Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

Hizo video Mimi huwa nazisikia wala siwezi kuchoma bando kutazama ujinga Kama huo.


Aslay na wasanii wakibongo wengi hawana mpango wa kufika juu wana complacent attitude hali ya kuridhika na hapo walipo.

Hasara wanazopata hawa wacheza X

Huwezi kupata credibility katika Decent company as well huwezi kuwa reputable the same u used to be.

Hiyo mil 2 wanazolipwa na Mangie ili wamuuzie hizo clip ni hela ndogo Sana to compare with trusting and credibility. Utakayoipoteza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan angetoa ngoma fastaaa kutembea na upepo, mbona angekusanya pesa mingi sana.
Wasanii watanzania wengi wapo financial broke

Jambo kubwa linawatesa wasanii huwa hawaelewi kazi za ubinifu kama uandishi, kuimba, kuchora, n.k ni kazi zinazotegemea well -being yako

Sasa Aslay kuna muda alikuwa ana uwezo mzuri kuandika na kuimba nyimbo 2017-19 the guy was on peak alikuwa katika kielele.

Sasa zile pesa zote alizopata kufanya show kila mkoa kila wilaya aliishia kuwekeza katika outlook, showoff za hapa na pale wanawake,pombe n.k

Faida zake.
Kufirisika kimuziki kushindwa Ku to a hit song na kukosa consistency katika career yake ya muziki.

Matokeo
Aslay na BAADHI ya wasanii wanauza Video zao uchi kwa mil 2 kwa mange .hii inaashiria Aslay yupo broke kiuchumi.

Kuhusu kufirisika MTU akiwa hedonistic person - swala ya kuwa broke ni kawaida .
 
Wasanii watanzania wengi wapo financial broke

Jambo kubwa linawatesa wasanii huwa hawaelewi kazi za ubinifu kama uandishi, kuimba, kuchora, n.k ni kazi zinazotegemea well -being yako

Sasa Aslay kuna muda alikuwa ana uwezo mzuri kuandika na kuimba nyimbo 2017-19 the guy was on peak alikuwa katika kielele.

Sasa zile pesa zote alizopata kufanya show kila mkoa kila wilaya aliishia kuwekeza katika outlook, showoff za hapa na pale wanawake,pombe n.k

Faida zake.
Kufirisika kimuziki kushindwa Ku to a hit song na kukosa consistency katika career yake ya muziki.

Matokeo
Aslay na BAADHI ya wasanii wanauza Video zao uchi kwa mil 2 kwa mange .hii inaashiria Aslay yupo broke kiuchumi.

Kuhusu kufirisika MTU akiwa hedonistic person - swala ya kuwa broke ni kawaida .
Poleee yao sanaaa, Duuuuh.
 
Yaani ukitaka tugombane,unitumie hayo ma connection kwenye simu yangu,nachefukwa Kwa maana watoto wangu wanashika simu yangu anytime nikisinzia wacheze game Sasa ndio wakutane na hayo maujinga....I don't like kabisa
 
Yaani ukitaka tugombane,unitumie hayo ma connection kwenye simu yangu,nachefukwa Kwa maana watoto wangu wanashika simu yangu anytime nikisinzia wacheze game Sasa ndio wakutane na hayo maujinga....I don't like kabisa
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
Upo fireee 😂😂😂😂
Utaki utani
 
Uteseke kwa kitu unachokijua ulifanya? Wangekuwa wamerekodiwa bila wao kujua hapo sawa.
Kwanini mkuu usiteseke kwa jambo lako, nini maana ya siri?

Watu hufanya ufirauni lakini hawataki jambo hilo lifahamike ama lijulikane kwenye nafsi zingine.

Mtu anakwiba kwa makusudi lakini akishikwa wizi, utasikia: 'ni njaa tu brother nisamee'.

Ni manyong'onyezo makubwa sana kwa nafsi ukiona jambo lako usilotaka watu walijuwe likawekwa hadharani.

Sisi ni binadamu, tumeumbwa na aibu na aibu hizo saazingine zinaongoza nidhamu zetu.
 
hahaaaaa!! Pepo la ngono halijawahi kumwacha raia salama hata siku moja.

Nilkiuwana video ya mke wa mtu nilimwomba nione kama yaliyomo yamo. Akajirekodi full.

Nilimtesa mbaya. Nilimwambia anipe tigo alisema yuko tayari. Nikakabadili msimamo, nataka pesa. Alinipa kama nilivyotaka. Baadaye niliamua kupiga mpunga. Hadi leo kawa mtumwa kwa vizawadi ilimradi asiniudhi nisijemwaga mzigo.
Umempata mjinga mwenye huruma zake wengine wanakutia uchizi au kifo kabisa
 
Aise nimetumiwa moja muda sio mrefu na msamaria mwema wa JF
Kumbe zipo 3 loh!!

Wakuu,naombeni mbili zilizobaki tumalizane na hili...🙏
Mie nimeona ile Aslay yuko juu ya bidada kama kifo cha mende hivi,sidhani kama alikuwa anafanya nyuma
Yani mimi anatomy ya mwanamke na kucheza nayo kila siku ila Ile kitu inahamaga
Pale alkua back yard bhn
 
Back
Top Bottom