SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
- Thread starter
- #21
na kule Roma ilikuwa unafungiwa sakramenti au kufukuzwa kabisa kuwa muumini kama ungetamka kuwa "dunia inalizunguka jua" pia wanasayansi wa kanisa waliamini dunia ni kama meza hivi ambapo unaweza kutembea hadi mwisho ambapo kuna "korongo" kubwaa!
Sasa hivi kanisa linapambana na utafiti na majaribio ya stem cell, maana siku akitengezwa binadamu kwenye maabara ndio utakuwa mwisho wa mafundisho ya "dhambi ya asili"
Sijawahi kuiamini hii misahafu na waandishi wake! Japo mimi ni mkatoliki kanisani huwa naenda kama " social activity" na sio kuitafuta mbingu.
Hao walioamini kwamba Dunia ni kama Meza, huko Roma, walishakiri siku nyingi kwamba walifanya makosa kuamini hivyo.Je,wewe katika hilo la Jua kuchwea kwenye matope,una msimamo gani? Unasemaje sasa,kwamba Mungu ni muongo au sayansi ndiye imesepetuka?Tupe msimamo wako.