Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Unataka uthibitisho gan tuanzie hapo
Tatizo hujui kusoma. Nimekuelza uthibitisho ninaoutaka katika post uliyonukuu, halafu unaniuliza nataka uthibitisho wa aina gani.

Nataka uthibitisho ulio na logical consistency.

Weka hapa uthibitisho huo.
 
Mkuu sisi huku [HASHTAG]#RomanCathoric[/HASHTAG] tunauza vyeti vya msamaha wa dhambi

Fungua uzi mkuu unaojitegemea juu ya suala hilo.Njia ya namna hii unayofanya ni kujishushia heshima yako kiakademia.Huwezi kujitetea dhidi ya kosa lako la kukomba mboga kwenye nyumba ya jirani kwa kusema kuwa mbona na wewe unasemwa kwa kumtongoza mke wa Mwigulu au Nape? Ukifanya hivyo, Hakimu atakupiga mvua ya miaka kama Lulu tu.Watch out.That is how logic na law works.
 
Hakuna uwongo wala ukweli hayo ni masimulizi mtume anapewa juu ya vile dhul qarnaini aliona na alifanya kwa upeo wa macho ya dhul the qarnaini over
hahaaaa aiseee kwel misingi ya dini inataka mwenye kuamini asiwe timamu," Kwan mkuu jua linatembea
 
Hapo ndipo tatizo lako lilipo Mungu anasimulia kisa cha Dhul qarnaini namna alivyofanya na alichoona sasa kama macho ya dhul qarnaini yaliona jua linazama ulitaka mungu aseme aliona ugali hapo tunazungumzia kisa na upeo wa dhul qarnaini

kuna haja ya kututhibitishia leo mbivu na mbichi! mkuu una uhakika Mungu alimhadithia Muhammad hicho kisa??
 
mbona aya ik wazi hyo,hayo maelezo yanaonyesha lokesheni ya alipokuwepo huyo dhurkarnain,ni sawa na kusema "aliliona jua likiwa linazama kwenye ufukwe wenye minazi mingi na mchanga mweupe,hiyo aya haielezei solar system na wala haihusiani na astronomy kwa namna yoyote kama mleta mada alivyoelewa.
 
Tatizo hujui kusoma. Nimekuelza uthibitisho ninaoutaka katika post uliyonukuu, halafu unaniuliza nataka uthibitisho wa aina gani.

Nataka uthibitisho ulio na logical consistency.

Weka hapa uthibitisho huo.
Logical consistency ni kitu gan naomba kiswahili yake fasaha mm lugha ya malkia sijui
 
Saafi kabisaa umesimulia ulichokiona kwenye Quran na ata mungu amemuhadithia mtume vile dhul qarnaini aliona na alifanya
Mungu mjuzi wa yote , mwenye uwezo wote na upendo wote anayehitaji kitabu na kuandikwa kwa hadithi ni wa kutungwa na watu tu.

Angekuwepo kweli, asingehitaji kitabu kuelezewa.
 
Logical consistency ni kitu gan naomba kiswahili yake fasaha mm lugha ya malkia sijui
Wewe kutojua lugha ya malkia ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kila mtu angejua lugha zote.

Logical consistency ni kutojipinga kimantiki.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo kwa namna isiyojipinga kimantiki?
 
naaam nikweli" kama anataka umjue kwanini akuandikie aya zenye mafumbo mafumbo wakati anajua kuwA hutoweza kumuelewa" kwanini asitumie uweza wake wa yote" kutoa aya ambayo itaweza kuelewka na watu wote" ili iweze Kuwa rahisi kwa wao kuweza kumuelewa ""

Na inawezekanaje Mungu aendelee kuona watu hatumuelewi kwa aya hiyo na hivi watu tunajikuta tunatoa tafsiri potofu juu ya Jua kutua katika matope na yeye anaendelea kuangalia tu mambo yakiharibika namna hiyo bila kuchukua hatua?Je,kwa ni kwa nini hatoi "manuals" za kufafanulia mapema iwezekanavyo?
 
Yaani kuna wakati huwa nawaza sana, jamii forum inasifika kwa kuwa na wanachama wanaojitambua na wenye bongo fikirishi (zisizokuwa na mipaka ya kufikiri) lakini unakuta mtu "anaropokwa" na maneno mpaka unashangaa hivi hawa ndo great thinkers wa nchi hii au ni kinyume chake...?.
 
Wewe kutojua lugha ya malkia ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kila mtu angejua lugha zote.

Logical consistency ni kutojipinga kimantiki.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo ka namna isiyojipinga kimantiki?
Wap kajipinga kimantiki tuanzie hapo
 
Nichanganye na zangu kwa kujiongeza kivipi?Kwamba Kurani haijaandikwa na Mungu na kisha kufungwa na kupewa Malaika Gabrieli na kisha akawa anasoma mstari mmoja baada ya mwingine kwa Muhammad?
Mungu sio mjinga kumwandikia.mtu aseyejua kusoma na kumwandikia uongo
 
Umepewa akili ili upambanue mambo ata kwa mungu watakiwa upambane kwelikweli hakuna rahisi duniani
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asiwawekee viumbe wake anaowapenda urahisi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom