Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

Kukataa ndoa ni kupinga serikali ki vipi ? Ndoa na serikali zina mahusiano gani ?
 
basi ndoa haina huo umuhimu kama chanzo kikuu na msingi wake ni upendo
lakin kuupata huo upendo mpaka uupiganie HAPANA mzee
KATAA NDOA

Kitu chochote cha thamani lazima ukipigania ikiwemo huo Uhai ulionao.
Utajiri, elimu, Mamlaka vyote vinapiganiwa.
Unamiaka mingapi?
 
Unapotaja Babu na shangazi hapo huzungumzii familia tena hapo Unazungumzia UKOO.

Hizo shule mlienda kufanyaje Mkuu?
ukoo n muunganiko wa familia nyingi mwisho tutakuja kabila

kwamba kwa umri wako hujawai ona familia ya bibi na wajuu zake,babu na wajukuu zake
au kaka na wadogo zake...?!

KATAA NDOA
NDOA NI TAASISI ILIYO JIFIA
 
Upendo hauji kirahisi
Heshima, uadilifu na mengine mengi hayaji kirahisi.
Inahitaji kupiganiwa, kulindwa kwa nguvu na mwanaume au mwanamke shupavu.

Sasa kama unaoa alafu unataka mambo yaje na yaende kirahisi utakwama
Ni wanandoa wangapi wamezijenga ndoa zao tangia chini huku wakitumia rasilimali kama upendo,heshima,uadilifu,ukweli na mengineyo na kuzifanya zikawa imara.

By default baada ya wawili kukutana na kuendana.
Bond yao humaanisha mengi sana

Ndoa za sasa zimekuwa ni utapeli kwa sababu kila mmoja katika ndoa anatamani kuwa juu ya mwenzake.

Mwanaume anataka kuwa juu.
Mwanamke anataka kuwa juu vilevile.

Mwanaume ana sauti ndani ya familia vs mwanamke ana sauti ndani ya familia.

Unauonaje mtanange huu?
Unadhani utaisha kwa salama na amani.

Tukiacha yote bora huyo mwanaumwe awe na nguvu ya kipesa kuliko mwanamke.

Kinyume cha hapo ndiyo sababu ya watu wengi leo hii kuzikataa ndoa za kisasa.
 
ukoo n muunganiko wa familia nyingi mwisho tutakuja kabila

kwamba kwa umri wako hujawai ona familia ya bibi na wajuu zake,babu na wajukuu zake
au kaka na wadogo zake...?!

KATAA NDOA
NDOA NI TAASISI ILIYO JIFIA

Kwa hiyo familia ya Mo na yako zikiungana unakuwa Ukoo mmoja.
Bangi sio nzuri
 
Sasa wewe unazungumzia kitu kingine ambacho ni usaliti.

Sio kila ndoa inausaliti.
Na sio kila ndoa inakufifizwa
Kaka robert natamani sama tufanye tafiti ambayo italeta takwimu ya ndoa ngapi ndani yake kuna usaliti.

Kwa mujibu wa case nyingi zinazotokea hasa zile za kindoa.
Miongoni mwa sababu kuu za kesi hizo ni usaliti.
Usaliti ni jambo halisi hasa katika dunia hii ya sasa.
 
Kwa wazazi walio tengana au mmoja kufa mtoto ana lelewa vipi ?
 

Mimi ndoa ninazozijua hazina hayo Madudu.
Najifunza kwenye ndoa zenye mafanikio
Jicho langu halipo kuangalia walioshindwa.
Jicho langu kinaangaliwa ushindi ndio maana ninaona walioshinda kwa kila ninachotazama.

Ni sawa na wanaosema biashara ni ngumu wakati wapo waliofanikiwa, sasa mimi siangalii na siwezi kuwachukulia walioshindwa kwenye jambo lolote kuwa ndio muongozo wangu.

Kuhusu hao uliowataja Unazungumzia walioshindwa.
Kwenye familia lazima awepo kiongozi. Kiongozi huyo anaweza kuwa Mwanamke au mwanaume inategemea na Ishu anayoiongoza ndani ya familia
 
Utapeli kwenye mapenzi upo.
Ubinafsi kwenye mapenzi na ndoa upo.
Unyanyasaji na ukatili kwenye ndoa unaweza kuwepo.
Lakini nani mwenye wajibu wa kupambana kukabiliana na mambo hayo kama sio wewe?
Unasema kwenye huu mto kuna mamba mengi ila unamtaka mtu aende kuvua samaki kwa kuchumpa kwamba ataweza kuwashinda mamba ? Hizi ni akili sawa ?
 
Unasema kwenye huu moto kuna mamba mengi ila unamtaka mtu aende kuvua samaki kwa kuchumpa kwamba ataweza kuwa shinda mamba ? Hizi ni akili sawa ?

Kwa uelewa huu una haki ya kupinga Ndoa.
Kila kitu kinachangamoto.

Yaani uache serikali kisa kuna chanagamoto za waasi, magaidi, sijui rushwa, utakuwa na matatizo.

Au uache kufanya biashara kisa kuna chuma ulete, TRA au wezi. Utakuwa hujielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…