza kisa cha ugomvi?
Tetesi za chanzo cha ugomvi nilikuwa nazo muda ule ule lakini yule kijana bado alikuwa na hasira sana na nisingeweza kukaa naye ili tuongee kirafiki juu ya usahihi wa tetesi zile na namna bora ya kumpa psychological counselling...
 
Mkuu ni vile tu Rais Magufuli anatoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi ni 98%.
 
Kuna watu wazima ovyo

Ashalowa mitusi next time atakuwa na adabu .

Unaleta utani wa kijinga kisa umenizidi umri

Mi nakuchana halafu naishia

Utajijua mwenyewe huko nyuma ulie ,ukashtaki,ukatambike shauri yako .
 
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Magufuli ataitupeleka uchumi wa juu.
 
Ccm haiwezi kuiba kura, Rais Magufuli anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha lowasa na huyo msaliti wa Nchi.
 
madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October tunampigia kura Magufuli kwa 98% Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…