Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane, tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe

madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October tunampigia kura Magufuli kwa 98% Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania.
Unakera brother. Haina haja ya kutumia accounts mbili kwenye uzi mmoja.

Uzi wako umekuwa wa kipumbavu kwa sababu hauna akili wewe na huyo magufuli wako.

Kama unampenda sana kampe tigo badala ya kuleta uzi halafu unajijibu hovyo hovyo kwa multiple accounts!
 
Acha kunifananisha mimi na watu wa ajabu ajabu. Njoo ccm basi
 
Kumbuka hata Wajinga nao huzeeka.
Kumkwepa anayekukwaza ni kuendekeza unafiki.
Kumtukana ni kujidhalilisha mwenyewe pia.
Ila kumchana live Mzee jiheshimu ni jambo sahihi zaidi.
 
Vita ni Vita ukiwa uwanja wa mapambano na unahisi kuzidiwa na adui ni kufwatua tu bila kujali madhara
 
utan mbaya
 
Ngoja kwanza, wewe ni rika moja na yupi kati ya wagomvi hao?

Huenda huyo unayemuita Mzee hapa wala hakukwazika na matusi hayo, wamezoeana ni utani wao miaka na miaka.
 
Nilichoelewa hapo ni kuwa ulilala huko huko Tabata, tena sebleni kwenye kochi... kesho yake ukapata kufuatilia utani wa watu.
 
wazo jema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…