Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Simply huna majibu ya nani alishuhudia Muhamad akishushiwa quran
 
Kwa hiyo Yoshua alisimamisha jua au alisimamisha dunia? Na kama alisimamisha jua jee kwanini MUNGU hakumwambia nabii wake kwambo kilichosimama sio jua bali ni Dunia?
 
Ni rahisi sana hoja yako,mfano hai kama wewe hapo,umepewa kila kitu na aliekuumba akakuacha huru umkubali au umkatae alie kuumba,lakini wewe umemkataa kwa makusudi alie kuumba kisha wewe unamlaumu yeye alie kuumba kwa kumkataa,inaingia akilini?
Kwamba aliyeniumba kaniacha huru si kweli.

Watu hata uhuru wa kuchagua watazaliwa nchi gani hawana.

Na wanaozaliwa Saudi Arabia kwa wazazi wa Saudi Arabia karibu asilimia mia wanakuwa Waislamu.

Na wanaozaliwa Nepal kwa wazazi wa Nepal karibu asilimia mia wanakuwa Buddhists.

Maana yake pahali ambapo unazaliwa na wazazi wanaokuzaa kwa watu wengi ndiyo vigezo vya dini zao.

Sasa kama mtu hawezi kuchagua atakapozaliwa, utasemaje ana uhuru?

Utasemaje nimemkataa muumba ambaye hata huwezi kuthibitusha kwamba yupo?

Kama yupo, kwa ninibkajiweka uwepo wake uwe na utata sana?

Mungu ambaye ana uwezo wote ea kujiweka wazi akijificha ficha awe na utata tusimwelewe, halafu tusipomwelewa na kusema hayupo, hapo sisi tutakuwa tumemkataa yeye au yeye katukataa sisi?
 
Nipo njiani kwenye simu hapa. I cant dissect the minutia of that post.

Nimekuuliza hivi, unajua kwamba hoja ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwa na utata tu inaonesha huyo Mungu hayupo?

Unaelewa kwamba huu mjadala wa kuuliza kama Mungu huyo yupo ninushahidi kwamba hayupo?

Unaelewa kwamba angekuwepo, kila kiumbe kingetambua hilo bila utata wowote na wala kusingekuwa na mjadala wowote kuhusu kuwapo kwa huyo Mungu?
 
Kuna aliyeweza kuthibitisha kwa namna yenye mantiki isiyopingika kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu yupo?

Akithibitisha mtu suala hili naomba mnijulishe.

Na kama hamjaweza kuthibitisha, habari za Mungu huyo zote ni hadithi tupu zisizo na uthibitisho.
 
1. Habari ya bin adam ni uongo. Bin Adam maananyake ni mwana wa Adam.

Adam hakuwahi kuwepo. Ni hadithi tu.

Kwa hivyo habari nzima ya "Bin Adam wa kwanza" imejengwa katika msingi potofu.

2. Swali la "nani" kaileta dunia hii lina assume kuna mtu/ Mungu/ dubwana lenye nafsi na kuweza kuitwa nani. Swali hili ni potofu. Ni kama kuuliza "rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?". Swali limeanza kwa ku assume wimbo wa taifa una rangi. Wrong assumption. Wrong question.

Maswali yako yote yameulizwa kwa wrong assumptions.

Thibitisha Mungu yupo na wewe.
 
Tuwekee Ushahidi Mungu anaongea na Muhammad!
hoja yako iko wap
 
Swali la msingi la mtoa mada limejibiwa sasa aya mengine sijui hakuna Mungu mara mohamad sijui kaongea na mungu yafunguliwe uzi mwengine pia tutayajibu hakuna matata
 
Ahahahahahahahhhaha awez fanikiwa hoja yake imekufa wako wengi humu mtu anatoa mada kama great thinker kumbe ni mfia dini
 
Fungua uzi tutakujibu bila shaka kuhusu dhul qarnaini limekwisha ndio maana mnarukaruka
 
Bahati mbaya zaidi baada ya miaka kadhaa kupita navyo vitaonekana ni uongo kama vinavyoonekana vingine. MATERIALISM BELIEVED IN THEIR OWN PROVED FACTS NOT FROM OTHER.
 

Mkuu nataka kujua mashuhuda akina nani siamini saana dini za watu weupe
 
Ha matope gani juu lizamie?
Kisayansi maji ni H2o sasa maji yakikaribia jua molecules za hydrogen na oxygen zina separate through evaporation .
Jua ina composition kubwa ya hydrogen na oxygen ikiongozeka combustion (burning) ina take place

Huo ndio ushahidi wangu
Huo wa kuzama kwenye tope ni mawazo ya kitoto na ya kijima
 
Uki North Pole jua halizami miezi sita na ukiwa South Pole hivo hivo ukiwa kwenye space (anga za juu )jua hali zami daima inaliona iko sehem1 tu
 
Hiyo aya mbona imekaa kama 'code' na sio km inamaanisha ivo ulivyo tafsiri wew mtoa uzi. Kwa uelewa wangu " chemchem yenye matope meusi ndipo alipotakiwa kwenda (destination) huyo aliyepewa njia za kila ktu (Dhul Qarnain) na kuzama kwa jua kweny matope meusi ilikuwa ndo km inamwongoza kufika pale alipohitajika. Itakapofikia unaona jua linazama kweny matope meusi basi hapo ndipo unapotakiwa kuwepo. Au sio hivyo!?
 
Marehemu Muhammad sijui alikuwa anapuliza Cha Arusha?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…