Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mmmhhhhh kiddoMkuki kwa nguruwe....... Hawa watu hawa sijui huwa wanawaza kwa kutumia Akili za wapi.
Wanamuona mwanamke km zuzu hivi, Nani akakutie moyo km wewe mwenyewe hukuwa na muda nae
Mkuu kumbe na wewe ni muungwana!bila shaka umelelewa kwenye malezi mazuri ya kiislamu na walezi wako waliishi kama mfano wa kuigwa na wewe. Niombe radhi kwa kuku group pamoja na wenzako wengi humu ambao wanafanana kimtazamo kutokana na comments zao ninazozionaga mara kwa mara humu inapokuja mada kama hii.
Kama kweli unafanya haya uliyoyaandika hapa katika maisha halisi basi big up sana kwa huyo kidume uliyenaye, ameokota dodo chini ya mkaratusi.
Maisha hayako uniform hata kidogo lazima kuna kukwama mahali, sasa kwenye kukwama ndio tunaona maana ya vile viapo vya siku ya ndoa. Bahati mbaya sana wenzako wengi ukicheki mitazamo yao unagundua kuwa hivi viapo hawawezi kuviishi. Ila kwako wewe unaonekana unajua maana halisi ya companionship kwa mujibu ya maelezo yako.
Endelea hivyo hivyo kutofungamana na upande wowote usiokuwa sahihi nimekupenda ghafla.
Sasa kama siyo lazima kwanini wale ambao hawasaidii mnawaona hawafai? Kwahiyo hata ninyi kusaidia kufanya kazi za ndani siyo lazima ila ni swala la hekima tu na wasiosaidia hawana hekima si ndiyo?
Huenda ni kweli basi, ama kuna kani ya mvutano baina ya mpole na mkali.Hapana, nadhani Mungu huwa anabalance. Mwanaume akiwa mpole mke anakuwa machachari na mwanamke akiwa mpole mume anakuwa moto. Sijazungumzia uma.laya naongelea umachachari wa kawaida
Usiwe unaliaAcha tu mkuu kuna maneno mimi niliambiwa siku moja hapo sijayaandika yalinitoa machozi
Mmoja kati ya wanawake Bora humu jukwaani. Hongera mkuuHahahaha tupo bana,we always stand by your side no matter what
AiseeeeHakuna wanawake wanaonewa kama hawa wema yaani wanaume wanajua kutake advantage aisee
Nakusoma tu hapa bestHata kwetu sisi wanawake hauwezi fananisha pesa na mambo ya ajabu
Hahahahah mwenyewe niko hapa najisomea nacheeeka na kugawa likes tuHivi watu mnaishije kwenye hizo ndoa?? Sioni sababu ya kuoa aseee kama ndio mambo yapogo hivo, sijaona mahali wala kusoma mahali watu wanafurahia ndooaa sanaaaa ni mitifuano tuu
Hapana aisee, ngoja kwanza, nisije nikadandia train kwa mbele
Hahahah imoooInategemea na wewe huwa unanicomfort vipi mda nikiwa na shida
Kama dry na mi ntakosa pozi
Kama mwema napata moyo
Hakuna mwanamke anayefurukuta mbele ya mwanaume mwenye sifa hizo ulizozielezea labda awe karogwa ila sasa ndo ujiulize ni wanaume wangapi wenye sifa hizo ulizozielezea? Ukishapata jibu ndo utajua kwanini wanawake wengi wa sasa wapo hivi walivyo
Mimi nadhani vitu vingine msitulaumu sana wanawake ila mjichunguze kauli na tabia zenu hasa wanaume wa siku hizi yaani siku hizi hakuna mapenzi tena ni tamaa na utapeli tu kwa kwenda mbele na haya mambo walianzisha wanaume sasa kwanini na wanawake waendelee kukubali kuwa victims wa haya maovu kila siku?
Kumbe unaelewa sema tu unapenda kubishanaHuenda ni kweli basi, ama kuna kani ya mvutano baina ya mpole na mkali.
Ila wanaume decent wanapataga wanawake malaya sijui kwanini the same goes to decent women wanapataga majamaa ambao hawajali kabisa. Sina utafiti ila just speaking from experience, wanaopata mabomu ni wale decent guys.
Mume wangu ipake Mate kama haiingiiStephen King ,mtu maarufu kwa uandishi wa Vitabu duniani aliwahi kukataliwa Kazi zake Mara nyingi.
Aliwahi kwenda kwa wachapishaji (Publishers) wa Vitabu 30 wakikataa Kazi zake kwamba hazikuwa na ubora .
Hali hii ilimfanya aanze kukata tamaa na mafanikio.
Akiwa katika hali ya kukata tamaa aliambiwa neno kubwa na mke wake " *Mume wangu ,tusikate tamaa tuendelee kutafuta wachapishaji wengi ipo Siku tutafanikiwa tu* "
Kutokana na hilo neno la mke wake lililomtia nguvu na ujasiri aliendelea kutafuta hatimaye akapata.
Stephen King ameandika vitabu 58 na stori fupi zaidi ya 200 .
Stephen King ameshauza nakala za vitabu milioni 350 duniani mpaka sasa .
Tafiti zinaonesha kwamba Stephen King ni tajiri wa 5 katika waandishi wa vitabu duniani mwaka 2019 , akiwa na dolla million 400.
Hakika hakuna safari isiyo na changamoto katika maisha isipokuwa lazima uangalie aina ya mtu unayesafiri naye.
Mke wa Stephen King alimwambia mume wake hivi akafanikiwa
[emoji1377]
*Mume wangu ,tusikate tamaa tuendelee kutafuta wachapishaji wengi ipo siku tutafanikiwa tu*
Je, mke wako anakwambiaje unapokwama , mume wako anakwambiaje ukikwama ? Ndugu, jamaa na rafiki zako wanakwambiaje ukikwama?
Hakikisha unasafiri na mtu anayeona matatizo kwa jicho la mafanikio.
*You're the Sperm that won the race*
#Nanauka
Sawa my friendUsiwe unalia
Tupo
Huyo ndio kocha mchezajiHeaven Sent pia????
Good MorningHuyo ndio kocha mchezaji
Morning madamGood Morning