Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Kwa nini unanikataza kukikosoa kitabu kama kina uongo?

For starters, anza na Feynman's Lectures on Physics. Cha Richard Feynman. Series ya Lectures ina vitabu vitatu. Pitia vitatu vyote. Fanya na mazoezi yake.

Halafu nenda kwa Roger Penrose. Soma " The Road To Reality: A Complete Guide To The Laws of The Universe".

Hicho unaweza kusoma polepole huku ukipozea na "A Brief History of Time: From The Big Bang To Black Holes" cha Stephen Hawkings.

Halafu uje tujadili hapa.

Not that havina makosa, but the worldview is quite above the bullshit in the Quran and Bible. Plus it does nit clain to be beyond reproach. You can get a Nobel in Physics for improving this outlook.

Unlike the Bible or Quran.

Soma halafu tujadili.
Science niliiamini kuanzia nursery hadi o-level mkuu. Kuanzia advance level kuendelea nilijivua gamba la kuamini sayansi na wanasayansi kwani niligundua kiwango wanachong'ata ni kikubwa mno kuliko wanachopuliza.
Mfano, mpaka sasa habari za black hole, planets, big bang, earth rotation and revolution, spherical of the Earth zote nimerealize ni "Sci-fi" tupu ila zenye lengo la makusudi kabisa kudanganya watu.
Sijawahi kuona jua limesimama always the sun is in motion before my eyes, sijawahi kuona hata chembe ya ishara kwamba the earth rotates on its axis in speed of 1000 ph. Pia macho yangu yamekwama mpaka utu uzima huu kuona liduara la Dunia zaidi ya CGI za uzushi zinazotengenezwa na waumini wa dini yako mkuu. Hata gravitational force bado macho na akili yangu vimegomea uwepo wake. Mimi na hadithi za dini yako basi asee!!
 
UKIWEZA KUJIBU HAYA MASWALI UTAJUA MTUME MUHAMAD ANAKUPA SAYANS HALISI SIO UBABAISHAJ WA KIZUNGU.

1.Swali la kujiuliza n kwamba ulisha liona jua halizami????
na kama halizami huwa linaenda wap!!!

2.Je mchana likipungua makali huwa linakuwa limezama au yanaenda wap?

3.kwannn asubuhi jua ni moderate.mchana ni kalisana na usiku halipo?

Jiulize kama lingekuwa halizami bas kwann ukali wa jua la asubuh si mkali kama mchana?

Kwann yote yasiwe the same kwa ukali?

Hahaa sasa naona u get my point kwann rasul(saw) anakufunulia sayans isiyo na mashaka ndan yake.

4. TAMBUA TU: jua kutozama cjui dunia kujizungusha katika muhimili.
HIZI NI THEORY TUU SIO KWAMBA NDO UKWELI ULIVYO. HILI NI JOPO LA WAZUNGU LILIKAA CHINI LIKABUNI HIVYO .NENDA FORM ONE UKAANGALIE HIZI HABAR KOTE WAMEKUAMBIA THEORY TU HZ.

ukiweza kujib haya maswal naweza kukupa details kiundan sasa.

Then nkakujibu na maswal mengine ulo uliza
Comments kama hiz ndio mnapoonekana mashudu
 
Science niliiamini kuanzia nursery hadi o-level mkuu. Kuanzia advance level kuendelea nilijivua gamba la kuamini sayansi na wanasayansi kwani niligundua kiwango wanachong'ata ni kikubwa mno kuliko wanachopuliza.
Mfano, mpaka sasa habari za black hole, planets, big bang, earth rotation and revolution, spherical of the Earth zote nimerealize ni "Sci-fi" tupu ila zenye lengo la makusudi kabisa kudanganya watu.
Sijawahi kuona jua limesimama always the sun is in motion before my eyes, sijawahi kuona hata chembe ya ishara kwamba the earth rotates on its axis in speed of 1000 ph. Pia macho yangu yamekwama mpaka utu uzima huu kuona liduara la Dunia zaidi ya CGI za uzushi zinazotengenezwa na waumini wa dini yako mkuu. Hata gravitational force bado macho na akili yangu vimegomea uwepo wake. Mimi na hadithi za dini yako basi asee!!
Tatizo umeanza kwa kuandika "Science niliiamini.."

Mpaka hapo hilo ninkosa kubwa linaloonesha ulikuwa unafuatilia kitu usichokielewa.

Science si ya kuamini. Ni ya kuelewa.
 
Alaf mada kama hizi muwe mnazi leta telegram au wasap .
Jamiiforum haiwez kuhandle thread kama hizi.
Tunachoshana tu.

Sijui nan anatype
Request zina chelewa.

Hizi mada nzur mkianzisha muwe mnaweka link za stable social networks ili tuwe tunaenjoy.
Hapa mnatia tabu tu.
 
Weka hoja ww.kama ww msomi weka hoja ujibiwe.
Leo c panic day.
Matusi yapo kibao mgodin bro

Weka hoja kama wenzio ujibiwe
Iman imekuzid nguvu, by the way haupo katka umri wa kujfunza bal upo kuamin kile ulichojfunza ata nikushuhie mondo zip hauta nielewa
Na kaul yangu ya mwsho skujbu tena
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.


Sasa nakupa maana ya aya hiyo ya 86 ambayo ndio mzizi wa mafa yako.

Katika kutafuta kile alichokuwa anakitaka mja huyu wa Allah,Dhurqarnayn,alitembea au alipita njia nyingi sana katika uso wa ardhi,mashariki yake na magharibi,mpaka ikafikia akawa anelekea ule uelekeo ambao jua linapozamia,yaani upande wa magharibi mwa dunia,kwa mbali akaona kama vike jua lizama kwenye maji au matope kutokana na rangi ya anga ilivyokuwa inaonekana.

