masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Jibu swali nani alimiambia nyie ni wakristo? wapi mlianza kuitwa wakristo, wanafunzi wa yesu wameishi na yesu mda wote hakuna aliejiita mkristoAlisema.... enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu.
Sasa sisi ni wanafunzi wa Kristo. Ufupi.. Wakrito.
Tofautisha Judaism , Israel na ukristo. Ukristo ni imani agano uliloasisiwa na Yesu. Haujawahi kuwa dola na kupigania ardhi au lolote katika dunia. Na. pia tofautisha Ukristo na Uroma au Usabato au Protestant .Hoja yako aina mashiko kabisa kuhusu mademu kuhusu vita watu wengi wakiwemo manabii walipigana na kushiriki vita kama Musa hata nabii Samweli kama hujui ndie aliemuua mfalme AGAGI yule wa Amaleki baada ya Mungu wako kutoa amri ya kuuliwa amaleki wote lakini mfalme sauli akaona noma, na hii ndio sababu ya Sauli kupokonywa ufalme KUSHINDWA KUUA AMELEKI WOTE , sasa hapa hoja hakuna, tukija kwa wanawake hata Musa aliwateka na akawafanya vijakazi na wengine waisrael wakawafanya wake, kuhusu kueneza uislamu kwa vita hilo ni dai lisilo na mashiko nakuuliza swali ni njia gani waisrael walipotoka misri walitumia kuwaondoa wenyeji wa nchi ya ahadi?
Mbona unazunguka KUFURU Paulo anazijua kwelikweli
WAKORINTHO wa kwanza 1:25
"Kwa sababu UPUMBAVU wa Mungu, una hekima zaidi ya wanadamu , na UDHAIFU wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu";
aahhahahaahhajhha ana adabu ata kidogo yaani Mungu ana kaupumbavu , hakuna nabii hata mmoja aliewahi kukosa adabu kwa Mungu , zaidi ya huyu bingwa wa kufuru
Ahahahahahahahahhhhahahahahahaha utakataa vitabu vyote vya nyuma, sasa unashangaa vipi nabii kupigana vita kumbe unajua wakina samweli walipigana ahahahahahaahhahhahaaha , ndio maana nikasema hoja yako haina mashiko mpaka unamuona Yesu anazaliwa hapo watu wamemwaga damu na Mungu aliwaamuru kumwaga damu za watu, kwahiyo amri ya kupigana vita sio ngeni kwa MunguTofautisha Judaism , Israel na ukristo. Ukristo ni imani agano uliloasisiwa na Yesu. Haujawahi kuwa dola na kupigania ardhi au lolote katika dunia. Na. pia tofautisha Ukristo na Uroma au Usabato au Protestant .
Samwel alikua na mission kwa Waisrael kupigania uwepo wake ili dunia tuamini Mungu anayeabudiwa Israel ni mkùu kuliko miungu wengine wote akiwemo Allat.
Pia Samwel kama nabìi hakuwahi kùua kama Mohamed wa warembo.
Ahahahaahahahaah Musa alipagana vita zote za kidini ndio maana aliambiwa awapige mpaka waache kuabudu masanamu( vita vya kitaifa wapi na wapi na kuabudu)Kwa nyongeza.
Vita za kinadaudi zilikua za kitaifa si kidini hawakulazimisha mateka wao kuabudù katika Judaism. Ile Mohamed alilazimisha victim kuwa waislam
Petro huyu ndio yule asie na elimu au kuna mwengine? AhahaahahahhhhjView attachment 867962 [emoji118] [emoji117] hujui kusoma, aliye takiwa kukusomea kafa...hivyo sishangai unavyo yapotoa Maandiko[emoji12]
Issue ni ukristo haujawahi kuenezwa kwa panga. Note Ukristo ulianza kwa Yesu.Ahahahahahahahahhhhahahahahahaha utakataa vitabu vyote vya nyuma, sasa unashangaa vipi nabii kupigana vita kumbe unajua wakina samweli walipigana ahahahahahaahhahhahaaha , ndio maana nikasema hoja yako haina mashiko mpaka unamuona Yesu anazaliwa hapo watu wamemwaga damu na Mungu aliwaamuru kumwaga damu za watu, kwahiyo amri ya kupigana vita sio ngeni kwa Mungu
Kwahiyo kwa hoja yako ni kuwa Mungu wa Musa na Mungu wa samweli alifanya kosa kuruhusu matumizi ya panga?Issue ni ukristo haujawahi kuenezwa kwa panga. Note Ukristo ulianza kwa Yesu.
Na vita za kabla ya Yesu hakuwa na lengo la kueneza Judaism. Bali kudhihilisha Mungu wa Judaism ni mkùu kuliko miungu yote hata mungu Allah wa Waomori na Wakoreshi kwao na Mohamed wa Mademu. Alishindwa vita na Mungu wa Israel
Tabu unayo wewe usie juwa la dhara wala maskhara [emoji12]Tabu iko pale pale ata ukikenua meno kama chai jaba
Mpaka yesu anaondoka hakuna ukristo wew unapaswa kutuambia nani alianza kumiita nyie wakristo?Issue ni ukristo haujawahi kuenezwa kwa panga. Note Ukristo ulianza kwa Yesu.
Na vita za kabla ya Yesu hakuwa na lengo la kueneza Judaism. Bali kudhihilisha Mungu wa Judaism ni mkùu kuliko miungu yote hata mungu Allah wa Waomori na Wakoreshi kwao na Mohamed wa Mademu. Alishindwa vita na Mungu wa Israel
Hahaha. Naona unatunga kitabu mpya kama Mohamed. Hiyo haujawahi kuweko katika bible. Mussa hajawahi kuwafanya kabila lolote waabudu katika Judaism.Ahahahaahahahaah Musa alipagana vita zote za kidini ndio maana aliambiwa awapige mpaka waache kuabudu masanamu( vita vya kitaifa wapi na wapi na kuabudu)
Hapa hatukuonei huruma ata kidogo ni mwendo wa kipigo tu mpaka unyookeTabu unayo wewe usie juwa la dhara wala maskhara [emoji12]
eti kipigi [emoji38] [emoji38] [emoji38] basi hapo kwa akili za kisilamu unaona umepatiaaà na unamnusuru mtume [emoji4]Maligo ndio nini wewe? unajibujibu tu kipigo kimekuwa kikali kama cha mbwa koko ahahahahaahhahhahajahaha
Ahaahahahahahhahhha rudi tena ukasome uwezo wako mdogo hii ndio amri aliopewa musa na akaitekeleza mjomba hatubahatishiHahaha. Naona unatunga kitabu mpya kama Mohamed. Hiyo haujawahi kuweko katika bible. Mussa hajawahi kuwafanya kabila lolote waabudu katika Judaism.
Mbona unalialia ndio kwanza nimeanza kutoa mabomu ya mkono , utaita maji mma Wewe ni jiwe juu ya jiweeti kipigi [emoji38] [emoji38] [emoji38] basi hapo kwa akili za kisilamu unaona umepatiaaà na unamnusuru mtume [emoji4]
Ndo tofauti na Mohamed. Mohamed aliteka na kuwafanya waislam.Ahaahahahahahhahhha rudi tena ukasome uwezo wako mdogo hii ndio amri aliopewa musa na akaitekeleza mjomba hatubahatishi
KUMB la Torati 20:17-18
17";Lakini uwaangamize kabisa , mhiti, na mwamori, na mkaanan, na mperizi , na mhivi,na myebusi, kama alivyokuamuru Bwana Mungu wako;
18";. Wasije WAKAWAFUNZA kufanya mfano wa MACHUKIZO yao, yote; waliyoifanyia MIUNGU yao; hivyo itakuwa ni MAKOSA juu ya Bwana, Mungu wenu";
ahahahahahahahahhahahahhaha tena WAUENI wote kwa taarifa yako hao ndio walikuwa wenye nchi yao hiyo ya ahadi, kisingizio cha kuwaua umekiona mubashara " “WASIJE WAKAWAFUNZA KUFANYA MFANO WA MACHUKIZO YAO YOTE,WALIYOIFANYIA MIUNGU YAO" ,hii ni sababu tu lakini lengo walikuwa wanataka kupora nchi ya watu
Mbona unalialia ndio kwanza nimeanza kutoa mabomu ya mkono , utaita maji mma Wewe ni jiwe juu ya jiwe
Namaanisha mikengele [emoji53]Petro huyu ndio yule asie na elimu au kuna mwengine? Ahahaahahahhhhj
MATENDO YA MITUME 4:13
";Basi walipoona ujasiri wa PETRO na YOHANA,na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na ELIMU, wasio na MAARIFA , wakastaajabu,,wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na yesu";
ahahahhahabahaahajajajjjaja unamaanisha hawa au kuna wengine
Ni kweli kwani mimi nikikuambia uliandika message yako 9:34 am na mwengine akiandika uliandika message yako saa 12:34 pm wote wako sawa au vipi ??Waandishi waliandika kile walichoandika. Hata Leo tukio moja reporter huandikà katika angel tofauti na priority tofauti.