Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Bwashee hujui unachokiongelea. Nani alikuongopea uislamu ulienea kwa kupendwa na watu au kwa hiyari yao.
Nenda kasome upya historia ya kusambaa kwa uislamu kuanzia kwa mtume hadi makhalifa wake utajua nini kilitokea.
 
Kwanza ujakanusha kuwa Israel imepatikana Baada ya damu nyingi kumwagika (wenyeji kuuliwa ili wageni watawale nchi), kwa vita ni jambo ambalo Mungu anakubaliana nalo ndio maana unazunguka tu , halafu unazungumzia kwenda Mecca lazima uzungumzie ile ni nguzo ya uislamu kabisa tena imefanywa nyepesi "Kwenda kuhiji kwa mwenye UWEZO" kinyume cha hapo hakuna kosa ebu soma mbona uislamu ni rahisi, kuhusu kuhubir miaka 13 Maka mbona kawaida kwani kabla Musa ajaanza vita kuelekea KUTEKA za watu si alizungushwa miaka 40 jangwani , ahahahaahaha mjomba ukija hapa uwe umejipanga, halafu hao wakina safiyah wewe unacholia hapo ni kipi mbona musa alipowaua watoto alibakisha VIBIKIRA ili wana waisrael wawafanye wake , ukija hapa zungumza mambo ya maana hapa sio kuja kulalamika
 
Bwashee hujui unachokiongelea. Nani alikuongopea uislamu ulienea kwa kupendwa na watu au kwa hiyari yao.
Nenda kasome upya historia ya kusambaa kwa uislamu kuanzia kwa mtume hadi makhalifa wake utajua nini kilitokea.
Kwani wakaanan walikubali kuachia nchi kwa hiari yao au Mungu wenu aliamrisha wauliwe? ile nchi yenyewe ya ahadi tu MMEDHULUMU halafu unajifanya unaujua uislamu ahahahahahaahhahahaha
 
Ahahaahaahahahahahaha kumbe Wewe ni hamnazo ahahahahhaha hii haikufundishi kufanya baadhi ya binadamu wenzenu(yesu) kuwa ni Mungu badala ya Mwenyezi Mungu huo ni utovu ni nidhamu, halafu nilishakwambia mtume alimaliza alisoma kila kitu na dini akaikamilisha na Mungu, akathibitisha kuwa mtume amekamilisha dini ukirejea hutuba ya hija ya kuaga huu utumbo wako utaacha
 
Wewe bado Mweupe sana.. Hujui hata usemalo.

Kwa kukusaidia tu, nikukumbushe:
Ukoo wa Ukuhani wa Mungu wa Mbinguni ni Abraham, Isaka na Israel(Yaani Yakobo). Hata allah ni shahidi wa hili.
Allah anawajua wengi zaidi ya hao kabla hata Ibrahim ajazaliwa kama umefungwa akili hilo ni kosa lako
 
Ishara ya nabii Yona unaijua ? au unaendelea kujiaminisha urongo ili upate pakutupia laana zako, hilo tukio ni fake ndio maana kuna yesu alisulubiwa saa tatu na kuna yesu alisulubiwa saa sita ni maigizo hayo
 
Ahahahahahahahahaha mna mashaka makubwa ni yesu yupi alisulubiwa saa tatu halafu ni yesu yupi alisulubiwa saa sita, ahahahahah ni yesu yupi alivikwa dhambarau , halafu yesu yupi alivikwa jekundu, hili tukio ni fake nyie mmesulubu wauza maembe mnasema yesu
 
Ahahahahahahahahaha mna mashaka makubwa ni yesu yupi alisulubiwa saa tatu halafu ni yesu yupi alisulubiwa saa sita, ahahahahah ni yesu yupi alivikwa dhambarau , halafu yesu yupi alivikwa jekundu, hili tukio ni fake nyie mmesulubu wauza maembe mnasema yesu
 
weka unaposema alikata aya upate daawa [emoji382] [emoji53] hatukuja kucheza humu ilaha kufanya mapofu yaone na waliofungwa na ibilisi wafunguliwe na kuachwa huru [emoji123] [emoji106]
Ahahahahhhahahaha nimekwambia hoja yenyewe ilikuwa dhaifu siwezi kuangaika nayo akiirejea mbeleni ntamjibu tena , ndio kazi yangu kuwaondoa gizani na kuwaweka kwenye nuru, ahahahahahahaha kumitoa kwenye bingwa la KUFURU Paulo "kwa UPUMBAVU wa Mungu" ni ngumu kutetea kufuru
 
Ulicho c&p hapo ni dhana wanadhani [emoji53] nimekwambia weka ayat toka Biblia Tukufu humu kwamba Wakristo wanae Mungu zaidi ya Mmoja [emoji15] [emoji12] wee vipi [emoji15] [emoji47] [emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
Unataka aya ya namna gani ili tukumalize kweupeeeeeee , na iwe mwisho kumsikiliza Paulo bingwa kufuru
 
Ahahahaahahhahahaa Paulo ndio kamilisha ujinga huo Ahahaahahaha sisi hatuelewe utatuma sana.mapicha mpaka adabu ikupate ujue kutofautisha kati ya Mungu na viumbe wake
 
Wamwagie upupu hao uwawashe kweli kweli
 
4:158 imemaliza utata kabisa, mwenye macho na aone
 

angekamilisha angesema [emoji117] tatizo bado linakurudia kwamba HUJUI KUSOMA [emoji12] kama unaona unajua KUSOMA kamkoromee allah na baba kassim walio sema HUJUI KUSOMA, HUJUIIII [emoji12] ni mazwazwa tu! na dalili mojawapo ni kwamba HUJUI NI KUMBISHIA mgen wakti si yeye aliye sema ilaha kanukuu kauli ya allah kwa mdomo Wa baba fatuù kwamba HAMJUI KUSOMA [emoji53] [emoji12] kama kweli wewe sio kafir kwa kauli HIYO YA ALLAH KUWA HUJUI KUSOMA ungepiga takbirr kubwa na kufunga bakuli lako [emoji53]
 
Ahahahaahahhahahaa Paulo ndio kamilisha ujinga huo Ahahaahahaha sisi hatuelewe utatuma sana.mapicha mpaka adabu ikupate ujue kutofautisha kati ya Mungu na viumbe wake

wewe mwenyewe umeandika HATUELEWI sasa ukiambiwa sababu ya KUTOELEWA WA KUKUELEWESHA KAFAÀ KAFA... usiwe mbishi kama ust omary aliesema kwamba wowote atakaesema baba kassim kafa namsembua kichwa [emoji53] HAKI YA MUNGU USIPO TUBU KAULI YAKO YA MUNGU HANA UWEZO KAMA UTAIONA PEPO KWA KUFURU HIYO LABDA MUNGU BABU YAKO ALIYE MZAA mushahara [emoji53] TUBU DAUDI KABLA HUJANUNA [emoji24] [emoji24]
 
4:158 imemaliza utata kabisa, mwenye macho na aone
Mathayo 16:21-23
[21]Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.
[22]Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, Hasha, Bwana, hayo hayatakupata.
[23]Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.

Yohana 3:14
Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa;

Ili mbegu iote na Kuzaa Matunda lazima kWanza Ife.
 
Huna MAMLAKA WALA SIFA YA kuwasema WAKRISTO [emoji12] [emoji15] tatizo la kutojua kusoma bado limekunda na utakufa nalo kama aliyo kufa baba kassim [emoji53] [emoji12]
 
Huu sasa ni Msiba unao [emoji24] [emoji24]
 
Unataka aya ya namna gani ili tukumalize kweupeeeeeee , na iwe mwisho kumsikiliza Paulo bingwa kufuru
umeanza qasida [emoji12] weka ayat Toka Biblia Takatifu Wakristo wana Mungu zaidi ya.1 [emoji53]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…