Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Aaa wap.mkuu we masome reasearch za zaman za miaka hiyo wakat haya maswal yanaulizwa.

Mi majib ninayo ndo sasa ata kuthibitisha pia nahitaj
Utulivu wa mawazo ili niongee hoja za maana.

So sahv et duh
Thibitisha. Acha stories nyingi.

Hujathibitisha.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Kama unabisha, toa uthibitisho.
 
Mkuu ni lazima ujue tofauti kati ya Mungu wa Waislamu ambaye ni Allah na BWANA MUNGU wa Wakristo. Kuna tofauti kubwa sana na tofauti hiyo ni mafundisho yao.

BWANA MUNGU yeye huwa hasemi "uongo" kabisa, lakini huyo Allah wa Waislamu mimi nina wasi wasi naye sana. Hivyo ukiandika uzi wako jaribu kutofautisha kati ya hao wawili maana mmoja ni "muongo" na mwingine ni wa KWELI kabisa ambaye ni BWANA MUNGU.
Wewe mkorofi sasa wewe!! [emoji51] [emoji51]
 
Waislamu hawana wanazuoni Kuna walimu wa karate
Hiyo ni kwa mujibu wa unavyoona ww mpinga uislam,ila kwa mujibu wa kiislam na waislam elewa kwamba uislam ni dini iliyokamilika na Qu-raan ni muongozo wa waislam.
 
Mungu namuamini, na sina shaka katika imani kwake!! Shida ni dini yako ya science unayodai unielewe, haithibitiki kwa kuona na kusikia mkuu. Nadharia, uongo, nadharia uongo!!
Huelewi kwamba ukishasema unaamini kitu, maana yake ni kwamba una shaka.

Huwezi kuamini kitu kama huna shaka.

Ukikosa shaka, maana yake unajua, umehakikisha.

Nikiwa nakuja kwako, halafu nasema naamini upo kwako, maana yake sina uhakika kwamba upo kwako, ila nafikiri upo kwako.

Hujui hata kuamini ni nini.

Ndiyo maana unaamini Mungu yupo, halafu unasema huna shaka.

Wakati ukiamini kitu, ni lazima pawe na shaka hapo.
 
Huelewi kwamba ukishasema unaamini kitu, maana yake ni kwamba una shaka.

Huwezi kuamini kitu kama huna shaka.

Ukikosa shaka, maana yake unajua, umehakikisha.

Nikiwa nakuja kwako, halafu nasema naamini upo kwako, maana yake sina uhakika kwamba upo kwako, ila nafikiri upo kwako.

Hujui hata kuamini ni nini.

Ndiyo maana unaamini Mungu yupo, halafu unasema huna shaka.

Wakati ukiamini kitu, ni lazima pawe na shaka hapo.
Weka uthibitisho wa kikamusi unaodhihirisha kwamba neno "Imani" maana au mbadala wake ni "shaka"
 
Weka uthibitisho wa kikamusi unaodhihirisha kwamba neno "Imani" maana au mbadala wake ni "shaka"
Nani kasema imani mbadala wake ni shaka?

Nikiwambia kwamba huwezi kuwa na bendera ya Tanzania isiyo na rangi nyeusi, hiyo inamaanisha bendera nyeusi ni bendera ya Tanzania?
 
Quran inasema Mungu kawafunga watu fulani macho na masikio na kawafanya mioyo yao iwe migumu wasimjue.

Hata msisumbuke nao hao.

Halafu atawahukumu kwa kuwa hawajamjua.

Sasa huyu Allah Mungu gani anazuia watu kumjua, halafu anawahukumu kwa sababu hawajamjua?

Hili jambo linaingiaje akilini?
Ni rahisi sana hoja yako,mfano hai kama wewe hapo,umepewa kila kitu na aliekuumba akakuacha huru umkubali au umkatae alie kuumba,lakini wewe umemkataa kwa makusudi alie kuumba kisha wewe unamlaumu yeye alie kuumba kwa kumkataa,inaingia akilini?
 
Nani kasema imani mbadala wake ni shaka?

Nikiwambia kwamba huwezi kuwa na bendera ya Tanzania isiyo na rangi nyeusi, hiyo inamaanisha bendera nyeusi ni bendera ya Tanzania?
Kaka Kiranga naona unatoka nje ya utaratibu wako wa kisayansi
Screenshot_20180722-005300.png
 
Sasa kama mtu anaweza kufikiri.

Halafu anasoma kwenye Quran.

Imeandikwa Allah atawafunga watu fulani macho, masikio na kufanya mioyo yao iwe mizito.

