xixi
Senior Member
- Feb 26, 2024
- 184
- 350
Kama wazazi wote wangezaa ndani ya ndoa mpotoshaji kama wewe usingekuwepo ulimwenguni.wote walio zaa walikua na ndoa....?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wazazi wote wangezaa ndani ya ndoa mpotoshaji kama wewe usingekuwepo ulimwenguni.wote walio zaa walikua na ndoa....?!
Tafuta mwanamke mwanasheria au mjanja mjanja asiye na hofu ya Mungu ishi nae unyumba miezi mitatu mfululizo huku majirani wanashuhudia alafu mletee ujinga uone kama hujaburuzwa kortini na ukicheza uone kama mali hazijagawanywa kibabe[emoji23][emoji23][emoji4] Hakuna kitu kama hicho acha kupotosha umma
Wakishaoana kwa mujibu wa mtoa mada, je wanazaliana na kuwa na famili.lakin hata hao wasagaji na mashoga wanaoana mzee[emoji848] na hapa tupo kuongelea NDOA
BAta linakusaidia nini?kale bata
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOAHili tuliite Wenge au
Wakishaoana kwa mujibu wa mtoa mada, je wanazaliana na kuwa na famili.
Ebu punguza wenge mkuu
Nchi za ulaya na America wengi ni kataa ndoa na hizo tabia nyingi zipo Africa kwenye ndoa.Huwezi ongoza taifa ambalo robo tatu ya Watu ni wakataa Ndoa, hiyo haiwezekaniki.
Ni kama kuongoza taifa la mashetani ambalo mara kwa mara mapinduzi, tamaa mbaya, uchafu utakuwa ndio mila na desturi.
Nitafute mara ngapi 😂😂 uko uko kortin ndiko mambo yalimshindaTafuta mwanamke mwanasheria au mjanja mjanja asiye na hofu ya Mungu ishi nae unyumba miezi mitatu mfululizo huku majirani wanashuhudia alafu mletee ujinga uone kama hujaburuzwa kortini na ukicheza uone kama mali hazijagawanywa kibabe
Nilivyokuelewa mimi umeelezea kuhusu NDOA. na wala sio mwanamke na mwanaume aliyekamilika.Unazungumzia watoto wa miaka 15
Hapa anazungumziwa Mwanamke na mwanaume aliyekamilika
Watabisha kama hawana akili kwa kuwa ni kweli hawana akili.Vijana, kampeni ya Kukataa ndoa haiwezi kuwa kwa mtu mwenye utimamu wa Akili. Ni aidha kuna athari za kisaikolojia au Historia mbaya kwa mtu husika.
Nilivyokuelewa mimi umeelezea kuhusu NDOA. na wala sio mwanamke na mwanaume aliyekamilika.
Ndugu unatakiwa uelewe kwamba NDoa hapa Tanzania ni suala ambalo lipo kisheria .Sheria ya Ndoa, Sura ya 29 ya mwaka 1971
Huwezi kujadili suala la ndoa Bila kuhiusisha sheria hiyo acha kupotosha
Kataa ndoa ni wanaume wasiojiamini, wabinafsi si ajabu hata familia zao zina walakini.
Sio ajabu wala haikatazwi kua muoga na mbinafsi wana haki yako pia ila sasa tatizo ni kuwa wanatumia mbinu ya kuwachafua wanawake ili hoja zao zisikilizwe.
Ndioo unaolewa jamii maana nyie ni wanajamii
Wewe ni mwanajamii unasaidiwa nakusaidiakuolewa kwako na jamii kuna mahusiano gani?
Mi nimeoa (5yrs) lakin hii kampen ya kataa ndoa ni somo nililoanza kulielewa baada ya kipnd kirefu kias cha mafunzo na uzoef ndan ya ndoa....Wanaogopa Milio ya risasi wakiwa vitani. Hatari sana
Mi nimeoa (5yrs) lakin hii kampen ya kataa ndoa ni somo nililoanza kulielewa baada ya kipnd kirefu kias cha mafunzo na uzoef ndan ya ndoa....
Naamin kila jambo hutokea kwasabab ya dhat kabsa, Mr. Robby sometimes upepo maisha huathiri uelekeo wa maono ya mtu......so siamin wala kujutia hlo still on track to maintain my frame.....mana mwanamke ni ziada Kwa mwanaumeUlikosea tangu mwanzo ukiona hivyo