Kasara Magafu
Member
- May 22, 2018
- 63
- 73
[HASHTAG]#shaibu hiwalisi[/HASHTAG]
Hebu kuja hku unisaidie
Hebu kuja hku unisaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali la mtoa mada ni jepesi lakini sijaona content yako ambayo imejibu hoja ya mtoa madaSwali lolote la kiislamu mepesi mepesi kama ya mtoa mada nitag mara moja nitafika
Hakuna uwongo wala ukweli hayo ni masimulizi mtume anapewa juu ya vile dhul qarnaini aliona na alifanya kwa upeo wa macho ya dhul the qarnaini overNdio tunataka kujua je Mungu ni muongo...?? Maana Mohamad alishushiwa quran
Tatizo hujui kusoma. Nimekuelza uthibitisho ninaoutaka katika post uliyonukuu, halafu unaniuliza nataka uthibitisho wa aina gani.Unataka uthibitisho gan tuanzie hapo
Mkuu sisi huku [HASHTAG]#RomanCathoric[/HASHTAG] tunauza vyeti vya msamaha wa dhambi
hahaaaa aiseee kwel misingi ya dini inataka mwenye kuamini asiwe timamu," Kwan mkuu jua linatembeaHakuna uwongo wala ukweli hayo ni masimulizi mtume anapewa juu ya vile dhul qarnaini aliona na alifanya kwa upeo wa macho ya dhul the qarnaini over
Nimejibu aya inanasema 'dhul qarnaini aliliona' sasa ww uelewi nn muonaji ni dhul qarnaini kwa upeo wa macho yakeswali la mtoa mada ni jepesi lakini sijaona content yako ambayo imejibu hoja ya mtoa mada
Hapo ndipo tatizo lako lilipo Mungu anasimulia kisa cha Dhul qarnaini namna alivyofanya na alichoona sasa kama macho ya dhul qarnaini yaliona jua linazama ulitaka mungu aseme aliona ugali hapo tunazungumzia kisa na upeo wa dhul qarnaini
Sio kila macho inachoona ni sahihi lakn alieona jiwe lazima useme aliona jiwe kama muonaji alivyoona kwa upeo wakehahaaaa aiseee kwel misingi ya dini inataka mwenye kuamini asiwe timamu," Kwan mkuu jua linatembea
Mbona aya iko wazi rejea 18:83kuna haja ya kututhibitishia leo mbivu na mbichi! mkuu una uhakika Mungu alimhadithia Muhammad hicho kisa??
Logical consistency ni kitu gan naomba kiswahili yake fasaha mm lugha ya malkia sijuiTatizo hujui kusoma. Nimekuelza uthibitisho ninaoutaka katika post uliyonukuu, halafu unaniuliza nataka uthibitisho wa aina gani.
Nataka uthibitisho ulio na logical consistency.
Weka hapa uthibitisho huo.
Mungu mjuzi wa yote , mwenye uwezo wote na upendo wote anayehitaji kitabu na kuandikwa kwa hadithi ni wa kutungwa na watu tu.Saafi kabisaa umesimulia ulichokiona kwenye Quran na ata mungu amemuhadithia mtume vile dhul qarnaini aliona na alifanya
Wewe kutojua lugha ya malkia ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Logical consistency ni kitu gan naomba kiswahili yake fasaha mm lugha ya malkia sijui
naaam nikweli" kama anataka umjue kwanini akuandikie aya zenye mafumbo mafumbo wakati anajua kuwA hutoweza kumuelewa" kwanini asitumie uweza wake wa yote" kutoa aya ambayo itaweza kuelewka na watu wote" ili iweze Kuwa rahisi kwa wao kuweza kumuelewa ""
Umepewa akili ili upambanue mambo ata kwa mungu watakiwa upambane kwelikweli hakuna rahisi dunianiMungu mjuzi wa yote , mwenye uwezo wote na upendo wote anayehitaji kitabu na kuandikwa kwa hadithi ni wa kutungwa na watu tu.
Angekuwepo kweli, asingehitaji kitabu kuelezewa.
Wap kajipinga kimantiki tuanzie hapoWewe kutojua lugha ya malkia ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, kila mtu angejua lugha zote.
Logical consistency ni kutojipinga kimantiki.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo ka namna isiyojipinga kimantiki?
Mungu sio mjinga kumwandikia.mtu aseyejua kusoma na kumwandikia uongoNichanganye na zangu kwa kujiongeza kivipi?Kwamba Kurani haijaandikwa na Mungu na kisha kufungwa na kupewa Malaika Gabrieli na kisha akawa anasoma mstari mmoja baada ya mwingine kwa Muhammad?
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asiwawekee viumbe wake anaowapenda urahisi?Umepewa akili ili upambanue mambo ata kwa mungu watakiwa upambane kwelikweli hakuna rahisi duniani