Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni kama kuna ulazima wakuwafanyia counselling?
IpingweeeMaturity ni kutojihesabia haki...yahn wewe mwanaume kuchepuka ni sawa unajiita rijali ila mwanamke awe malaya hiyo sio sawa .......
Kuna wana wawake wanapitia magumu sana kiasi kwamba mentally anakuwa amefikia pabaya hivyo akili in a force pumziko, mwanamke wa aina hii huwezi mshauri kituHu
Huyo mke naye ni zezeta
Hisia hata nguruwe anazoKwani kuwa mme au mke wa mtu inaondoa hisia za kumpenda mtu mwingine?
🤣🤣🤣watu hawataki kunywa dawa peke yao
It's all the same mkuu, tusizipake dhambi zetu rangi, tukubali tu kuwa zote ni dhambi.Ni bora mwanaume msaliti anayetoka na mke wa mtu kuliko mwanamke msaliti anayetoka na mume wa mtu
😆😆Kwani kuwa mme au mke wa mtu inaondoa hisia za kumpenda mtu mwingine?
saa zingine kuna mistakes wanawake huzifanya kizembe sana na kuwadhalilisha wao wenyewe, waume zao na ndoa zao kwa ujumla 🐒Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.
Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.
Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.
unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,
Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?
Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.
Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?
Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?
Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.
Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??
Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.
TUJISAHIHISHE.
Ni sawa mkuu zote dhambi ila najua unaelewa ninachomaanisha uchepukaji wetu ulivyoIt's all the same mkuu, tusizipake dhambi zetu rangi, tukubali tu kuwa zote ni dhambi.
Hilo ni kweli!Sio kila unayemuona duniani ni binadamu wengine ni mapando ya shetani kuja kuvuruga watu
Ukiona mtu anajiachia hivyo jua hana cha kupoteza, watu hawataki kunywa dawa peke yao.
Yeah, uchepukaji wa me unatumia akili kuliko wa ke unaotumia hisia.Ni sawa mkuu zote dhambi ila najua unaelewa ninachomaanisha uchepukaji wetu ulivyo
💯Huyu mwanamke ambaye anajua kaolewq kwa nini agawe nje. Lawama ni kwa wote ,ke na me. Halafu ndoa nyingi siku hizi zilishajifia, watu wanaishi sababu ya watoto au kuogopa jamii.