Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Mimi nashindwa kumuamini Mohammad kwanza wakat anapokea revelations ushahidi hakuna alikuwa peke yake
2 hakufanya miujiza zaidi ya kupaa na farasi(hakuwa na shahidi aliemuona) tofauti na Yesu aliemfufua Lazaro watu wakishuhudia
Aliuliza tufani ziwani watu wakishuhudia
Akitembea juu ya maji watu wakishudia
Alinisha watu 5000 hii ni miujiza isio na shaka kwanin Mohammad alipokea maandiko pekee yake bila ushahidi tutakuamini vipi?
 
Unamkwepa kiranga ili mada yako ishambulie upande unaoutaka..hahahaaa
Mtu anakwambia hataki uongo.

Mpaka hapo niko naye. Na mini sitaki uongo.

Anaonesha uongo wa Quran. Mpaka hapo niko naye. Na mimi nauona uongo wa Quran.

Nikimwambia tuendelee kupinga uongo basi. Na huu wa Biblia nao ni uongo. Tuupinge. Au kama unaona si uongo nieleweshe labda mimi nakosea.

Mtu anakimbia mjadala. Hataki kujadili uongo wa Biblia.

Hapo naona huyu hapingi uongo.

Anapinga Quran tu.

Uongo wa Biblia mbona anaukumbatia na hataki kuujadili?
 
Hahahahaha jua haina pa kuzalia labda ulimaanisha black hole
 
 
Embu msipoteze muda na porojo ! The sun is almost entirely made of two Major gases
Hydrogen 75% &,helium15%
The huge amount of thickness of the gases leads to nuclear fusion which produces light/heat
The light give us life here on earth
 
Nilitaka kuingia kwenye mjadala ila nikakutana na Swali la Joshua kusimamisha jua wakati jua lipo static na bado watu wanaami kuwa kweli alisimamisha nikaona bora niwaachie wafia dini.
 
Unamkwepa kiranga ili mada yako ishambulie upande unaoutaka..hahahaaa

Ni mtu ambaye hajasoma vizuri na kutaalumika vya kutosha katika masuala ya Mantiki ndiye anaweza kuona alichokifanya Kiranga ni suala la Kisomi.Mjadala ni juu ya Jua kuzama katika matope meusi, yeye Kiranga anakuja anazusha mjadala mpya ndani ya mjadala! Katika ulimwengu wa Logiki hilo ni kosa na linaitwa The Fallacy of Red Herring Arguments.Kwa hiyo, ni kwa kuelewa kuwa Kiranga kafanya kosa hilo la kimantiki,mimi sijataka kabisakufanya kosa kama hilo.

Mimi natambua makosa yanayofanywa na watu katika mijadala na mwisho wa siku wanashindwa hoja hivi hivi tu.Wakati ukituruhusu siku nyingine tutajadili suala la makosa ya kimantiki munayofanya waislamu munapokuwa mnajibu hoja za Muhammad na Uislamu.Mambo haya lazima muyafahamu vizuri vinginevyo mtaendelea kuonekana vichekesho katika kila Angle kuanzia kwenye unabii hadi namna munavyoutetea huo unabii.
 
Embu msipoteze muda na porojo ! The sun is almost entirely made of two Major gases
Hydrogen 75% &,helium15%
The huge amount of thickness of the gases leads to nuclear fusion which produces light/heat
The light give us life here on earth
Umeongea kitu kinachoweza kuwa verified na astronomical spectroscopy.

Astronomical spectroscopy - Wikipedia

Kuona kizazi cha leo bado kinaamini hiyo mivitabu ya dini iliyoandikwa katika zama za ujinga inayosema jua linazama kwenye tope ni jambo la fedheha kubwa.

Watu wa zamani naweza kuwasamehe hawakuwa na sayansi ya kujua mambo. Habari zilikuwa ngumu kupatikana. Hata kujua kusoma watu walikuwa hawajui. Vitabu vilikuwa anasa vinaandikwa kwa mkono.

Leo hii watu tunatembea na internet mkononi kwenye 4G networks halafu watu bado wanaamini hizi habari za Biblia na Quran bado?

Kwa kisa gani?
 
Embu msipoteze muda na porojo ! The sun is almost entirely made of two Major gases
Hydrogen 75% &,helium15%
The huge amount of thickness of the gases leads to nuclear fusion which produces light/heat
The light give us life here on earth

Mimi na wewe tunaweza kufahamu hivyo lakini ushahidi wetu ni upi juu ya hilo? Kwa mjibu wa Kurani,Mungu ndiye alimuona Alexander the Great (Dhul-Qarnaini) akiliona Jua likizama katika matope.Sasa mwenzangu mimi na wewe tuna ushahidi gani au ubavu gani wa kupingana na Mungu?
 
Usiitukane kuran mkuu, waweza tupa mbadala wa kitabu unachoona chafaa kwa sisi kukiamini pasipo kuitukana kuran. We tupe tu book zako hizohizo za sayansi unazoziamini tupatie ili zitupindishie imani zetu kutoka kwenye kuran tuwe kama wewe!
 
Vatican imesubiri miaka 350 kukubali kwamba ilikosea na kumuomba radhi Galileo.

