Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Nichanganye na zangu kwa kujiongeza kivipi?Kwamba Kurani haijaandikwa na Mungu na kisha kufungwa na kupewa Malaika Gabrieli na kisha akawa anasoma mstari mmoja baada ya mwingine kwa Muhammad?
Mungu sio mjinga kumwandikia.mtu aseyejua kusoma na kumwandikia uongo
 
Na inawezekanaje Mungu aendelee kuona watu hatumuelewi kwa aya hiyo na hivi watu tunajikuta tunatoa tafsiri potofu juu ya Jua kutua katika matope na yeye anaendelea kuangalia tu mambo yakiharibika namna hiyo bila kuchukua hatua?Je,kwa ni kwa nini hatoi "manuals" za kufafanulia mapema iwezekanavyo?
Unampangia Mungu cha kufanya ww nan anakupangia kufanya yako?
 
Mbona aya iko wazi rejea 18:83

IMG_20180721_175059_477.jpg
Aya kweli iko wazi! Msemaji hiyo aya nani?
 
Muhammad hajadanganya hao wanasayansi ndo waongo ndo maana mpaka leo hawana jibu la ulimwengu uliundwa vp? Vitu haviwezi kukaa katika order bila kupangwa

Kumbe,Muhammad ndiye anasema ukweli.Vizuri sana.Kwa hiyo, ni sehemu gani hapa Duniani ambako hilo Jua huzamia katika matope? Au Jua limeacha siku hizi kuzama kwenye matope?
 
Wap kajipinga kimantiki tuanzie hapo
Imekuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote awazibe watu fulani macho na masikio, awafanye mioyo yao iwe mizito ili wasimjue, kwa makusudi.

Halafu awahukumu watu hao hao kwa sababu hawajamjua.

Ni sawa na baba anayekataza wanawe kusoma shule na kujifunza kusoma, anawafungia ndani wasiende shule wala kushika kitabu.

Halafu wakiwa hawajui kusoma (kwa sababu baba kawanyima nafasi ya kusoma) huyu baba awaadhibu kwa sababu hawajui kusoma.

Huyo baba nikisema ni chizi nitakuwa nimekosea?

Inakuwaje mungu afanye mambo kama chizi?
 
Ugumu huko wap?
Watu wanakufa wanatengeana na wapenzi wao, familia zao marafiki.

Wwatu wanaumwa magonjwa.

Wwanapatwa na majanga, matetemeko, vita, moto, mafuriko, tsunami, wana umasikini, ujinga etc.

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, alishindwa kuumba ulimwengu ambao yote hayo hayawezekani?
 
Na inawezekanaje Mungu aendelee kuona watu hatumuelewi kwa aya hiyo na hivi watu tunajikuta tunatoa tafsiri potofu juu ya Jua kutua katika matope na yeye anaendelea kuangalia tu mambo yakiharibika namna hiyo bila kuchukua hatua?Je,kwa ni kwa nini hatoi "manuals" za kufafanulia mapema iwezekanavyo?
inashangaza kwakweli
 
Imekuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote awazibe watu fulani macho na masikio, awafanye mioyo yao iwe mizito ili wasimjue, kwa makusudi.

Halafu awahukumu watu hao hao kwa sababu hawajamjua.

Ni sawa na baba anayekataza wanawe kusoma shule na kujifunza kusoma, anawafungia ndani wasiende shule wala kushika kitabu.

Halafu wakiwa hawajui kusoma (kwa sababu baba kawanyima nafasi ya kusoma) huyu baba awaadhibu kwa sababu hawajui kusoma.

Huyo baba nikisema ni chizi nitakuwa nimekosea?

Inakuwaje mungu afanye mambo kama chizi?
Mfano uliotoa mzuri sana unajibiwa kama ifuatavyo baba ndio umchagulia mtoto jina wala mtoto amchagulii baba jina mamlaka ya baba awez kuvaa mtoto hivyo hivyo mungu anafanya awezavyo kwa mamlaka yake
 
Watu wanakufa wanatengeana na wapenzi wao, familia zao marafiki.

Wwatu wanaumwa magonjwa.

Wwanapatwa na majanga, matetemeko, vita, moto, mafuriko, tsunami, wana umasikini, ujinga etc.

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, alishindwa kuumba ulimwengu ambao yote hayo hayawezekani?
Akili yako sio muongozo wa mungu fahamu Mungu ana mambo yake
 
Mungu mjuzi wa yote , mwenye uwezo wote na upendo wote anayehitaji kitabu na kuandikwa kwa hadithi ni wa kutungwa na watu tu.

Angekuwepo kweli, asingehitaji kitabu kuelezewa.
inawezakana ikawa sio yeye anayehitaji kitabu kuelezewa bali sisi ndio tunavihitaji kumuelewa,kama tunavyohitaji vitabu kuelewa elimu nyengine kama biolojia fizikia etc.
 
Mfano uliotoa mzuri sana unajibiwa kama ifuatavyo baba ndio umchagulia mtoto jina wala mtoto amchagulii baba jina mamlaka ya baba awez kuvaa mtoto hivyo hivyo mungu anafanya awezavyo kwa mamlaka yake
Unaelewa kwamba hujajibu swali la kwa nini Mungu amewanyima watu kumjua halafu anawaadhibu kwa kutomjua?
 
Rejea andiko vizuri dhul qarnaini ndie alieona jua likizama kwenye matope Mungu alikuwa akimpa mtume masimulizi juu ya kile dhul qarnaini alichoona kwa upeo wa macho yake

Ni sawa na ndio na sisi tunauliza hivi: Kama Dhul-Qarnaini ndiye aliona Jua likizama kwenye matope kwa kadri ya upeo wake wa macho na Mungu naye aliona vile vile au vipi? Je,ina maana baada ya Dhul-Qarnaini kuona Jua likizama matopeni ina maana ndiye alimueleza Mungu kwamba nimeona Jua likizama katika matope meusi? Na kama ndivyo, Mungu naye aliona ni sahihi kumusimulia hivyo hivyo Muhammad wakati Mungu anajua fika Jua haliwezi kuzama katika matope na Mungu anafahamu hivyo kwa sababu ni yeye aliyeliumba Jua?
 
Ni sawa na ndio na sisi tunauliza hivi: Kama Dhul-Qarnaini ndiye aliona Jua likizama kwenye matope kwa kadri ya upeo wake wa macho na Mungu naye aliona vile vile au vipi? Je,ina maana baada ya Dhul-Qarnaini kuona Jua likizama matopeni ina maana ndiye alimueleza Mungu kwamba nimeona Jua likizama katika matope meusi? Na kama ndivyo, Mungu naye aliona ni sahihi kumusimulia hivyo hivyo Muhammad wakati Mungu anajua fika Jua haliwezi kuzama katika matope na Mungu anafahamu hivyo kwa sababu ni yeye aliyeliumba Jua?
Umeona sasa mohamadi ndio aliulizwa na watu kuhusu dhul qarnaini na Mungu anamsimulia kama dhul qarnaini alivyoona na alivyofanya ilo swali lako watu awakumuuliza mtume hakuwa na sababu ya kulijibu uelewi nini
 
Kumbe,Muhammad ndiye anasema ukweli.Vizuri sana.Kwa hiyo, ni sehemu gani hapa Duniani ambako hilo Jua huzamia katika matope? Au Jua limeacha siku hizi kuzama kwenye matope?
Umeona sasa ilo swali mtume akuulizwa hakukuwa na sababu ya kulijibu halafu nimekwambia alieliona ni dhul qarnaini kwa upeo wa macho yake
 
Sio kila macho inachoona ni sahihi lakn alieona jiwe lazima useme aliona jiwe kama muonaji alivyoona kwa upeo wake
kwamantiki hii niwazi una kili kwamba muonaji ambaye ni dhur qArnain hakuwa sahihi"" lakini Mungu alishindw kulionA hilo kuwa jamaa hkuwa sahihi" then akadiriki kumuelezea muhhamad taarifa za dhur qarnaini" Huku akijua wazi kuwA dhur qarnaini hakuw sahihi"" halafu hilo jua aliliona akiwa wapi aisee ??" hapa ndio panaponivuruga
 
Akili yako sio muongozo wa mungu fahamu Mungu ana mambo yake
Hili jibu linaitwa "deus ex machina".

Deus ex machina - Wikipedia

Wagiriki wa kale walikuwa wanapenda sana tamthiliya na maigizo.

Sasa wale waandishi wa tamthiliya, mara nyingine, walikuwa wanaandika tamthiliya ambazo zinajichanganya, wanashindwa kuzimaliza kimantiki.

Waingereza wanasema "they paint themselves into a corner".

Maana yake, unatoa maelezo ambayo unakuta hayawezi kuwa reconciled kimantiki. Inabidi upate namna ya kumaliza tamthiliya.

Sasa waandishi wakawa wanatumia habari moja kumaliza hadithi ambayo haielezeki.

Wakawa wana limungu lao la uongo linashushwa na mashine, linamaliza kila kitu.

Ukishindwa kuelezea kitu, unataka kumaliza hadithi, unalishusha tu hilo limungu likaja likamaliza hadithi.

Watu wawili wanapigana na jeshi la watu elfu thelathini, huna jinsi ya kuelezea watashindaje ikaeleweka kimantiki? Unalishusha tu hilo limungu la uongo kutoka juu, linamaliza mchezo vizuri kuliko movie yoyote ya Rambo.

Mpaka leo hii, muandishi akiambiwa kamaliza hadithi kwa "deus ex machina" ni shutuma mbaya kwamba hajamaliza hadithi yake kimantiki, amelazimisha mwisho kw akumshusha Mungu wa uongo.

Hizi habari za "Mungu ana mambo yake" "Mungu hapangiwi" "Mungu anafanya kazi kwa miujiza" si majibu.

Ni kukubali kwamba huna majibu. Unalazimisha "Deus ex Machina".

Siajsema Mungu hana mambo yake, nimekuuliza unipe sababu za Mungu kufanya hivi na si vile.

Kitu ambacho umeshindwa.

Kwa sababu, huyo Mungu, hayupo.

Deus ex machina - Wikipedia
 
Mimi nilivyosoma Quran nikakutana na aya inasema kuna watu Mungu kawafanya mioyo yao iwe migumu wasimjue, akawaziba macho na masikio wasimjue, halafu Mungu huyo huyo atawahukumu watu hao hao kwa kutomjua Mungu, nikaona hiki kitabu ni cha kijinga sana.

Hilo fundisho linaitwa Predestination.Linafundishwa hivyo na Kurani,Ellen White (Sabato) na waprotestanti wengineo.Jambo la kushangaza hawasemi hao ambao destination yao iko coded ni akina nani na kama kweli mambo yako hivyo ni kwa nini bado wanahubiria watu makasani waokoke maana kama kuna watu tayari wameandikiwa fungu la kukosa au la kupata ni kupoteza nguvu tu maana kunakuwa hakuna cha kubadilika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom