Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Rejea andiko vizuri dhul qarnaini ndie alieona jua likizama kwenye matope Mungu alikuwa akimpa mtume masimulizi juu ya kile dhul qarnaini alichoona kwa upeo wa macho yake
[emoji101] [emoji101]
 
Mbona una muhukumu mohamadi kwa kitu ambacho hakusema izi aya muwe mnazisoma vizuri

Ni kweli Muhammad kwa mjibu wa Kurani hana la kwake alilolisema isipokuwa ni maneno ya Mungu aliyopewa na Malaika na Gabrieli.Sasa kwa hiyo, hizi lawama tumpe Mungu wake na Muhammad, kwa kumpatia Muhammad mambo yasiyokuwa na uhalisia wala ukweli au?Na je kama ndivyo,ina maana kuanzia sasa, Waislamu walie na Mungu wa Muhammad kwa kuwatumbukiza katika janga la uongo kama huo wa Kisayansi?
 
Ivi jua lipo ndani ya dunia au nje maana mi sielewi?na kama lipo nje ya dunia ww wa duniani umelionaje ilo jua
 
Mungu anaumba atakavyo sio utakavyo
Hapana.

1.Hujathibitisha kwamba Mungu yupo, hutakiwi kusema Mungu anaumba hivi au vile kama hujathibitisha Mungu yupo.

2. Mungu gani hana logical consistency? Unaelewa kwamba bila logical consistency unakosa msingi wowote wa kusema Mungu yupo? Unaelewa ukikataa logical consistency umekubali unaposema Mungu yupo umaanishe hayupo na unaposema hayupo umaanishe yupo na chochote unachosema kiweze kutafsiriwa vyovyote? Unaelewa kwamba ukikataa logical consistency huna cha kujadili hapa, kwa sababu mjadala unataka logical consistency?
 
Rejea andiko vizuri dhul qarnaini ndie alieona jua likizama kwenye matope Mungu alikuwa akimpa mtume masimulizi juu ya kile dhul qarnaini alichoona kwa upeo wa macho yake
alaaaa" kwahiyo " mungu akamdhihirishia mtume kuwa nikweli" jua huwa linazama kwenye tope""''?? na dhurkarnain aliliona akiwa nchi gani"? angani" au" hapa hapa duniani "'?
 
Ni kweli Muhammad kwa mjibu wa Kurani hana la kwake alilolisema isipokuwa ni maneno ya Mungu aliyopewa na Malaika na Gabrieli.Sasa kwa hiyo, hizi lawama tumpe Mungu wake na Muhammad, kwa kumpatia Muhammad mambo yasiyokuwa na uhalisia wala ukweli au?Na je kama ndivyo,ina maana kuanzia sasa, Waislamu walie na Mungu wa Muhammad kwa kuwatumbukiza katika janga la uongo kama huo wa Kisayansi?
Hapo ndipo tatizo lako lilipo Mungu anasimulia kisa cha Dhul qarnaini namna alivyofanya na alichoona sasa kama macho ya dhul qarnaini yaliona jua linazama ulitaka mungu aseme aliona ugali hapo tunazungumzia kisa na upeo wa dhul qarnaini
 
alaaaa" kwahiyo " mungu akamdhihirishia mtume kuwa nikweli" jua huwa linazama kwenye tope""''?? na dhurkarnain aliliona akiwa nchi gani"? angani" au" hapa hapa duniani "'?
Umeona sasa unapoongeza maneno mtume kasimuliwa kisa amepata mazingatio juu ya uchamungu wa dhul qarnaini ww unaleta story zako
 
Nzito na nyepesi
haya karibu tena kwenye mjadalA " system ya. hapa NikiuLiza/ kuulizwa' nakjibu kila hoja utakayoulizwa"" kama haujui ulichoulizwa " unakubali tu kwamba haujui ", kukubali kwako hakutokupunguzia kitu'' maana hakuna ajuaye kila kitu
 
na kule Roma ilikuwa unafungiwa sakramenti au kufukuzwa kabisa kuwa muumini kama ungetamka kuwa "dunia inalizunguka jua" pia wanasayansi wa kanisa waliamini dunia ni kama meza hivi ambapo unaweza kutembea hadi mwisho ambapo kuna "korongo" kubwaa!
Sasa hivi kanisa linapambana na utafiti na majaribio ya stem cell, maana siku akitengezwa binadamu kwenye maabara ndio utakuwa mwisho wa mafundisho ya "dhambi ya asili"

Sijawahi kuiamini hii misahafu na waandishi wake! Japo mimi ni mkatoliki kanisani huwa naenda kama " social activity" na sio kuitafuta mbingu.
Ahaaa tunauza vyeti vya msamaha wa dhambi
 
Hapana.

1.Hujathibitisha kwamba Mungu yupo, hutakiwi kusema Mungu anaumba hivi au vile kama hujathibitisha Mungu yupo.

2. Mungu gani hana logical consistency? Unaelewa kwamba bila logical consistency unakosa msingi wowote wa kusema Mungu yupo? Unaelewa ukikataa logical consistency umekubali unaposema Mungu yupo umaanishe hayupo na unaposema hayupo umaanishe yupo na chochote unachosema kiweze kutafsiriwa vyovyote? Unaelewa kwamba ukikataa logical consistency huna cha kujadili hapa, kwa sababu mjadala unataka logical consistency?
Unataka uthibitisho gan tuanzie hapo
 
haya karibu tena kwenye mjadalA " system ya. hapa NikiuLiza/ kuulizwa' nakjibu kila hoja utakayoulizwa"" kama haujui ulichoulizwa " unakubali tu kwamba haujui ", kukubali kwako hakutokupunguzia kitu'' maana hakuna ajuaye kila kitu
Swali lolote la kiislamu mepesi mepesi kama ya mtoa mada nitag mara moja nitafika
 
na kule Roma ilikuwa unafungiwa sakramenti au kufukuzwa kabisa kuwa muumini kama ungetamka kuwa "dunia inalizunguka jua" pia wanasayansi wa kanisa waliamini dunia ni kama meza hivi ambapo unaweza kutembea hadi mwisho ambapo kuna "korongo" kubwaa!
Sasa hivi kanisa linapambana na utafiti na majaribio ya stem cell, maana siku akitengezwa binadamu kwenye maabara ndio utakuwa mwisho wa mafundisho ya "dhambi ya asili"

Sijawahi kuiamini hii misahafu na waandishi wake! Japo mimi ni mkatoliki kanisani huwa naenda kama " social activity" na sio kuitafuta mbingu.
Mkuu sisi huku [HASHTAG]#RomanCathoric[/HASHTAG] tunauza vyeti vya msamaha wa dhambi
 
wala hakuna msuli ndugu yangu aya iko wazi sema mtoa mada ameleta ujuaji tu

Onyesha ujuaji wangu! Mimi sikuwepo Mkuu wakati Mungu akimsimulia Muhammad juu ya hicho kisa cha Dhul-Qarnaini.Na mimi nimerudia tu kusimulia hicho kisa kama vile ambavyo Muhammad alivyokisimulia kupitia maneno ya Mungu!Na kama wewe, unaelewa vinginevyo tofauti na Muhammad alivyoripoti kisa hicho,basi tupatie ufafanuzi ambao pia Mungu atauthibitisha kuwa ni kweli, kama ambavyo ameithibitisha Kurani.
 
Umeona sasa unapoongeza maneno mtume kasimuliwa kisa amepata mazingatio juu ya uchamungu wa dhul qarnaini ww unaleta story zako
hahaaaa"" mazingatio ya ucha mungu kwakupitia maneno aliyoambiwa"" kwamba jua huwa linazama kwenye matope""?? halafu maneno yapi niliyoyaongeza"" hivi nikweli hata wewe hautaki kujua huyo dhur qarnain " Aliliona hilo jua akiwa wapi duniani au angani"'?
 
Onyesha ujuaji wangu! Mimi sikuwepo Mkuu wakati Mungu akimsimulia Muhammad juu ya hicho kisa cha Dhul-Qarnaini.Na mimi nimerudia tu kusimulia hicho kisa kama vile ambavyo Muhammad alivyokisimulia kupitia maneno ya Mungu!Na kama wewe, unaelewa vinginevyo tofauti na Muhammad alivyoripoti kisa hicho,basi tupatie ufafanuzi ambao pia Mungu atauthibitisha kuwa ni kweli, kama ambavyo ameithibitisha Kurani.
Saafi kabisaa umesimulia ulichokiona kwenye Quran na ata mungu amemuhadithia mtume vile dhul qarnaini aliona na alifanya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom