Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Nimekuuliza hivyo sababu wewe umemuuliza mtu huko juu kwamba lini Muhammad alienda Mekodonia akaliona hilo jua linazama kwenye tope sasa ndio nakauliza hiyo habari anayesimuliwa kuliona ni Muhammad au Dhel qanain?
Mtoa mada hafahamu anacho ongelea,nimeshtukia huo mchezo [emoji23][emoji23]
 
Ukiwa na proof huamini.

Unaelewa hilo?
 
Bwana mungu wa wakristo anaesema "ukweli"ndo huyu aliyewaambia muongozwe na mapadri na wachungaji mashoga au yupi....je ndo uyo uyo ambaye ndoa ya kuolewa elton john na mwanaume mwenzake ilifungwa kwa jina lake au yupi!?
 
aiseeee ", hahaaa huu uwongo Wa level ya PHD
 
sahihi mkuu
 
Basi kumbe huna nia ya kupata majibu...hupo kama mgambo wa city...au tomaso[emoji23]..sie wenzako tunafikiria then tunakujibu,wewe una comment tu...umeuliza swali then you get an answer..so its upon you kukubali au kukanusha!...next time come n be smart
 
Kwa iyo mwanadam wa kwanza ni nan na alitokea wap
 

Usidanganye au umeanza kuchanganyikiwa??
Umeuliza maswali zaidi ya 80 ya huko ulikoyaokota na nimekuletea majibu yake . Hujatoa hoja yoyote hata swali la mwanzo kupinga majibu yangu.Usikimbie. Au mna viranga wawili humu??
 
Kwa iyo mwanadam wa kwanza ni nan na alitokea wap
Rangibya wimbobwa taifa ni rangi ipi?

Nakwambia dhana ya "mwanadam" ni potofu.

Hakujawahi kuwapo Adam huyo wa vitabuni, na hivyo dhana nzima ya "mwanadam" ni potofu.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Mimi nimekujibu maswali yako lakini wewe langu hujanijibu.
 
Usidanganye au umeanza kuchanganyikiwa??
Umeuliza maswali zaidi ya 80 ya huko ulikoyaokota na nimekuletea majibu yake . Hujatoa hoja yoyote hata swali la mwanzo kupinga majibu yangu.Usikimbie. Au mna viranga wawili humu??
Umeelewa ulichonukuu?

Au unalazimisha ubishi tu?
 
Fungua uzi tutakujibu bila shaka kuhusu dhul qarnaini limekwisha ndio maana mnarukaruka

Uzi ni huu huu, Hafungui mtu uzi mwingine [emoji15] [emoji4] hivyo mnusuru baba kassim ni mzushi! ooh allah anamsimulia [emoji12] haya [emoji117] mnusuru baba kassim [emoji15] [emoji4]
 
Kwa iyo unataka kusema viumbe wote dunian tunatokana na nin
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…