Ili wasimjue Allah. Waislamu hata wasijisumbue na watu hawa.

Halafu watu hawa hawa ambao Allah kawazuia kumjua, Allah atawahukumu, kwa sababu hawajamjua.

Halafu watu wanamuamini huyo Allah yupo na ni Mungu wa haki.

Inawezekanaje watu wakabugia ujinga kama huu na kuamini huyu Allah ni Mungu wa haki na yupo?

Wakati inaonekana kabisa ni hadithi ya kijingajinga tu iliyoandikwa bila hata kuwa na logical consistency?
Nishakujibu hoja yako hii,mfano kama wewe utamlaumu vipi Allah ambae wewe hapa unampinga mwenyewe?Allah anaadhibu kwa dhambi zako mwenyewe na ili uepukane na dhambi na adhabu za Allah fuata muongozo wa Qu-raan,sasa kama wewe hutaki kufuata hilo ni shauri yako.
 
Sayansi haijawahi kufuata kuran na kamwe haitafuata kuran sheria moja ya sayansi ni kuwa hukana kitu 100% correct
Sayansi ya kwenye Qu-raan inasema binaadam ameumbwa katika umbo lililo bora,yaani hivi tulivyo ndio correct 100%
 
Huelewi kwamba ukishasema unaamini kitu, maana yake ni kwamba una shaka.

Huwezi kuamini kitu kama huna shaka.

Ukikosa shaka, maana yake unajua, umehakikisha.

Nikiwa nakuja kwako, halafu nasema naamini upo kwako, maana yake sina uhakika kwamba upo kwako, ila nafikiri upo kwako.

Hujui hata kuamini ni nini.

Ndiyo maana unaamini Mungu yupo, halafu unasema huna shaka.

Wakati ukiamini kitu, ni lazima pawe na shaka hapo.
We mi nakuuliza maswali mawili ukiyajib bas nakupa habari zote za kuthibitisha mungu yupo.

1. Bina dam wa kwanza ni nani?
2. Nani kaileta hii dunia tunayoish?

We hujashituka tu.mungu kakuongoza na ndo maana anataka umjue.

mi naamin utamjua na utamtumikia vzr sana kulikon ata sisi tusie na shaka nae
 
ha ha ha ha ha ha ha kwi kwi kwi kwi.
kuna watu wana akili uchwara hadi Jf dah,siamini macho yangu.
ila sasa lakini maana mazuzu hata chuo kikuu yapo
 
Mtoa mada,mambo ya kuchukua aya moja au mbili katika Q-uraan kisha ukaileta hapa ijadiliwe hutopata maana halisi ya aya hiyo,ni vizur ukaleta sura nzima ili tujue lengo la hiyo sura.
 
ha ha ha ha ha ha ha kwi kwi kwi kwi.
kuna watu wana akili uchwara hadi Jf dah,siamini macho yangu.
ila sasa lakini maana mazuzu hata chuo kikuu yapo
Jikite kwenye hoja za mtoa mada ili ufahamike.
 
Kwanza ni jambo nzuri kupata mjadala kama huu, lakini napenda kuonyesha mleta mada hii haikuwa mtu wa kwanza kujadili mada hii kwa kuwa hata yeye amekwenda kuchukua sehemu nyingine na nitaweka source mojahapa
Answering Muslims: 2011

UONGO WA MTUME MUHAMMAD NA QURAN KUHUSU KUPASUKA KWA MWEZI NA KUTEMBEA KWA JUA


Ukifungua link hiyo ndio mleta mada alipo itoa mada hii.

Pili hata mleta mada hakuchukua muda kupitia aya husika kama alivyo dai amepitia aya husika zaidi amechukua mawazo ya watu ambao wanafikiri kulikuwa na makosa kwenye aya hii, tofauti ni kwamba mleta mada amejaribu kumuweka Mtume Muhammad S.A.W kama muhusika lakini kwenye source nyingine wao wanashutumu Quran kuwa imepotosha kwenye jambo hili.

Lakini kwa kuwa mada ipo mezani ina hitaji majibu then nitapenda kwanza watu wafahamu kujadili jambo la imani ni sawa na elimu ya ukubwa wa bahari, lakini uzuri Quran na mafundisho ya mtume yana elekeza umuhimu wa elimu, na pili yana ruhusu ku challenge Quran kama unaweza kwa kuwa "Quran ni kitabu kisicho kuwa na shaka" kwa hiyo Mungu ana ruhusu watu kujadili na kutoa hoja zao ili wapate majibu kwani wakiridhika watafata muongozo wa haki. Hivyo mleta mada yupo sahihi kabisa anayo haki ya msingi kuhoji kwani Mungu alimpa binaadamu akili lakini pia alimpa na yakini ambayo yakini ndio inayo mfanya mtu kuafiki au kupinga.

Lakini kwanini wana science wanachagua vitu vichache kati ya vingi mfano

Vipi Quran ina sema kuhusu hatua za uzazi?
Vipi Quran inasema kuhusu kukutana kwa bahari ya maji baridi na maji chumvi
Vipi Quran inasema kuhusu kulea kwa watoto na hasa kwenye swala la kunyonyesha
Vipi Quran inasema kuhusu vinasaba
Ukipita kwenye mambo haya ambayo kwa kiwango kikubwa yapo prove wakati huu wa modern science but Quran imeongelea kipindi cha nyuma sana mambo hayo.
Mwisho napenda ku wajulisha wadau wa science kuwa ugunduzi hauna mwisho ndio maana mwanzo walisema dunia ipo kama meza,mara dunia ipo round, mara jua limesiamama, wengine jua lina tembea, wengine dunia ina tembea but as technology inavyo zidi kwenda mbele ndio hata watu wa sayansi wanapinga ungunduzi wa mwanzo hivyo na imani siku za usoni watakuja wana sayansi kupinga dhana hii unayo hoji wakati huu kwani ujuzi unakuwa na vyombo vinabadilika so sayansi ni kitu kisicho baki kwenye ukweli bali ni fikira za wakati fulani na hubadilika vitendea kazi vinapo badilika kwani huleta majibu mengine tofauti na yale ya mwanzo
Hivyo na amini kuwa wakati technology and tools za kisasa ukifika wanasayansi watakuja ku prove hizo verse (aya) zipo sahihi kwa kuwa wakati hata Mtume alipo kuwa ana pewa Quran aliambiwa kuwa tunakujuza habari zilizo pita,wakati huu na wakati ujao So kuna vitu ambavyo vipo kwenye simulizi vimesha kuwa proved na vingine bado kwa kuwa ni simulizi zilizo katika makundi tofauti na imani tunacho hoji leo na kuona hakiwezekani kuwa kilivyo kwenye Quran then kitakuwa prove siku za mbele.
Je kwanini Mungu amefunga mambo kwenye mafumbo ni kutoa nafasi ya binaadamu ku challenge uweza wake ili kupata yakini
 
Majibu yote yanajibu maswali.

Maana yake habari za Mungu zina utata.

Majibu yanazaa utata zaidi badala ya kumaliza utata.

Mungu alishindwa kufanya habari zake zieleweke bila utata?

Kwa nini kashusha habari zake kwenye kitabu cha lugha ya Kiarabu wa wakati fulani wakati aliweza kuziweka hizo habari katika DNA ya kila mtu azijue hata kama hajawahi kujua lolote kuhusu Waarabu wala mtume?

Mungu alishindwa kufanya hivyo na kutuondolea utata kuhusu hizi habari?

Kama hakushindwa? Kwa nini hakufanya hivyo?

Ulileta maswali uliyoyaokota answering islam na nikakuwekea majibu ya maswali yako

Mbona hujatoa hoja hata moja kutokana na maswali yako ambayo yamejibiwa,unakuja unaruka ruka tuuu???

Hata hujasoma hata moja ukapata hayo majibu yako unayoyauliza , unakuja na habari za Mungu zina utata,

Si ndio Ukauliza ili uondoe utata au vipi ?? Na majibu umepata lakini kusoma hutaki unatafuta ubishi
 
kule jabar hilla muhammad alikabwa na hakujua nani aliye mkaba, hadi anakuja fahamishwa Akiwa kwake kwamba aliye mkaba ni gibril aliye mtokea issa na Musa hivyo muhammad anaelekezwa na Waraga ajibashirie mwenyewe kwamba yeye ni Mtume Wa Umma huu...ndio sababu nina Hakika allah na muhammad hawaja wasiliana popote hadi amemtuma kuwa mtume, labda walete Ushahidi!


Bishop calls homosexuality ‘gift from God,’ seeks to end ‘prejudices that kill’


antonio_carlos_cruz_santos.jpg




[Scroll down to the bottom of the page for details about our MSC confrere bishop]

A Brazilian bishop said July 30 that homosexuality is a “gift from God.” Seeing the reaction his homily generated, Bishop A (show all)

Continue reading →
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom