masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Mbona unaangaika ebu tuambie Mungu yupi aliemwagiza Musa kuwaua wenyeji wa nchi ya ahadi? au Musa alikuwa na Mungu mpyaMadhumuni ya sheria ni Rohoni [emoji106] watu kwa udhaifu wao wame isheheresha kimwili [emoji12] Ndipo Yesu kaja Kuitimiliza [emoji117] View attachment 874222 na Prof; Paulo kapigilia msumari [emoji117] View attachment 874223 [emoji123] [emoji57] Mungu hajatengua popote kwamba Yeye ndie MWENYE kulipiza kwa Ajili Yetu [emoji117] View attachment 874224 namshangaa baba fatùû kuleta mafundisho dhaifu [emoji117] View attachment 874226 Ndipo nikajiuliza jee umembaka gavana na jumla mvutu [emoji15] kwa mujibu wa baba fatûú LAZIMA naye akubake na kukula mvutu ili awe na akili na UHAI [emoji106] jee akikukuta wewe mtemi kashindwa kukubaja fatwa yake ipi [emoji47] [emoji47]
KUMB la TORATI 20:17
", lakini UWAANGAMIZE kabisa , mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na mhivi,na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako",
Ahahahaahhahahaahahaha bila amri kama izi Israeli mngeisikia kwenye video ahahahahahhhahaahahahhaha