Mtumbwi alimojificha mtuhumiwa #2 kulipua bomu Boston

Mtumbwi alimojificha mtuhumiwa #2 kulipua bomu Boston

Status
Not open for further replies.
Hapo hapo wengine watasema sababu nzima ya hawa immigrants kuua watu ni mfumo mzima ulio strict wa immigration uliomnyima yule kaka mkubwa uraia wa Marekani na nafasi ya kupigania Marekani boxing katika Olympic. Kwa kuwa alikuwa na kesi ya "domestic violence". Kwa hiyo mfumo wa immigration ulegeze masharti.

Candid Scope ame copy paste (hana kipya alicholeta)

Radhia Sweety anakuja na kukemea "copy paste" kwa non-arguments zilizokuwa sio tu copy pasted, bali hata ridiculed na parodied on Twitter, Slate.com na Salon.com.

Tumefikia pahali si tu tuna kina Candid Scope wanaleta ma spam ya copy paste, bali hata wanaowakemea kina Radhia Sweety wanawakemea kwa kutumia some absurd copy pasted to death non-arguments!

avatar13377_3.gif

Kiranga
Tatizo ni kutojua maana sahihi ya nyanja za habari, vinginevyo hakuna kipya kinacholetwa na mleta matukio isipokuwa mfanya matukio ndio ajitangaze kitu ambacho hakifanyiki hivyo. Mwandishi wa habari anapohangaika huku na kule kupata news na picha za matukio ni kitu kile kile cha copy and paste kwa maana anakopi matukio yaliko na pamoja na kukopy taswiras kisha kutuletea kwanye audience ya newsmadia. Asiyeelewa hilo asome kidogo mambo ya uandishi kuhusu matukio na utunzi wa rewaya. Vinginevyo anataka tulete tungo za rewaya au tungo zenye kuhitaji wanaokuna vichwa katika kujadili kama ilivyo jukwaa lile la Home of great thinkers. Magazeti karobu yote news zenye uzito na zinazouza magazeti ni za matukio ambazo huangukia kwenye copy matukio na vivuli vya matuki na paste kwanye kurasa za magazeti na other media for audience.

Kwa namna moja au nyingine uandishi wa habari hizi za kushikwa majasudi kwa
Radhia Sweety ni kitu kingine pengine cha kiitikadi kumalizia yaliyomo moyoni, la sivyo habari nyingi tulizonazo hapa ni za mtindo huo wa copy and paste.

Nimeshuhudia wengi wa watanzania ni wale wa daraja la kati na la chini katika kupima mambo.Kuna madaraja yafuatayo kisaikolojia:

  1. Akili ndogo hupenda kuongelea watu.
  2. Akili za wastani hupenda habari za matukio.
  3. Akili za juu ni wale wanaoongelea mambo ya maendeleo na namna kujijenga kimaisha.
Wengi wetu tunaangukia hapa kwenye aina ya 1-2.

Nimejaribu binafsi na baadhi ya watu hapa kuweka mada za kuzibuni kutokana na hali ya maisha kiuchumi, kisiasa, kijamii nk, hoja hizo hazijadiliki isipokuwa ukipata watu 5 ni bahati. Lakini weka habari matukio au kuongelea mambo ya watu hapo jukwaa litachangamka.
 
Dzhokhar Tsarnaev tweeted this after the boston bombing.@J_tsar:''Aint no love in the heart of city.stay safe people.''
 
What is new and what is not? Is there anything new "under the sun"?

And even if there is by some stretch of quantum probability of the order of frequency of once per 14 billion years, something new.

How sure could one be that that which is not new to one, is also not new to others?

Case in point
Elungata pointed out the twitter handle reported to belong to one of the suspects. This is not new to me.

But I would be the last one to tell Elungata "tutolee copy paste zako hapa, there is nothing new in that" kwa sababu najua kuna watu wengine inawezekana kabisa hawajui hilo.

Na kwao ni habari mpya.
 
What is new and what is not? Is there anything new "under the sun"?

And even if there is by some stretch of quantum probability of the order of frequency of once per 14 billion years, something new.

How sure could one be that that which is not new to one, is also not new to others?

Case in point
Elungata pointed out the twitter handle reported to belong to one of the suspects. This is not new to me.

But I would be the last one to tell Elungata "tutolee copy paste zako hapa, there is nothing new in that" kwa sababu najua kuna watu wengine inawezekana kabisa hawajui hilo.

Na kwao ni habari mpya.
huh,so it is news to you...WAS JF created special for you?.

Just because it is not news to you,it doesnt mean it is not news to everybody.
Or what is your point here?.
 
Muhusika alipogundua damu kwenye boti yake, alichungulia ndani na kumuona jamaa kajeruhiwa, akawajulisha Polisi na walipofika wakam'miminia risasi !..........!!!
kwa nini !?

Kwasababu alikuwa ni gaidi na hata hivyo hawakupiga risasi kumuua bali ni moja ya technique kama angekuwa na bomu lingelipuka
 
Jamaa hawajiamini kweli,ukichukulia kuwa huyo dogo ni 19.walipoambiwa yuko humo wakatuma kwanza robot ifanye kazi ya minesweeper.haikutosha wakafyatuliamo risasi wakati huo dogo kalala yuko hoi kwa majeraha.
 
Huwezi ona mkristo anajilipua au anatega bomu alipue watu wasio na hatia michezo hii inachezwa na waislam.

Folish! Hao Marekani na washirika wao wa NATO wanaoua watoto, akiba mama na wazee tena kwa silaha nzito nzito huwaoni? Nonsense urgement.

Zali la Mentali endelea kufunguka Mkuu maana hw wamezidi. Suala lolote mnaona Waislamu tu ndo wabaya lkn hamjiangalii wenyewe. Kweli nyani haoni kundule!
 
huh,so it is news to you...WAS JF created special for you?.

Just because it is not news to you,it doesnt mean it is not news to everybody.
Or what is your point here?.

That is precisely my point, perhaps you need to know how to read.

I wrote

Case in point
Elungata pointed out the twitter handle reported to belong to one of the suspects. This is not new to me.

But I would be the last one to tell Elungata "tutolee copy paste zako hapa, there is nothing new in that" kwa sababu najua kuna watu wengine inawezekana kabisa hawajui hilo.

Do you understand what does that second part mean? Did you read it? Do you know how to read at all?

Halafu the usual excuse is Kiingereza, in this case a large portion is written in Swahili, Kiingereza lugha ya mkoloni unaweza kusema, Kiswahili nacho hujui?
 
a46aaae64700880d2f0f6a706700bd27.jpg
3292ab884702880d2f0f6a7067007b7a.jpg

Bob Leonard - This Monday, April 15, 2013 photo provided by Bob Leonard shows third from left, Tamerlan Tsarnaev, who was dubbed Suspect No. 1 and second from left, Dzhokhar A. Tsarnaev, who was dubbed Suspect No. 2 in the Boston Marathon bombings by law enforcement. This image was taken approximately 10-20 minutes before the blast.

Runner, spectator get photos of marathon suspects

Bob Leonard and his family were Boston Marathon veterans and he preferred a spot not too far from the finish line to photograph runners as they concluded their 26.2-mile run. The area was less congested and over the years he learned that the men and women in the lead there usually went on to win. With his Nikon, Leonard snapped about 10 to 20 photos a minute Monday, capturing group after group of finishing runners and the crowds lining the route.
Three days later, when the FBI released images of the suspects in the Boston Marathon bombing, Leonard used the time stamp shown on them to narrow his search of the hundreds of photos he had taken that day. He realized that he, too, had photos of the faces of the two men authorities were searching for.
He uploaded them to the FBI and Friday morning, he saw his cropped photos all over the morning news. "That finally gave them a good facial picture," the 58-year-old electrical engineer said. "It was a pretty good breakthrough."
The two men were later identified as brothers, 26-year-old Tamerlan Tsarnaev, who was killed in shootout with police overnight Friday, and 19-year-old Dzhokhar Tsarnaev, distinctive in his backward white baseball cap. The younger man was captured Friday night after a daylong siege of aBoston suburb. "They actually stood in that corner for quite a bit of time," Leonard of Taunton, Mass., said of the men, just before the younger brother was caught.
After combing the digital images, he was sure he had something the FBI could use. He tried to upload them to an FBI site that it had asked the public to use. Then he called the hotline number and was on hold for about 40 minutes, the response was so overwhelming. He finally got an FBI spokesman, who told him to upload them to another site. Within 20 minutes, someone from the Department of Homeland Security called him back. "They were on the news ... clear pictures of the two subjects and those were the pictures that I sent in," said Leonard, who started photography as a hobby when his sons played high school sports.

He was not the only picture-taker to help with images of the suspects. Seconds after the bombs exploded, David Green pulled out his smartphone and took a photo of the chaos developing a couple hundred yards in front of him — the smoke, the people running in panic. The Jacksonville businessman then put his phone back in his pocket and went to help the injured. It wasn't until Thursday, when officials released surveillance video of the two suspects, that Green realized what he had — a picture of Dzhokhar Tsarnaev walking away from the scene.

When Green's photo of one of the Boston bombing suspects fleeing the scene first surfaced, there was considerable doubt as to its authenticity because of the very low resolution of the image, which made the photo appear to be a composite image. When Green later provided the high-resolution frame directly from his cellphone, editors of The Associated Press were able to establish its authenticity based on the improved resolution as well as the time the photo was taken. The AP has established an exclusive arrangement for distribution of the photograph.
Green, back at his home in Florida, wore his yellow and blue Boston Marathon jersey as he talked about the now-famous photo, his finisher's medal from the race propped on a shelf in his home office. Green, 49, had finished Monday's marathon in 3 hours and 17 minutes, about an hour before the blasts.
After he recovered, he went back to Boylston Street, where the finish line is located, to watch the rest of the race with his friends. He realized his phone was dying, so he went into a nearby store with a recharging station. About 15 minutes later, he was walking back to his friends when the first bomb went off. "I thought maybe it was a cannon," Green said. Then the second one exploded as he was walking toward it. "When I saw it, I pulled out the camera and immediately took that picture," Green said.
He then put it back in his pocket and went to help the injured, including a boy and others who were missing limbs.
"It was like battle — a lot of noise, a lot of smoke, people coming at me in a panic," he said.
A short time later, his friend Jason Lubin texted him and asked if he was OK. He replied with the photograph and a note: "It was just in front of me."
Lubin said Thursday, after the FBI released photos of the two suspects, that he decided to take a closer look at Green's photograph — on the off chance Green had captured anything unusual. He pulled up the photo on his smartphone and zoomed in on the crowd. There in the lower left corner was Dzhokhar Tsarnaev walking around a corner, his backward white baseball cap standing out amid the dozens of panicked people fleeing.
"I literally had to sit down," Lubin said.
Green contacted the FBI, which told him to send them a copy of the photograph.
"He is calmly walking, without panic," Green said of Dzhokhar Tsarnaev.
Leonard also took pictures of the chaotic aftermath, smoke five stories high from the explosions that he said were deafening. He also saw a person who lost a limb before police rushed everyone away from the scene.
"The sense of loss tears your heart apart when you hear the victims' stories," said Leonard, who has lived in Taunton, about 30 miles south of Boston, since 1986 and knows what the race means. "It's just so senseless."

Wapiga picha katika mbio za marathon kwenye finishing line walivyofanikiwa kunasa picha za suspected bomb attack walivyosaidia FBI kuwanasa vijana hao maana baada ya kutega lile bomu walibaki palepale kushuhudia kinachoendelea.
 
Nakupongeza mkuu binafsi umenisaidia sana hasa ulipotafsiri kwa kiswahili si unajua weengine kuanzia chekechea ni kata na mitaala yenyewe kama unavyoiona

Wewe na Candid Scope wako mliyesomea shule za mahela kwa nini mnashindwa kujibu hoja hizi ndogo tu? Naziweka tena ili kama mmesahau tulitokea wapi na huu mjadala mpate nafasi mahsusi ya kutumia shule yenu ya ziada kujibu hoja hizi:

Badala ya kuzungumzia ugaidi uliolitafuna na unaoendelea kutafuna bara letu la Africa kwa mamilioni ya watu mnatumia mda wenu kuzungumzia vigaidi uchwara tena nje ya bara letu la Africa. GAIDI mkuu kabisa Africa ambaye hatasahaulika milele kwa kuua Waafrica kwa mamilioni na ambao bado Waafrica wanaendelea kuuawa chini ya mipango yake aliyoiacha ni NYERERE. Aliua Wazanzibar wasiopungua 20,000 kwa kumtumia Okello, mauaji ambayo yalikuwa ya kikatili haijapata kutokea kwenye historia ya Africa yaliyofanywa na Muafrica mwenzao aliyekuwa anatumiwa na Kanisa Katoliki pamoja na mabwana zake Wazungu na Wamarekani. Wazanzibari zaidi ya 200 walichomwa moto kwenye tanuri wakiwa hai kwenye mauaji hayo ya kikatili yaliyokuwa yanatumia mtindo wa HITLER. Akaua Watanzania na Waganda wasiopungua 100,000 kwenye vita ya Kagera ili kumuondoa Idd Amin kwa maelekezo hayo hayo ya mabwana zake. Mauaji za DRC ya mamilioni ya watu yana mkono wake kupitia kwa Kabila. Mauaji ya kimbari ya Rwanda yana mkono wake kupitia kwa Kagame. Vita aliyopigana Museveni na kuua Waganda kwa maelfu ili aingie Ikulu ina mikono ileile iliyojaa damu ya Nyerere. Vita ya Biafra kule Nigeria ambapo Wakatoliki walitaka kujitenga na Serikali halali ya Nigeria ili wasiwe chini ya uongozi usiokuwa wa Kikatoliki ulifadhiliwa na Nyerere kwa kutumia rasilimali za Tanzania na kuua mamilioni ya Wanigeria.

Huyu Nyerere ndio GAIDI wa kujadiliwa ili tulinusuru bara letu kutoka kwenye makucha ya ugaidi yanayoendelea kuwatesa na kuua Waafrica chini ya mfumo wa ukoloni mambo leo.
 
Mkuu hayo unayoyaongea una vithibitisho vyake? Haya ya Boston tumeyaona na yako current na wala hayana kutumia nguvu kuyajadili sasa haya ya Nyerere ni chuki iliyokujaa kwa wakatoliki ndo maana unaiingiza kila mnapotajwa mnahusika na maugaidi mengi lazima utafute mkatoliki alifanya nini. Umesikia hapa jamvini tunafurahia mauaji? Au unahisi mleta mada anachuki binafsi na uislam? Mbona umejaza jazba embu nikuulize hivi ukienda hospitali leo unahitajika damu ulishawahi kusema msiniwekee hiyo itakuwa imechanganyika na ya mla kitimoto? Au unajificha ndani ya mtumbwi kama huyu muuaji kuokoa maisha yako ilihali umepoteza maisha ya wegine.

Kama una akili timamu, basi kabla ya kuchangia hoja yako ungepitia posts zangu zote tangu ulipopata wazo la kuniuliza hilo swali kabla hujauliza. Kudakia nyuzi kama hizi na kukurupuka itakuvunjia heshima yako. Ukitaka kuchangia kwenye nyuzi kama hizi usiwe mvivu wa kusoma. Rudi nyuma tangu akili yako ilivyokutuma uulize hili swali na uendelee kufuatilia posts tangu hapo mpaka mwisho utaona kwamba nimeshaulizwa hili swali na nikatoa reference ya madai yangu ya msingi.
 
suspect-1-and-suspect-2-high-res-jpg_213642.jpg

PIcha hii ilyonaswa katika camera ya usalama imewaumbua kwani katika Camera hii
wanaonekana wakiwa na mikoba mizito mabegani

a46aaae64700880d2f0f6a706700bd27.jpg


Baada ya kutega bomu like hawakuondoka wakabaki eneo la tukio lakini mbali kidogo na sehemu waliyotega bomu ili washuhudie na katika picha hii ambayo ilipigwa na Bob Leonard imekuja kuwa kinasibu maalum kwa kubaini wahusika hao baada ya kuona picha ya tangazo la FBI, hivyo akaanza kucheki picha za matukio aliyopiga na kukuta picha za hawa vijana wawili ambao awali walionekana wakipita na mikoba migongoni na kisha baadaye kuonekana eneo hilo kwenye picha bila mikoba migongoni.

Siku za mwizi ni arubaini.

Wenzetu upigaji wa picha kila tukio na hatua ni muhimu na katika nafasi kama hii tunaweza kujifunza Bob Leonard alivyoasaidia kuwanasa hawa maharamia wasio na utu.

cc;
Tai Ngwilizi, Zali la Mentali, Kiranga, mahoza, Elungata, ​uzeebusara

Ni wazi kwamba hamna ubavu wa kujibu hoja zangu. Ndio maana kila nikiwataka mzijibu mnakimbilia kuweka utumbo wa vijigaidi visivyotuhusu sisi kama Watanzania na ambavyo vimeuwa watu wachache ili angalau mkimbie aibu ya kushindwa kujibu hoja zangu za msingi za GAIDI aliyeuwa Waafrica kwa mamilioni. Nami sintawaachia. Ntawang'ang'ania kama ruba hata kama mkinitukana matusi kwani najua wengi wenu mmetokea kwenye familia zenye matatizo na kupewa mafundisho ya kidini jinsi ya kumkabili mtu anayekushinda hoja kwa kumtukana matusi ili afadhaike na kukuacha. Isitoshe, Mimi ni Zali la Mentali hivyo kunitukana mimi ni sawa na kudondosha tone la maji kwenye bahari alafu unakaa unaiangalia bahari kama itaongezeka au vipi.
 
Three days watuhumiwa tayari,sisi je mpaka FBI kaja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom