Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Katika ulivyo vitaja hapo nikipi kinacho kutesa?
Habari kwamba watoto wadogo wanakatishwa maisha yao hata kabla hayajaanza vizuri, mama zao wanasikitika sana kwa kutenganishwa na watoto hawa, inanitesa.

Huyu Mungu imekuwaje akaumba ulimwengu ambao watoto wadogo wanakufa, wengine kikatili sana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna kifo, na watu wanaopendana hawatenganishwi kwa kifo?

Hujajibu swali hili.
 
Maswali yote yanahusu Mungu na logical consistency.

Utamshambuliaje Mungu wa Quran kwa sababu hana logical consistency (kitu ambacho hata mimi nakiona) halafu hapo hapo nikikwambia hata Mungu wa Biblia naye hana logical consistency hivyo Quran na Biblia vyote vina ujinga ule ule wa Mungu asiye na logical consistency ukakimbia swali kuhusu logical consistency hiyo hiyo ya kumhusu Mungu?

Hapa unaonekana unapenda kumshambulia Mungu wa Quran kwa sababu hana logical consistency, lakini, ukiulizwa habari hizo hizo za logical consistency kuhusu Mungu wa Biblia, unakimbia kujibu maswali.
 
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao dhambi haipo kabisa na haiwezekani kufanyika?
 
Mleta mada inaonyesha una kichwa kigumu kama nazi ya kilwa. Sasa hapo haujaelewa nini kwamba Dhul-Qarnain aliliona jua likizama kwenye tope kwa upeo wa macho yake?

Ni sawa ni Dhul-Qarnaini aliliona Jua likizama kwa kadri ya upeo wake.Swali ni kwamba Mungu alikuwa akimuelezea Muhammad kisa hicho cha Dhul-Qarnaini ili kumfundisha nini hasa na wewe muislamu wa leo unajifunza nini hasa kutokana na hicho kisa cha Dhul-Qarnaini?
 
Umeelezea mengi sana lakini Kwanza tujue je sayansi inatambua uwepo wa Mungu? Ukinipa jibu basi naweza kuendelea na mada yako.
 
Qur'an ina nakala mbinguni?
 

Mimi kama umenifuatilia muda wote nimekataa kuingia katika derailing.Huwezi kunitoa katika hoja ya msingi kwa kutaka kunichomekea hoja zingine? Na ndio maana kuna vitu vingi tu vimeingizwa katika mjadala huu ambavyo havihusiki na nimekwepa au nimeacha kushughulika navyo.Kwani hoja kwamba Mungu hayupo ni mfano katika hoja iliiyopo mezani au unajaribu kupenyeza hoja mpya kabisa katikati ya mjadala?>
 
Endelea mbele ya aya zinazofuatia utaona kisa cha Dhul-Qarnaini kinafundisha nini. Pia, kama bado utakuwa ujaelewa, tafuta hats video za youtube maelezo ya mafundisho ya Surah Kahf kiujumla utaelewa zaidi.
 
Endelea mbele ya aya zinazofuatia utaona kisa cha Dhul-Qarnaini kinafundisha nini. Pia, kama bado utakuwa ujaelewa, tafuta hats video za youtube maelezo ya mafundisho ya Surah Kahf kiujumla utaelewa zaidi.

Nikafungue video Youtube? Hiyo video nayo Mungu ametia ufunuo wake kama ilivyo katika Kurani? Mimi naamini Kurani, kwa sababu hicho Kitabu alichokipokea Muhammad na siyo Youtube Application software.Youtube imekuja juzi juzi tu hapa na imefanyikia katika Computer na asili yake ni Coding na wala haikutengenezewa katika pango la Mlima Hira,kule Makka kama ilivyo kwa Kurani.
 
Kwa nini Mungu wako ajitekenye na kucheka mwenyewe?

Kwa nini awezeshe ugonjwa uwepo na dawa badala ya kukataza ugonjwa usiwezekane kabisa?

Na vipi kuhusu magonjwa ambayo hayana dawa?
 
Qur'an ina nakala mbinguni?

Kwani wewe hujui kama Mungu ana nakala yake Mbinguni? Wewe hujui kuwa Mungu alianza kuandika Kurani Mbinguni na ndio kisha akampa Muhammad kupitia Malaika Gabrieli ili awe anakili hayo ambayo Mungu alishaaandika? Sasa katika mazingira kama hayo inakosekanaje nakala ya Mungu?
 



GONGA HAPO CHINI


Did the Noble Quran really say that the sun sets and rises on earth?
 
Huyu Mungu imekuwaje akaumba ulimwengu ambao watoto wadogo wanakufa, wengine kikatili sana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna kifo, na watu wanaopendana hawatenganishwi kwa kifo?
Nani anaewaua kikatili hivyo? Je wakifa wanaenda wapi?
 
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao dhambi haipo kabisa na haiwezekani kufanyika?
Hakushindwa kama aliweza kuumba wa dizaini hii tulionao na complixity/sophistication zake,sasa kwanini kauumba wa dizaini hii Uislamu ndio unakupa jibu wewe mdadisi kuwa kaumba mfumo ukiwa hivi ili awajaribu nyinyi aliewaumba kama mutafuata haki na kutenda wema ama mutakengeuka na kufanya mabaya,then wote mtakufa na kufufuka tena kwakuwa roho ambayo ni energy huwa haifi kwa mujibu wa wanasayansi bali hubadilika au kuhama kutoka kwenye medium moja kwenda nyengine,kwahyo ili kumake sense ya haya yanayoendelea lazima uamini kwanza kuwa kuna kufufuliwa ambapo wema watakuwa rewarded na wabaya wataadhibiwa na kisha wale waliodhulumiwa watalipwa kile walichozulumiwa.
Na ukiniambia huamini kuwa kutakuwa na kufufuliwa nitakujibu kuwa kama ardhi inaweza kuwekwa mbegu ikatoa mti wenye matundo na huoni ajabu kwanini uone ajabu binaadamu kufa,then akafufuka tena.

Kuhusu kwanini watoto wadogo wanakufa bila hatia na watu kuumwa nakuteseka duniani nitakueleza kuwa dunia na mfumo wake mzima ni challenge/mtihani ndio maana hata kutokea kwake kulianza na big bang.ndo maaana ukiwa siberia ama sehemu nyengine yoyote yenye sub zero temperature usipovaa mavazi ya kuzuia baridi utakufa kwa baridi na ukivaa hutakufa kwa baridi,ndio maana hata porini wanyama wanawindwa haijalishi kama aliyewindwa alikuwa mkorofi au la.ndio maaana hata ukilima kuna baadhi ya mazao yatamea na mengine yatakufa.Mungu kaicha dunia ijiendeshe kwa mfumo huo.
 
Hija ya msingi unaikwepa halafu unasema nataka kukutoa katika hoja ya msingi?

Unaelewa kwamba ukishakubali kwamba unatafuta logical consistency, Mungu wa Biblia kashindwa mtihani wa logical consistency na hivyo hutakiwi kumuandama Mungu wa Quran kwa sababu hana logical consistency, halafu hapo hapo ukamkubali Mungu wa Biblia ambaye naye hana logical consistency?

Unaelewa hiyo ni contradiction?

Unakataa kula mavi ya muarabu kwa sababu unasema hutaki kula mavi.

Halafu unakula mavi ya Myahudi bila tatizo.

Halafu bado unadai hutaki habari za kula mavi?
 
Kuna walimu watakufundisha humo. Kwani humu jamiiforums imekuja yenyewe bila coding?
 
Nani anaewaua kikatili hivyo? Je wakifa wanaenda wapi?
Kokote watakakwenda au kama hakuna wanapokwenda, kumtenganisha mtoto mchanga na mama yake aliyemzaa na anayependa kuwa naye mpaka anakua mtu mzima, kama una uwezo wa kuzuia utenganishi huu, ni ukatili.

Ndiyo maana watu wanasikitika na kulia kwenye misiba.

Swali la msingi hujajibu.

Mungu alishindwa kuumba dunia hi ikiwa haina na haiwezekani kuwa na utenganishwaji huu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…