The New York Times waliandika hii habari hapa chini.

Halafu mtu anayefuata habari za hili kanisa eti naye anaisema Quran kwa sababu Quran ina uongo.

After 350 Years, Vatican Says Galileo Was Right: It Moves After 350 Years, Vatican Says Galileo Was Right: It Moves
 
Naona unajaribu kumfanya Mungu afikiri kama ewe mavumbi unavyofikiria!!
 
Usiitukane kuran mkuu, waweza tupa mbadala wa kitabu unachoona chafaa kwa sisi kukiamini pasipo kuitukana kuran. We tupe tu book zako hizohizo za sayansi unazoziamini tupatie ili zitupindishie imani zetu kutoka kwenye kuran tuwe kama wewe!
Kwa nini unanikataza kukikosoa kitabu kama kina uongo?

For starters, anza na Feynman's Lectures on Physics. Cha Richard Feynman. Series ya Lectures ina vitabu vitatu. Pitia vitatu vyote. Fanya na mazoezi yake.

Halafu nenda kwa Roger Penrose. Soma " The Road To Reality: A Complete Guide To The Laws of The Universe".

Hicho unaweza kusoma polepole huku ukipozea na "A Brief History of Time: From The Big Bang To Black Holes" cha Stephen Hawkings.

Halafu uje tujadili hapa.

Not that havina makosa, but the worldview is quite above the bullshit in the Quran and Bible. Plus it does nit clain to be beyond reproach. You can get a Nobel in Physics for improving this outlook.

Unlike the Bible or Quran.

Soma halafu tujadili.
 
Naona unajaribu kumfanya Mungu afikiri kama ewe mavumbi unavyofikiria!!
Kabla ya kusema Mungu hivi au vile.

Unaweza kuthibitisha yupo kwa namna yenye kutojipinga kimantiki?

Usiweke stories nyingi kumhusu Mungu ambaye hata kuthibitisha kwamba yupo huwezi.
 

Hiyo sio hoja tena! Washauri sasa na Waislamu wafanye ammendments katika Kurani kuondoa hiyo aya?

Kiranga, mbona unajadili kwa kufanya makosa ya kimantiki? Hili unalofanya hujui kama ni Fallacy of False Assumptions? Huwezi kusema kama Muhammad alisema uongo basi iwe defense yake iwe ni kwamba nayo Vatikan ilimu-condemn Galileo! Hebu jaribu kuwa makini na mijadala ya kisomi mkuu!
 
UKIWEZA KUJIBU HAYA MASWALI UTAJUA MTUME MUHAMAD ANAKUPA SAYANS HALISI SIO UBABAISHAJ WA KIZUNGU.

1.Swali la kujiuliza n kwamba ulisha liona jua halizami????
na kama halizami huwa linaenda wap!!!

2.Je mchana likipungua makali huwa linakuwa limezama au yanaenda wap?

3.kwannn asubuhi jua ni moderate.mchana ni kalisana na usiku halipo?

Jiulize kama lingekuwa halizami bas kwann ukali wa jua la asubuh si mkali kama mchana?

Kwann yote yasiwe the same kwa ukali?

Hahaa sasa naona u get my point kwann rasul(saw) anakufunulia sayans isiyo na mashaka ndan yake.

4. TAMBUA TU: jua kutozama cjui dunia kujizungusha katika muhimili.
HIZI NI THEORY TUU SIO KWAMBA NDO UKWELI ULIVYO. HILI NI JOPO LA WAZUNGU LILIKAA CHINI LIKABUNI HIVYO .NENDA FORM ONE UKAANGALIE HIZI HABAR KOTE WAMEKUAMBIA THEORY TU HZ.

ukiweza kujib haya maswal naweza kukupa details kiundan sasa.

Then nkakujibu na maswal mengine ulo uliza
 
Nani kakwambia namtetea Muhammad hapa?

Wewe ndiye mtu unayejiita mwerevu? Kwa sloppy thinking hii ya kunisema nafanya false assumption wakati wewe ndiye unafanya false assumption kwamba namtetea Muhammad hapa?

Unajua kusoma wewe?

Wewe mbona unafanya double standard?

Unaisema Quran kwa kuwa na uongo. Nakubaliana nawe. Quran ina uongo wa kitoto. Sikubishii hapo.

Sasa mbona nikikwambia na Biblia nayo ina uongo wa kitoto hivyo hivyo unakimbia mjadala?

Au uongo unauona ukiwa kwenye Quran tu, ukiwa kwenye Biblia unakuwa si uongo, unageuka ushairi?
 

Naona wewe ndiye wakati Muhammad anapewa ufunuo kule pangoni ulikuwa pamoja naye.Wewe ni mjuzi kabisa wa Kurani.Hongera kwa sayansi ya Kiarabu mkuu!
 
Sema tu hujui brother. Unachokisema hakipo hivo.
Hakupokea akiwa pekeake broo.
Kasome vzr.

Uislam si din ya kusoma juu juu ukaja apa kuandika comment.

Unahitaj deep investigatio na intesive reading ndo utaweza bro.

Mtaaibika jmn. Uislam kila kinachoandikwa mule dunia inafanya research mpka leo wana prove n kwel.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…