Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

Ulimbukeni ni tatizo la kitaifa...
Wasanii sio tena kioo cha jamii...
Ulimbukeni na elimu ndogo vitatutesa sanaaaa... Kuanzia viongozi mpaka wananchiiiii.... Ulimbukeni mbaya sana....
Tunapotea kama taifa... Sio tu kwamba hatujui tunapoenda lakini pia hatujui tutokako... MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
SEMA mange anaroho ngumu Sana.. hatakuua anaweza nahisi alichofanhiwa Baba Yale kilimuharibu Sana kisaikolojia
 
Tatizo watu sikuiz wanafanya Ngono/matusi badala ya kufanya mapenzi, ujuaji umezidi.!!

Mkiwa faragha mnafanya mapenzi hamuez pata huo muda wa kujirekodi
Tanzania ni nchi ya mabwege, hizo picha hazijavuja, wamerwkodi na kuvujisha kimakusudi:
1. Wanauza habari kwa mange
2. Kiki za kuzindua uzi
3. Sifa za kijinga.

Tunateswa na kutimiza malengo ya wajinga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mdogo ako yupii? Wee wadogo zako kwa upande wa baba wako Hong Kong, upande wa mama wako boko magengeni

Sasa unazungumzia yupiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namzungumzia mdogo wangu aslay isihaka πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila one day yes ntafika hongkong kwa ndugu zangu.
 
Mkuu, chief, kiongozi,mwamba! Nidondoshee huko pm na mie nikodolee macho
🀣🀣 kwa mujibu wa sheria ya TCRA ni kosa kusambaza picha au video yenye maudhui ambayo siyo mila na desturi za watanzania. Unaweza kwenda jela miezi 6 au faini isiyopungia milioni 1 au vyote kwa pamoja.
 
sina mengi ila badilisha hiyo simu, tangu 2019 upo nayo hiyo ni nyumba?
Hujasikia MwanaFA aliwahi kuimba "Ukiwa Mkubwa utatamani kuwa kama Mimi, shati navaa la Jana ila gari nimebadiri" πŸ˜…πŸ™Œ

Nisaidie kunipigia chapuo Kwa Wajukuu zangu waninunulie Babu yao Smartphone mpya 😜
 
Mkuu kama ni kweli basi huyo manzi ni zwazwa huku kwetu tayari wangeshaKugeuza ndondocha.
 
🀣🀣 kwa mujibu wa sheria ya TCRA ni kosa kusambaza picha au video yenye maudhui ambayo siyo mila na desturi za watanzania. Unaweza kwenda jela miezi 6 au faini isiyopungia milioni 1 au vyote kwa pamoja.
Mkuu,
Naona umeamua kuutetea uchoyo kwa kutumia vifungu vya sheria sawa bwana faidini wenyewe tu sasa😒😰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…