Jambo hili si geni hata kwetu sisi,hasa kwa watu ambao wanaishi karibu na pwani yaani ukanda wa baharini,wakiwa wanaliangalia jua linapozama wakiliangalia au ukiangalia utadhani kama vile linaingia baharini au linazama kwenye maji,kitu ambacho si sahihi,jua halizami.

Sasa kwa maana hiyo sijui lengo lako lilikuwa nini kuleta maana za kijinga.

Na maana hizi za uongo zililetwa na watu wazushi na wazandiki.

Kaka ukiamua kufanya utafiti ufanye kweli sio unaleta utoto kwenye mambo ya kielimu.Namalizia kwa kusema hivi :

"USITAKE KURUKA ANGANI WAKATI HUNA MBAWA"
 
Iman imekuzid nguvu, by the way haupo katka umri wa kujfunza bal upo kuamin kile ulichojfunza ata nikushuhie mondo zip hauta nielewa
Na kaul yangu ya mwsho skujbu tena
Ww nae .

Ukikosa hoja ndo unaongea vitu vya ajab tu.
Ebu kajipange
Mda mwingine ukikita watu wanajadili vitu vyenye mantik uwe utoa kitu kinacho eleweka.
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.


Kaka mtume wetu hakujishughulisha na Sayansi kama unavyosema. Rekebisha kauli zako. Usimzulie.
 
Bora hiyo kupatwa kwa mwezi mpaka wanasali kabisa.... Mohammed is a con artist
 
MODS:
mkiona hii comment tunaombeni sana
Thread za kidini na jukwaa la mambo ya dini mhamishie kwenye realtime server watu tubadilishane mawazo kwa raha hvi mnatuchosha jaman.
 
Mpaka sasa watu wanasema mengi sana kuhusu Mungu.

Lakini hakuna hata mtu mmoja anayeweza kuthibitisha kwa namna isiyojipinga kimantiki kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Wewe unaonaje? Ikiwa Kurani ni neno la Mungu (na ndiye aliyeandika kwa mkono wake) na ikaonekana aya moja ni batili,je,hizo zingine zinasaliaje kuwa sahihi wakati mwandishi wa aya zote ni Mungu yule yule?
.........Mkuu ubongo wako unautendea haki sana,naamini uwezo wako wa kufikiri upo juu ya 80% yaani unawaza sawa sawa kabisa.
 
So, if Muhammad in moving and finally viewing the boundary,was that enough for him to conclude that what he was seeing was the dark muddy spring onto which the Sun had set in?


Ona sasa kaka unavyojichoresha umenukuu aya kisha hujui hata nani alikuw anazungumziwa ?

Watu walimuuliza mtume awape habari kuhusu Dhurqarnayn,katika kuwapa habari zake mja huyo,mja huyo katika kuzunguka zunguka katika uso wa dunia akiwa anatafuta kile anachokitaka akakutana na kundi la watu.

Kwahiyo hapo anayezungumziwa ni Dhurqarnayn na sio mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.

Uwe na utaratibu wa kuuliza kwanza.
 
Mpaka sasa watu wanasema mengi sana kuhusu Mungu.

Lakini hakuna hata mtu mmoja anayeweza kuthibitisha kwa namna isiyojipinga kimantiki kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Duh. Mzee hii fungua thread yake.
N bonge la mada alaf lihamishie telegram

Apo utajifunza mengi.
Maana hii ni mchanganyikeni
 
hahaaaa " kwahiyo " na masaa " nayo yakasimama" so mpangilio " wa " siku ulikuwaje", ?? na mpka jua " linasimama means",huwa " linatembea"" ??

ujinga mwingine bwana
Utakuta ulikua ni mwanzo WA summer jua linazama saa 3
 
Nanukuu.."Mfano tumemuumba Adam kwa udongo"!!!

Samahani mkuu kama hutojali,ni mimi kiswahili kimenipotea au vipi sijajua ila ktk uelewa wa kawaida niliojaaliwa siamini kwamba kwa kauli hiyo inawezekanaje asiwepo mwengine walieshirikiana?alishindwa nini kuandika "nimemuumba"

Kwanini haikuwa 'Nime' na iwe 'Tume'?ninini kilichofichama hapa?inaonekana aliyeandika hapa either kuna sehem ali-copy ila kwa kupitia page hii hii aliyoiandika akawakataza wale watakaoisoma wasihoji sana zaidi ya kuamini kile alichokifafanua maana wangehoji wangeweza kustuka!

Sina nia yakubishana nachotaka ufafanuzi tu
Katika biblia kitabu cha Mwanzo, 1:26 Neno la Mungu linasema, "Mungu akasema," Na tumfanye mtu kwa Mfano wetu, kwa sura yetu;"
Lakini nashukuru biblia imeweka wazima holy trinity ya Mungu kupitia kitabu cha Mwanzo 1:2b na Yohane 1-2, 14,18.
So idadi ya nafsi inayotajwa kwenye Koran naamini ni sahihi kabisa sema maustaadhi wanaipindua tu!
 
Duh. Mzee hii fungua thread yake.
N bonge la mada alaf lihamishie telegram

Apo utajifunza mengi.
Maana hii ni mchanganyikeni
Unajuaje kwamba mimi ndiye nitakayejifunza na si kwamba mimi ndiye nitakayefunza?

Na kama mjadala mzima huu wa hapa unazungumza habari za Mungu, itakuwaje swali linalohoji uwepo wa huyo Mungu lihitaji uzi tofauti?

Can you chew gum and walk?

Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom