Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
na kule Roma ilikuwa unafungiwa sakramenti au kufukuzwa kabisa kuwa muumini kama ungetamka kuwa "dunia inalizunguka jua" pia wanasayansi wa kanisa waliamini dunia ni kama meza hivi ambapo unaweza kutembea hadi mwisho ambapo kuna "korongo" kubwaa!
Sasa hivi kanisa linapambana na utafiti na majaribio ya stem cell, maana siku akitengezwa binadamu kwenye maabara ndio utakuwa mwisho wa mafundisho ya "dhambi ya asili"

Sijawahi kuiamini hii misahafu na waandishi wake! Japo mimi ni mkatoliki kanisani huwa naenda kama " social activity" na sio kuitafuta mbingu.

Hao walioamini kwamba Dunia ni kama Meza, huko Roma, walishakiri siku nyingi kwamba walifanya makosa kuamini hivyo.Je,wewe katika hilo la Jua kuchwea kwenye matope,una msimamo gani? Unasemaje sasa,kwamba Mungu ni muongo au sayansi ndiye imesepetuka?Tupe msimamo wako.
 
Unamkumbuka yule mwanafasafa wa kirumi aliyeuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia ni duara na siyo flat?
Kurudi kwenye swali lako ni kwamba Quran haisomwi kama riwaya za kufikirika bali ipo kwa mafumbo ambayo huhitaji kusherehewa na kutafsiriwa kwa kutumia vitabu vingine na wanazuoni wasomi.
Vitu kama hivi mkuu ni beyond your tiny capabilities kuelewa..
Mfano " tumemuumba Adam kwa udongo.." kwa tiny brain yako utadhani Allah alikuwa na washirika.
Just let it go hii sio riwaya ya Eric Shigongo
 
Hata kama wamegundua kwamba Mungu hakuwahi kusema hivyo kwamba Jua linachwea katika matope meusi,ni suala la kukiri tu hadharani na kufuta hiyo aya na kisha maisha yanaendelea.Kwani kuna shida gani kufuta hiyo aya katika Kurani na kubakisha yale yaliyo ya kweli?
bahati mbaya hiki kitabu haturuhusiwa kuchomoaa hizi karatasi zenye haya za uongo, kiliteremshwa ati,
 
na kule Roma ilikuwa unafungiwa sakramenti au kufukuzwa kabisa kuwa muumini kama ungetamka kuwa "dunia inalizunguka jua" pia wanasayansi wa kanisa waliamini dunia ni kama meza hivi ambapo unaweza kutembea hadi mwisho ambapo kuna "korongo" kubwaa!
Sasa hivi kanisa linapambana na utafiti na majaribio ya stem cell, maana siku akitengezwa binadamu kwenye maabara ndio utakuwa mwisho wa mafundisho ya "dhambi ya asili"

Sijawahi kuiamini hii misahafu na waandishi wake! Japo mimi ni mkatoliki kanisani huwa naenda kama " social activity" na sio kuitafuta mbingu.

Kukosea sio jambo la ajabu kwa mwanadamu.Tunachotaka kufahamu ni kwa vipi Kurani yakiwa ni maneno ambayo Mungu aliyaandika na kisha kumpatia Muhammad kwa njia ya Malaika Gabrieli,atokee Mungu huyo kutueleza mambo ambayo baadaye yameonekana hayako hivyo?Je,ina maana Mungu hana uhakika na vitu alivyoviumba? Ina maana Mungu ni muongo? Je,kama Mungu ni muongo, alifanya hivyo kwa faida gani kutudanganya sisi waja wake?
 
Hata kama wamegundua kwamba Mungu hakuwahi kusema hivyo kwamba Jua linachwea katika matope meusi,ni suala la kukiri tu hadharani na kufuta hiyo aya na kisha maisha yanaendelea.Kwani kuna shida gani kufuta hiyo aya katika Kurani na kubakisha yale yaliyo ya kweli?
Nimeshakwambia shida kubwa ni AIBU! Hivi wataficha wapi sura zao hao wafia dini? Hata ingekuwa wewe aibu kama hii ungeifichabwapi? Ndio maana hata kanisa katoliki iliwachukua muda kuomba dunia msamaha kwa kumuua yule Galileo sijui aliesema Dunia si kitovu chavulimwengu/( si kama meza)bali dunia hulizunguka jua na ni duara, ila hawa wenzetu AIBU ni kubwa zaidi, maana mtume wao anaonekana muongo na kuaibishwa na sayansi!
 
bahati mbaya hiki kitabu haturuhusiwa kuchomoaa hizi karatasi zenye haya za uongo, kiliteremshwa ati,

Kwa hiyo, ina maana hata ile nakala ya Mungu kule Mbinguni, nayo bado ina hilo fundisho kwamba Jua linachwea kwenye matope meusi licha ya kwamba Sayansi imeshathibitisha kwamba sio kweli hicho Kurani inachokiongelea? Ikiwa bado nakala ya Mungu inayo hiyo aya hiyo, Mungu anajisikiaje, kwa sababu sasa ni kama ameumbuka na wanadamu wataanza ku-doubt?
 
Unamkumbuka yule mwanafasafa wa kirumi aliyeuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia ni duara na siyo flat?
Kurudi kwenye swali lako ni kwamba Quran haisomwi kama riwaya za kufikirika bali ipo kwa mafumbo ambayo huhitaji kusherehewa na kutafsiriwa kwa kutumia vitabu vingine na wanazuoni wasomi.
Vitu kama hivi mkuu ni beyond your tiny capabilities kuelewa..
Mfano " tumemuumba Adam kwa udongo.." kwa tiny brain yako utadhani Allah alikuwa na washirika.
Just let it go hii sio riwaya ya Eric Shigongo

Asante sana mkuu kwa majibu mubashara
 
Yani dini ni upuzi kabisa. siyo mwislam na wala siyo mkristo. Bora ukae nje uone wanavyotupia vijembe huku kila mmoja akijiona ndo yuko sahihi.
Hata mleta mada nawe ni mfia dini tena mkristo kutokana na kauli zako hizi mbili(malaika gabrel, kuran)
 
Nimeshakwambia shida kubwa ni AIBU! Hivi wataficha wapi sura zao hao wafia dini? Hata ingekuwa wewe aibu kama hii ungeifichabwapi? Ndio maana hata kanisa katoliki iliwachukua muda kuomba dunia msamaha kwa kumuua yule Galileo sijui aliesema Dunia si kitovu chavulimwengu/( si kama meza)bali dunia hulizunguka jua na ni duara, ila hawa wenzetu AIBU ni kubwa zaidi, maana mtume wao anaonekana muongo na kuaibishwa na sayansi!

Muhammad alikuwa mwanaume na mwanaume hawezi kuogopa aibu.Watoke wanazuoni wa kiislamu leo mbele, waiambie dunia kwamba hilo lilikuwa ni tangopori na dunia itawaelewa tu na maisha yatasonga mbele.Waifute hiyo aya katika Kurani ili kuepusha Vizazi vijavyo kuendelea kukuta vitu vya aibu namna hiyo, kwa sababu madhara yake ni makubwa.Watoto wa jamii ya Kiislamu wanadumazwa kisayansi kwa sababu wata-tend kuiamini Kurani kuliko Sayansi.
 
Daah...huu uzi uko jukwaa sahihi kabisa maana una hoja nzito sana. Kama na kwenye kitabu cha wakristu cha Biblia kuna sentensi inayosema Joshua alisimamisha jua....je huu si ushahidi kuwa Mungu anasema Jua ndilo huzunguka dunia na siyo vinginenvyo?
 
Yani dini ni upuzi kabisa. siyo mwislam na wala siyo mkristo. Bora ukae nje uone wanavyotupia vijembe huku kila mmoja akijiona ndo yuko sahihi.
Hata mleta mada nawe ni mfia dini tena mkristo kutokana na kauli zako hizi mbili(malaika gabrel, kuran)

Jielekeze kwenye mada mkuu.Acha kunijadili mimi.Suala la Jua, ni kwa faida yetu sote.Tuonyeshe ukweli,Jua linachwea wapi? Ni hapa duniani au huko angani? Hiyo chemchemu ya matope meusi iko wapi? Iko Ufaransa, Rwanda,Geita, Saudi Arabia au wapi hasa?
 
Ndugu usipotoshe Qur'an Kwa kuitafsiri wewe utakavyo!!!

(18:86) until when he reached the very limits where the sun sets,63 he saw it setting in dark turbid waters;64 and nearby he met a people. We said: "O Dhu al-Qarnayn, you have the power to punish or to treat them with kindness."65
63. “The setting place of the sun” does not mean the place of the setting of the sun. According to Ibn Kathir, it means that he marched to the west conquering one country after the other till he reached the last boundary of the land, beyond which there was ocean.
 
Unamkumbuka yule mwanafasafa wa kirumi aliyeuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia ni duara na siyo flat?
Kurudi kwenye swali lako ni kwamba Quran haisomwi kama riwaya za kufikirika bali ipo kwa mafumbo ambayo huhitaji kusherehewa na kutafsiriwa kwa kutumia vitabu vingine na wanazuoni wasomi.
Vitu kama hivi mkuu ni beyond your tiny capabilities kuelewa..
Mfano " tumemuumba Adam kwa udongo.." kwa tiny brain yako utadhani Allah alikuwa na washirika.
Just let it go hii sio riwaya ya Eric Shigongo
Sasa kama ni beyond our tiny capabilities kuelewa, hii Quran imeandikwa ili nani aielewe? Au ameandikiwa nani?
 
Hii ni mada fikirishi, Mkuu ngoja nipate balimi zangu weekend, nitakuja kutoa hoja zangu jumatatu
 
Ukipata jibu ni tag mkuu

Hakuna shaka mkuu.Ngoja tuwasubirie wanazuoni wa Kiislamu.Jibu lazima lipatikane ili watu tuweze kuishi kwa amani.Bila hivyo,itakuwa ni hatari tupu kwa sababu itakuwaje siku hiyo chemchemu linakochwea Jua hilo ikauka au ikaanza ku-flow na matope yake kutufikia huku?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom