Mtu wa namna hii aachwe kuwa kiongozi kwakuwa alipata kura nyingi?

Another sukuma gang at work.
 
Hii nchi ime collapse toka utawala wa Nyerere mpaka sasa.

CCM hii taka taka haipaswi kuendelea kutawala hapa nchini.
 
Bandiko lako lingekuwa zuri sana, tatizo limeharibiwa na hisia zako hasi dhidi ya watu uliowaponda hapo....umeharibu mno, nilifikiri unazungumza mambo kwa ujumla wake kumbe uko biased vibaya mno. Umetumia kipimo gani kuhitimisha majaliwa yuko vizuri kuliko makamba?!!!!
 
Ndio unazaa watoto wengi na hauna huwezo wa kuwahudumia unafikiri kitatokea Nini?
Kumbe shida haipo kwa watoto uliyowazaa ipo kwako wewe kama mzazi.

Watoto hao ni matokeo ya umasikini wako sio chanzo cha umasikini.

Hakuna tajiri aliyefirisika kwa kuwa na watoto wengi.

Idadi ya watu Tanzania bado ni ndogo ikilinganishwa na utajiri wa rasimali tulionao.

Jukumu la serikali ni kuongeza ufanisi kwenye urutubishaji na ugawaji wa rasimali za nchi kwa manufaa ya wote.
 
Duniani kote wajinga ndio mtaji wa wanasiasa!
 
Kufupisha huu uzi ni kwamba katika uchaguzi unataka mshindi atangazwe yule ambaye wewe na kundi lako tu mnazikubali sera na agenda zake. Sasa huo hautakuwa uchaguzi bali maigizo ya watu wajinga katika sanduku la kura.
 
Overpopulation ni jambo mojawapo linalochangia umaskini wa Watanzania.
Unaelewa maana ya Overpopulation??
Kwa mtazamo wako unadhani umasikini wa Tanzania umesababishwa na idadi ya watu waliopo?
 
💯
 
Kufupisha huu uzi ni kwamba katika uchaguzi unataka mshindi atangazwe yule ambaye wewe na kundi lako tu mnazikubali sera na agenda zake. Sasa huo hautakuwa uchaguzi bali maigizo ya watu wajinga katika sanduku la kura.
Hakika, ikiwa Mgombea asiyefaa , Et kisa ni uchaguzi tu wa makaratasi ndio umweke madarakani.

Ni Mara 100, Dola, imwondoe , na impe huyu anayependwa na wachache tu lkn mwenye maana.
 
Hao wanaoitaka demokrasia huku wanaitaka sababu inawanufaisha.

wao kwao hakuna demokrasia ipo kama gheresha. ni kikamati flani kidogo chenye watu wenye akili ndio wanaamua nani awe rais.

Waafrika demokrasia haitakiwi. Hawa juzi wamefunguliwa mikutano sijui lakini nyie wenyewe ni mashahidi sasahivi.

Afrika Demokrasia inatumika kama bishara.
 
Overpopulation ni jambo mojawapo linalochangia umaskini wa Watanzania.
Unaelewa maana ya Overpopulation??
'Overpopulation' ninavyoelewa mimi ni 'unachukuwa rasimali (bidhaa na huduma) zilizopo gawanya kwa idadi ya watu iliyopo' kama idadi ya watu ikielemea rasimali basi tutahitimisha kwa kusema taifa husika lipo 'Overpopulated'.

Unazungumziaje Overpopulation kwa kutathimini 'eneo finyu kukaliwa na watu wengi'?

Zote mbili ni 'Overpopulation' na kuna namna bora ya kukabiliana nazo zisionekane tatizo kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Kwa observation yako tu unadhani Tanzania inastahili kuwekwa kwenye orodha ya Overpopulated Nations?
 
Katika nchii hii Bidhaa na huduma za kijamii zilizopo ukigawanywa kwa idadi ya watu zimezidiwa au hazijazidiwa ??
 
Katika nchii hii Bidhaa na huduma za kijamii zilizopo ukigawanywa kwa idadi ya watu zimezidiwa au hazijazidiwa ??
Kwa observation yako tu kwakuzingatia kigezo cha rasimali tulizonazo unadhani Tanzania inastahili kuwekwa kwenye orodha ya Overpopulated Countries?
 
Inastahili.

Kipindi gani Tanzania huduma na bidhaa zilikuwepo kwa wingi kuliko idadi ya watu?

Unafikiria upungufu wa huduma na bidhaa uliyopo umesababishwa na idadi ya watu?
 
Ulipotoa tu mfano wa Luhaga Mpina seriously nimeacha kusoma yote uliyoyaandika najuta kwanini nimefungua uzi wako.
 
Kumbe!Hao watakatifu wa kuongoza nchi utawapata wapi?
 
Umetoa tafsiri mwenyewe halafu mbele kidogo unaikataa mwenyewe tena!
Kipindi gani Tanzania huduma na bidhaa zilikuwepo kwa wingi kuliko idadi ya watu?

Unafikiria upungufu wa huduma na bidhaa uliyopo umesababishwa na idadi ya watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…