Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Unamkumbuka yule mwanafasafa wa kirumi aliyeuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia ni duara na siyo flat?
Kurudi kwenye swali lako ni kwamba Quran haisomwi kama riwaya za kufikirika bali ipo kwa mafumbo ambayo huhitaji kusherehewa na kutafsiriwa kwa kutumia vitabu vingine na wanazuoni wasomi.
Vitu kama hivi mkuu ni beyond your tiny capabilities kuelewa..
Mfano " tumemuumba Adam kwa udongo.." kwa tiny brain yako utadhani Allah alikuwa na washirika.
Just let it go hii sio riwaya ya Eric Shigongo
Okay, sasa kwanini isiandikwe tu kwa lugha nyepesi isiyo na mkanyiko? Yaani Mungu ametuleta kitabu kwa ajili ya watu wote lakini kisichoweza kueleweka kwa watu wote! Hivi hii Logic inaingia akilini kweli?
 
Ameshindwa kujibu swali la kwa nini anashambulia uongo wa Quran, halafu anakubali uongo wa Biblia.

Nimemwambia yuko sawa kusema Quran ina uongo (kwa sababu ina uongo kweli) lakini, kama kweli hataki uongo, akubali kwamba hata Biblia nayo ina uongo.

Anakimbia swali hilo.

Kwa sababu nia yake si kukataa uongo.

Nia yake ni kushambulia Quran.

Kiranga:
Kwa taarifa yako mimi ni mtu mwerevu sana kuliko unavyoweza kufikiria.Mimi siwezi kujadiliana kwa staili ya Nzi, kwamba akinusa harufu kule basi, anakimbilia huko na akinusu harufu kali ya paka aliyekufa hapa, anaachana na hiyo harufu ya chakula na kugeukia hapa kwenye harufu ya paka.

Ninalinda mjadala usiwe corrupted.Mimi ndiye niliyweka uzi na hivi lazima niwe focused na kile uzi unachotaka ku-achieve.
 
Hili jibu linaitwa "deus ex machina".

Deus ex machina - Wikipedia

Wagiriki wa kale walikuwa wanapenda sana tamthiliya na maigizo.

Sasa wale waandishi wa tamthiliya, mara nyingine, walikuwa wanaandika tamthiliya ambazo zinajichanganya, wanashindwa kuzimaliza kimantiki.

Waingereza wanasema "they paint themselves into a corner".

Maana yake, unatoa maelezo ambayo unakuta hayawezi kuwa reconciled kimantiki. Inabidi upate namna ya kumaliza tamthiliya.

Sasa waandishi wakawa wanatumia habari moja kumaliza hadithi ambayo haielezeki.

Wakawa wana limungu lao la uongo linashushwa na mashine, linamaliza kila kitu.

Ukishindwa kuelezea kitu, unataka kumaliza hadithi, unalishusha tu hilo limungu likaja likamaliza hadithi.

Watu wawili wanapigana na jeshi la watu elfu thelathini, huna jinsi ya kuelezea watashindaje ikaeleweka kimantiki? Unalishusha tu hilo limungu la uongo kutoka juu, linamaliza mchezo vizuri kuliko movie yoyote ya Rambo.

Mpaka leo hii, muandishi akiambiwa kamaliza hadithi kwa "deus ex machina" ni shutuma mbaya kwamba hajamaliza hadithi yake kimantiki, amelazimisha mwisho kw akumshusha Mungu wa uongo.

Hizi habari za "Mungu ana mambo yake" "Mungu hapangiwi" "Mungu anafanya kazi kwa miujiza" si majibu.

Ni kukubali kwamba huna majibu. Unalazimisha "Deus ex Machina".

Siajsema Mungu hana mambo yake, nimekuuliza unipe sababu za Mungu kufanya hivi na si vile.

Kitu ambacho umeshindwa.

Kwa sababu, huyo Mungu, hayupo.

Deus ex machina - Wikipedia
Shikamoo Kiranga nilikuwa nakusikia tu ila kwa hii comment umenisuuza roho!
 
Habari za kisha nikaona farasi mweupe kama saruji,akija mawinguni,na mgogoni amekaa mwana wa Adam,akiwa na upanga,
Ukizitafsiri kwa sasa,haingii akilini farasi kupaa angani,na haileti maana,mwana wa adamu kupambana na upanga zama hizi za makombora ya cruiser.
Lugha iliyotumika ni kwa ajili ya wakati huko,na bahati mbaya mungu hajaleta new version
 
Kiranga:
Kwa taarifa yako mimi ni mtu mwerevu sana kuliko unavyoweza kufikiria.Mimi siwezi kujadiliana kwa staili ya Nzi, kwamba akinusa harufu kule basi, anakimbilia huko na akinusu harufu kali ya paka aliyekufa hapa, anaachana na hiyo harufu ya chakula na kugeukia hapa kwenye harufu ya paka.

Ninalinda mjadala usiwe corrupted.Mimi ndiye niliyweka uzi na hivi lazima niwe focused na kile uzi unachotaka kup-achieve.
Wwatu werevu hawajisifu wenyewe kwa werevu wao. Hujiona hawana werevu kwa sababu wanaelewa kwamba wasiyojua ni mengi kuliko wanayojua.

Kwa hiyo unapoanza kwa kujisifu tu kwamba wewe ni mtu mwerevu, hilo linawekea werevu wako shaka.

Mjadala wako umesha u corrupt wewe mwenyewe.

Umeishambulia Quran kwa sababu ina uongo. Sawa.

Kama hutaki uongo, ukioneshwa uongo hata kwenye Biblia, kubali huu ni uongo, au onsha kwamba si uongo.

Si unashambulia uongo kwenye Quran tu, wa Biblia unauacha.

Hiyo tunaita ni "double standard".

Ndiyo maana nikasema, wewe nia yako si kuushambulia uongo.

Nia yako ni kuishambulia Quran.

Ungekuwa na nia ya kuushambulia uongo, ungeushambulia hata uongo wa Biblia au kujaribu kuelezea kwamba Biblia haina uongo.

Unaji contradict mwenyewe. unaishambulia Quran kwa uongo, uongo wa Biblia unakataa kuujadili.
 
Habari za kisha nikaona farasi mweupe kama saruji,akija mawinguni,na mgogoni amekaa mwana wa Adam,akiwa na upanga,
Ukizitafsiri kwa sasa,haingii akilini farasi kupaa angani,na haileti maana,mwana wa adamu kupambana na upanga zama hizi za makombora ya cruiser.
Lugha iliyotumika ni kwa ajili ya wakati huko,na bahati mbaya mungu hajaleta new version
Mungu angekuwepo, ansingehitaji hata lugha kuelewesha watu kwamba yupo na anataka waishi vipi.

Angeweka kwenye DNA habari hizo. Ukizaliwa tu unajua habari zote kutoka katika DNA yako. Huhitaji tafsiri ya kitabu cha Kiarabu wala Kiyahudi.Misahafu yote isingehitaji tafsiri wala dira. Angeweka habari zote katika DNA yetu.

Ukiona Mungu kaandikwa kitabuni, ujue huyo kaandikwa na watu tu, hayupo katika uhalisi.
 
Okay, sasa kwanini isiandikwe tu kwa lugha nyepesi isiyo na mkanyiko? Yaani Mungu ametuleta kitabu kwa ajili ya watu wote lakini kisichoweza kueleweka kwa watu wote! Hivi hii Logic inaingia akilini kweli?

Mkuu hizo ni tafsiri ambazo Muhammad mwenyewe angalikuwapo asingalizikubali.Muhammad ndiye mwisho wa ukweli na hivi hizo tafsiri zao nani azikubali? Kama jambo limeshindwa kueleweka basi sisi tutalielewa vyovyote vile na sio vinginevyo.
Hao wanatudanganya na kinachoongelewa katika Sura hiyo ya Kurani.Mimi sasa naipandisha hiyo Sura hapa:

"18:1 - Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.

18:2 - Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.

18:3 - Wakae humo milele.

18:4 - Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.

18:5 - Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu.

18:6 - Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo haya!

18:7 - Kwa hakika tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie mtihani, ni nani kati yao wenye vitendo vizuri zaidi.

18:8 - Na hakika Sisi tutavifanya vyote vilio juu ya ardhi kuwa kama nchi ilio pigwa na ukame.

18:9 - Bali unadhani ya kwamba wale Watu wa Pangoni na Maandishi walikuwa ni ajabu miongoni mwa ishara zetu?

18:10 - Vijana hao walipo kimbilia kwenye pango walisema: Mola wetu Mlezi! Tupe rehema itokayo kwako, na tutengezee uwongofu katika jambo letu.

18:11 - Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa.

18:12 - Kisha tukawazindua ili tujue ni lipi katika makundi mawili lilio hisabu sawa muda walio kaa.

18:13 - Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao walikuwa ni vijana walio muamini Mola wao Mlezi. Na Sisi tukawazidisha uwongofu.

18:14 - Na tukazitia nguvu nyoyo zao walipo simama na wakasema: Mola wetu Mlezi ni Mola Mlezi wa mbingu na ardhi. Hatutamwita mwenginewe kabisa badala yake kuwa ni Mungu. Hivyo itakuwa tumesema jambo la kuvuka mpaka.

18:15 - Hawa watu wetu wameshika miungu mingine badala yake Yeye. Kwa nini basi hawawatolei uthibitisho ulio dhaahiri? Na nani aliye dhaalimu zaidi kuliko anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu?

18:16 - Na mkijitenga nao na vile wanavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu, basi kimbilieni pangoni, akufungulieni Mola wenu Mlezi rehema yake, na akutengenezeeni ya kukufaeni katika mambo yenu.

18:17 - Na unaliona jua linapo chomoza linainamia kuliani mwao kutoka hapo pangoni; na linapo kuchwa linawakwepa kushotoni, na wao wamo katika uwazi wa pango. Hizo ni katika ishara za Mwenyezi Mungu. Ambaye Mwenyezi Mungu anamwongoa basi huyo ni mwenye kuongoka. Na anaye muacha kupotea basi hutampatia mlinzi wala mwongozi.

18:18 - Nawe utawadhania wamacho, na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto. Na mbwa wao amenyoosha miguu yake ya mbele kizingitini. Kama ungeli watokea hapana shaka ungeli geuka kuwakimbia, nawe umejaa khofu.

18:19 - Na kwa namna hii tuliwainua usingizini wapate kuulizana wao kwa wao. Alisema msemaji katika wao: Mmekaa muda gani? Wakasema: Tumekaa siku moja au sehemu ya siku. Wakasema: Mola wenu Mlezi anajua zaidi muda mlio kaa. Hebu mtumeni mmoja wenu na hizi fedha zenu ende mjini, akatazame chakula chake kipi kilicho bora kabisa akuleteeni cha kukila. Naye afanye mambo hayo kwa busara, wala asikutajeni kabisa kwa yeyote.


18:20 - Kwani wao wakikutambueni watakupigeni mawe, au watakurudisheni katika dini yao; na hapo hamtafanikiwa kabisa!


18:21 - Na namna hivi tuliwa juulisha kwa watu wapate kujua ya kwamba ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli, na kwamba Saa haina shaka. Walipo kuwa wakigombania jambo lao wao kwa wao walisema: Jengeni jengo juu yao. Mola wao Mlezi anawajua vyema. Wakasema walio shinda katika shauri yao: Bila ya shaka tutawajengea msikiti juu yao.


18:22 - Watasema: Walikuwa watatu, wa nne wao ni mbwa wao. Na wanasema: Walikuwa watano, wa sita wao ni mbwa wao. Wanavurumisha ovyo. Na wanasema: Walikuwa saba, na wa nane wao ni mbwa wao. Sema: Mola wangu Mlezi ndiye anaye jua sawa sawa hisabu yao. Hawawajui ila wachache tu. Basi usibishane juu yao ila kwa mabishano ya juu juu tu hivi. Wala usiulize khabari zao kwa yeyote yule.

18:23 - Wala usisema kamwe kwa jambo lolote lile: Hakika nitalifanya hilo kesho -


18:24 - Isipo kuwa Mwenyezi Mungu akipenda. Na mkumbuke Mola wako Mlezi pale unapo sahau, na sema: Asaa Mola wangu Mlezi ataniongoa kwenye uwongozi ulio karibu zaidi kuliko huu.

18:25 - Na walikaa katika pango lao miaka mia tatu, na wakazidisha tisa.

18:26 - Sema: Mwenyezi Mungu anajua zaidi muda walio kaa. Ni zake tu siri za mbingu na ardhi. Kuona kulioje na kusikia kwake! Hawana mlinzi isipo kuwa Yeye, wala hamshirikishi yeyote katika hukumu yake.

18:27 - Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha maneno yake. Wala nawe hutapata makimbilio isipo kuwa kwake.

18:28 - Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanao muomba Mola wao Mlezi asubuhi na jioni, hali ya kuwa wanataka radhi yake. Wala macho yako yasiwaruke kwa kutaka pambo la maisha ya dunia. Wala usimt'ii tuliye mghafilisha moyo wake asitukumbuke, na akafuata matamanio yake yakawa yamepita mpaka.

18:29 - Na sema: Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi atakaye, aamini. Na atakaye, akatae. Hakika Sisi tumewaandalia wenye kudhulumu Moto ambao utawazunguka kama khema. Na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama mafuta yaliyo tibuka. Yatayo wababua nyuso zao. Kinywaji hicho ni kiovu mno! Na matandiko hayo ya kupumzikia ni maovu mno!


18:30 - Hakika wale walio amini na wakatenda mema - hakika Sisi hatupotezi ujira wa anaye tenda mema.


18:31 - Hao watapata Bustani za milele, zinazo pita mito kati yake. Humo watapambwa kwa mavazi ya mikononi ya dhahabu, na watavaa nguo za kijani za hariri na at'ilasi, huku wakiegemea humo juu ya makochi. Ni malipo bora hayo! Na matandiko mazuri mno ya kupumzikia!

18:32 - Na wapigie mfano wa watu wawili: mmoja wao tulimpa vitalu viwili vya mizabibu, na tukavizungushia mitende, na kati yake tukatia mimea ya nafaka.

18:33 - Na hivyo vitalu viwili vikitoa mazao yake, wala hapana kitu katika hayo kilicho tindikia. Na ndani yake tukapasua mito.

18:34 - Naye alikuwa na mazao mengi. Basi akamwambia mwenzake naye akibishana naye: Mimi nimekushinda wewe kwa mali na nguvu za watu!

18:35 - Na akaingia kitaluni kwake, naye hali anajidhulumu nafsi yake. Akasema: Sidhani kabisa kuwa haya yataharibika.

18:36 - Wala sidhani kuwa hiyo Saa (ya Kyama) itatokea. Na ikiwa nitarudishwa kwa Mola wangu Mlezi, bila ya shaka nitapata marejeo bora zaidi kuliko haya.

18:37 - Mwenzake akamwambia kwa kubishana naye: Je! Unamkufuru aliye kuumba kutokana na udongo, tena kutokana na tone la manii, kisha akakufanya mtu kaamili?


18:38 - Lakini Yeye Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu Mlezi. Wala simshirikishi na yeyote.


18:39 - Na lau kuwa ulipo ingia kitaluni kwako ungeli sema: Mashaallah! Alitakalo Mwenyezi Mungu huwa! Hapana nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu. Ikiwa unaniona mimi nina mali kidogo na watoto kuliko wewe,

18:40 - Basi huenda Mola wangu Mlezi akanipa kilicho bora kuliko kitalu chako, naye akapitisha kudra yake kutoka mbinguni kukilitea hicho chako, na kikageuka ardhi tupu inayo teleza.

18:41 - Au maji yake yakadidimia wala usiweze kuyagundua.


18:42 - Yakateketezwa matunda yake, akabaki akipindua pindua viganja vyake, kwa vile alivyo yagharimia, na miti imebwagika juu ya chanja zake. Akawa anasema: Laiti nisingeli mshiriki Mola wangu Mlezi na yeyote!


18:43 - Wala hakuwa nacho kikundi cha kumsaidia badala ya Mwenyezi Mungu, wala mwenyewe hakuweza kujisaidia.

18:44 - Huko ulinzi ni wa Mwenyezi Mungu wa Haki tu. Yeye ndiye mbora wa malipo, na mbora wa matokeo.


18:45 - Na wapigie mfano wa maisha ya dunia. Hayo ni kama maji tunayo yateremsha kutoka mbinguni, yakachanganyika na mimea ya ardhi, kisha hiyo mimea ikawa vibuwa vinavyo peperushwa na upepo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.

18:46 - Mali na wana ni pambo la maisha ya dunia. Na mema yanayo bakia ni bora mbele ya Mola wako Mlezi kwa malipo, na bora kwa matumaini.

18:47 - Na siku tutapo iondoa milima na ukaiona ardhi iwazi, na tukawafufua - wala hatutamwacha hata mmoja kati yao -

18:48 - Na wakahudhurishwa mbele ya Mola wako Mlezi kwa safu (wakaambiwa): Mmetujia kama tulivyo kuumbeni mara ya kwanza! Bali mlidai kwamba hatutakuwekeeni miadi.


18:49 - Na kitawekwa kitabu. Basi utawaona wakosefu wanavyo ogopa kwa yale yaliomo humo. Na watasema: Ole wetu! Kitabu hichi kina nini! Hakiachi dogo wala kubwa ila huliandika? Na watayakuta yote waliyo yatenda yamehudhuria hapo. Na Mola wako Mlezi hamdhulumu yeyote.


18:50 - Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.

18:51 - Sikuwashuhudisha kuumbwa kwa mbingu na ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi zao. Wala sikuwafanya wapotezao kuwa ni wasaidizi.

18:52 - Na siku atakapo sema (Mwenyezi Mungu): Waiteni hao mlio dai kuwa ni washirika wangu. Basi watawaita, na wao hawato waitikia. Nasi tutaweka baina yao maangamio.

18:53 - Na wakhalifu watauona Moto na watajua ya kwamba wao lazima wataingia humo; wala hawatapata pa kuuepuka.

18:54 - Na bila ya shaka tumewaelezea watu katika hii Qur'ani kila namna ya mfano. Lakini mwanaadamu amezidi kuliko kila kitu kwa ubishi.


18:55 - Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia uwongofu na wakaomba maghfira kwa Mola wao Mlezi, isipo kuwa yawafikie ya wale wa zamani, au iwafikie adhabu jahara.

18:56 - Na hatuwatumi Mitume ila wawe wabashiri na waonyaji. Na walio kufuru wanabishana kwa uwongo, ili kwa uwongo huo waivunje kweli. Na wanazifanya Ishara zangu na yale waliyo onywa kuwa ni mzaha.

18:57 - Na ni nani dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kumbushwa Ishara za Mola wake Mlezi, naye akazipuuza na akasahau yaliyo tangulizwa na mikono yake? Hakika Sisi tumeweka vifuniko juu ya nyoyo zao ili wasifahamu, na uziwi kwenye masikio yao. Na ukiwaita kwenye uwongofu hawakubali kabisa kuongoka.


18:58 - Na Mola wako Mlezi ni Msamehevu Mwenye rehema. Lau angeli wachukulia kwa mujibu waliyo yachuma, bila ya shaka angeli wafanyia haraka kuwaadhibu. Lakini wanayo miadi ambayo hawatapata makimbilio yoyote ya kuepukana nayo.

18:59 - Na miji hiyo tuliwaangamiza watu wake walipo dhulumu. Na tukawawekea miadi ya maangamizo yao.

18:60 - Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu.

18:61 - Basi wawili hao walipo fika zinapo kutana hizo bahari mbili walimsahau samaki wao, naye akashika njia yake kaporonyokea baharini.

18:62 - Walipo kwisha pita alimwambia kijana wake: Tupe chakula chetu cha mchana. Kwa hakika tumepata machofu kweli kwa hii safari yetu.

18:63 - Akasema (kijana): Waona! Pale tulipo pumzika penye jabali basi mimi nilimsahau yule samaki. Na hapana aliye nisahaulisha nisimkumbuke ila Shet'ani tu. Naye akashika njia yake baharini kwa ajabu.

18:64 - (Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa kufuata njia waliyo jia.

18:65 - Basi wakamkuta mja katika waja wangu tuliye mpa rehema kutoka kwetu, na tukamfunza mafunzo yaliyo toka kwetu.

18:66 - Musa akamwambia: Nikufuate ili unifunze katika ule uwongofu ulio funzwa wewe?

18:67 - Akasema: Hakika wewe hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami.

18:68 - Na utawezaje kuvumilia yale usiyo yajua vilivyo undani wake?

18:69 - Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.

18:70 - Akasema: Basi ukinifuata usiniulize kitu mpaka mimi nianze kukutajia.

18:71 - Basi wawili hao wakatoka, hata walipo panda jahazi (yule mtu) akaitoboa. (Musa) akasema: Unaitoboa uwazamishe watu wake? Hakika umefanya jambo baya.

18:72 - Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?

18:73 - (Musa) akasema: Usinichukulie kwa niliyo sahau, wala usinipe uzito kwa jambo langu.

18:74 - Basi wakatoka wawili hao mpaka wakamkuta kijana, akamuuwa. (Musa) akasema: Ala! Umemuuwa mtu asiye na kosa, na wala hakuuwa! Ama hakika umefanya jambo baya kabisa!

18:75 - AKASEMA: Je! Sikukwambia kwamba hakika wewe huwezi kuvumilia kuwa pamoja nami?

18:76 - Akasema: Nikikuuliza kitu chochote baada ya haya usifuatane nami, kwani umekwisha pata udhuru kwangu.

18:77 - Basi wakatoka mpaka wakawafikia watu wa mji mmoja. Wakawaomba watu wake wawape chakula, nao wakakataa kuwakaribisha. Hapo wakakuta ukuta unataka kuanguka, (yule mja mwema) akausimamisha. (Musa) akasema: Ungeli taka ungeli chukua ujira kwa haya.

18:78 - (Yule mtu) akasema: Huku ndio kufarikiana baina yangu na wewe. Sasa nitakueleza maana ya yale uliyo kuwa huwezi kuyastahamilia.

18:79 - Ama ile jahazi ilikuwa ya masikini za Mungu wafanyao kazi baharini. Nilitaka kuiharibu, kwani nyuma yao alikuwako mfalme anaghusubu majahazi yote.

18:80 - Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.

18:81 - Basi tulitaka Mola wao Mlezi awabadilishie aliye bora zaidi kuliko huyo kwa kutakasika, na aliye karibu zaidi kwa huruma.

18:82 - Na ama ukuta, huo ulikuwa ni wa vijana wawili mayatima kule mjini. Na chini yake ilikuwako khazina yao; na baba yao alikuwa ni mtu mwema. Basi Mola wako Mlezi alitaka wafikie utu uzima na wajitolee khazina yao wenyewe, kuwa ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Wala mimi sikutenda hayo kwa amri yangu. Hiyo ndiyo tafsiri ya hayo ambayo wewe hukuweza kuyasubiria.

18:83 - Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.

18:84 - Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.

18:85 - Basi akaifuata njia.

18:86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.


18:87 - Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake Mlezi amuadhibu adhabu isiyo juulikana.


18:88 - Na ama aliye amini na akatenda mema basi atapata malipo mazuri. Nasi tutamwambia lilio jepesi katika amri yetu.


18:89 - Kisha akaifuata njia.

18:90 - Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.

18:91 - Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.

18:92 - Kisha akaifuata njia.

18:93 - Hata alipo fika baina ya milima miwili, alikuta nyuma yake watu ambao takriban hawakuwa wanafahamu lolote.

18:94 - Wakasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Hakika Juju-wa-maajuju wanafanya uharibifu katika nchi. Basi je, tukulipe ujira ili utujengee baina yetu na wao ngome?

18:95 - Akasema: Yale Mola wangu aliyo niwezesha ni bora zaidi. Lakini nyinyi nisaidieni kwa nguvu zenu. Nitakujengeeni kizuizi baina yenu na wao.

18:96 - Nileteeni vipande vya chuma. Hata alipo ijaza nafasi iliyo kati ya milima miwili, akasema: Vukuteni. Hata alipo kifanya (chuma) kama moto akasema: Nileteeni shaba iliyo yayuka niimwagie.

18:97 - Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.

18:98 - Akasema: Hii ni rehema itokayo kwa Mola wangu Mlezi. Na itapo fika ahadi ya Mola wangu Mlezi atauvunja vunja. Na ahadi ya Mola wangu Mlezi ni kweli tu.

18:99 - Na siku hiyo tutawaacha wakisongana wao kwa wao. Na baragumu litapulizwa, na wote watakusanywa pamoja.

:100 - Na siku hiyo tutawadhihirishia wazi Jahannamu makafiri waione.



18:101 - Wale ambao kwamba macho yao yalikuwa paziani hayanikumbuki, na wakawa hawawezi kusikia.



18:102 - Je, wanadhani walio kufuru ndio wawafanye waja wangu ndio walinzi wao badala yangu Mimi? Hakika Sisi tumeiandaa Jahannamu iwe ndipo mahala pa kuteremkia makafiri.

18:103 - Sema: Je, tukutajieni wenye khasara mno katika vitendo vyao?

18:104 - Ni wale ambao juhudi yao katika maisha ya dunia imepotea bure, nao wanadhani kwamba wanafanya kazi nzuri.

18:105 - Hao ni wale walio zikanusha Ishara za Mola wao Mlezi na kukutana naye. Kwa hivyo vitendo vyao vimepotea bure, na wala Siku ya Kiyama hatutawathamini kitu.

18:106 - Hiyo Jahannamu ni malipo yao kwa walivyo kufuru na wakafanyia kejeli Ishara zangu na Mitume wangu.

18:107 - Hakika wale walio amini na wakatenda mema mashukio yao yatakuwa kwenye Pepo za Firdausi.

18:108 - Watadumu humo; hawatataka kuondoka.

18:109 - Sema: Lau kuwa bahari ndio wino kwa maneno ya Mola wangu Mlezi, basi bahari ingeli malizika kabla ya kumalizika maneno ya Mola wangu Mlezi, hata tungeli ileta mfano wa hiyo kuongezea.

18:110 - Sema: Mimi ni mwanaadamu kama nyinyi. Ninaletewa Wahyi kwamba Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Mwenye kutaraji kukutana na Mola wake Mlezi basi naatende vitendo vyema, wala asimshirikishe yeyote katika ibada ya Mola wake Mlezi."


Sasa munaosema maudhui katika aya hiyo ni Mungu anamsimulia Muhammad habari za Alexander the Great,tuambieni Sura nzima ni Mungu tu peke yake anaongea na Muhammad au Muhammad naye anasikika humo akiongea na Alexander the Great, ambaye wakati huo alikuwa kishakufa wakati Muhammad kabla ya Muhammad kushushiwa hiyo Sura ya Kurani?
 
Sawa tufanye jua lilisimama, kwa hiyo likisimama ndio mchana unakuwa mrefu? maana yeye alisimamisha jua ili Giza lisiingie hadi vita iishe. Kinachofanya usiku na mchana ni mzunguko wa dunia kwenye mhimili wake sio mzunguko wa jua kwenye Galaxy... Hivi vitabu sio vya Mungu ni vya binaadamu tu
 
Sawa tufanye jua lilisimama, kwa hiyo likisimama ndio mchana unakuwa mrefu? maana yeye alisimamisha jua ili Giza lisiingie hadi vita iishe. Kinachofanya usiku na mchana ni mzunguko wa dunia kwenye mhimili sio mzunguko wa jua kwenye Galaxy... Hivi vitabu ni vya uongo sana
 
Shikamoo Kiranga nilikuwa nakusikia tu ila kwa hii comment umenisuuza roho!
Hahaaa. vijimambo vya kawaida tu.

Watu wanatumia "deus ex machina" wakati hata hawajui kwamba wanatumia "deus ex machina".

Tunawekana sawa tu.
 
Wanajukwa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
Hakikuzungumzwa katika Quran hiko unachomaanisha, hiyo ni mojawapo ya historia ya mmoja wa Manabii aliyetajwa ndani ya Quran. Hiyo aya ndiyo inaelezea kuhusu Juja wa majuja.

Mwanadamu kuna muda majira ya kuzama unaliona kama linaingia ziwani kama ziwa lipo upande wa unaozamia jua. Huo ni udhaifu wa macho yetu ulivyo, na huo ndiyo uliyosemwa hapo maana ilitajwa jinsi wanadamu walivyokuwa wakiona. Ndiyo kilichomaanishwa hapo hizo sayansi zipo ndani ya Quran, ila si huo uzushi wako

Hebu ukijaribu kukosoa fuatilia, itakuepusha usionekane poyoyo na pia kutunza heshima yako.
 
Kwanza unachotakiwa kujua ni kwamba Mungu hakuna kitu chochote alichokipangilia halafu akajuta, kwa maana hiyo futa kauli ya kushindanisha Mungu na vitu vya kijinga.

Unavamia tu bila kula hoja kwanza na ukashiba? Hata huelewi kwamba neno Mungu ni Generic name.Linaweza kutumiwa na watu mbalimbali na bado likawa na maana tofauti tofauti.Mungu unayemfahamu wewe sio huyo anayemaanishwa na Muhammad na Kurani.Wewe Concentrate tu na Mungu wako sisi tuko na Mungu wa Muhammad na waislamu.Kajielimishe kwanza ndio urudi kwenye mjadala.
 
Dhana ya kuwepo huyu Mungu inajipinga. Ina contradiction.

Contradiction inaonesha huyu Mungu hayupo.

Ni habari imetungwa na watu tu.
Usichafue uzi Tafadhali [emoji12]
 
Contradictions / Difficulties in the Qur'an

Important notice: This is an overview page which only gives short summaries of the observed contradictions. Before you respond to any of them, first click on the link to the detailed discussion of the individual contradiction!

Internal Contradictions:
  1. Who suffers loss if Muhammad was wrong? Sura 34:50 commands Muhammad to say, "If I go astray, I go astray only to my own loss," which is a severe factual error in the Qur'an as well as contradicting the teaching of the Qur'an in a number of other verses.
  2. Allah, Adam, and the Angels. There are a great number of problems and inconsistencies between the several accounts of Adam's creation, Allah's command to prostrate before Adam, Satans refusal, etc.
  3. Who Was the First Muslim? Muhammad [6:14, 163], Moses [7:143], some Egyptians [26:51], or Abraham [2:127-133, 3:67] or Adam, the first man who also received inspiration from Allah [2:37]?
  4. Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord? Yes [S. 53:1-18, 81:15-29], No [6:102-103, 42:51].
  5. Were Warners Sent to All Mankind Before Muhammad? Allah had supposedly sent warners to every people [10:47, 16:35-36, 35:24], Abraham and Ishmael are specifically claimed to have visited Mecca and built the Kaaba [2:125-129]. Yet, Muhammad supposedly is sent to a people who never had a messenger before [28:46, 32:3, 34:44, 36:2-6]. This article also raises other issues: What about Hud and Salih who supposedly were sent to the Arabs? What about the Book that was supposedly given to Ishmael? Etc.
  6. What will be the food for the people in Hell? The food for the people in Hell will be only "Dhari" [Sura 88:6], or only foul pus from the washing of wounds [S. 69:36], or will they also get to eat from the tree of Zaqqum [S. 37:66]? Together, these verses constitute three contradictions.
  7. Can Angels Cause the Death of People? The Qur'an attacks those who worship anyone besides God (e.g. angels or prophets) because those can neither create, nor give life, nor cause anyone to die. Yet, the Qur'an explicitly states that one angel or several angels are causing certain people to die [Sura 4:97, 16:28, 32, 32:11].
  8. Confusion Concerning Identity of the Spirit and Gabriel (a long discussion of dozens of references)
  9. 'Iddah rules for divorced and widowed women appear to be arbitrary and inconsistent.
  10. Is there a minimum age of marriage for girls?
  11. To Marry or Not to Marry? The Qur'an forbids believers to marry idolatrous women [Sura 2:221], and calls Christians idolaters and unbelievers [9:28-33], but still allows Muslims to marry Christian women [5:5].
  12. Will it be accepted of them or not?
  13. Will Allah reward the good deeds of Unbelievers? S. 9:17 and 9:69 clearly say no. However, S. 99:7 implies yes. Moreover, S. 2:62 promises Christians reward for their good deeds. But S. 9:28-33; 5:17, 72-73 calls Christians idolaters, and S. 9:17 is very clear that idolaters will have no reward.
  14. Should Muslims Accept Peace or Not?
  15. Fighting All People Until They Do What?
  16. Compel them or Not?
  17. Can They Disbelieve in the Last Day and be Safe?
  18. Should Muslims show kindness to their parents? On the one hand, the Quran commands all Muslims to show kindness to their parents, even if they are disbelievers [17:23-24, 31:14-15, 29:8, etc.]. On the other hand, it demands not to show any love or friendship to those who oppose Muhammad, even if they are their parents [9:23, 58:22].
  19. Can one be a believer in God and oppose Muhammad at the same time?
  20. How many mothers does a Muslim have? Only one [58:2, the woman who gave birth and none else], or two [4:23, including the mother who nursed him], or at least ten [33:6]?
  21. And it just doesn't add up: Sura 4:11-12 and 4:176 state the Qur'anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.
  22. How many angels were talking to Mary? When the Qur'an speaks about the announciation of the birth of Jesus to the virgin Mary, Sura 3:42,45 speaks about (several) angels while it is only one in Sura 19:17-21. (This article has received many Muslim responses which are quoted or linked and/or discussed at the end of the article.)
  23. Further numerical discrepancies Does Allah's day equal to 1,000 human years (Sura 22:47, 32:5) or 50,000 human years (Sura 70:4)? --- According to Sura 56:7 there will be THREE distinct groups of people at the Last Judgement, but 90:18-19, 99:6-8, etc. mention only TWO groups. --- There are conflicting views on who takes the souls at death: THE Angel of Death [32:11], THE angels (plural) [47:27] but also "It is Allah that takes the souls (of men) at death." [39:42] Angels have 2, 3, or 4 pairs of wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings. [Sahih Bukhari, Volume 4, Book 54, Number 455]
  24. How many days did Allah need to destroy the people of Aad? One day [54:19] or several days [41:16; 69:6,7]
  25. Six or eight days of creation? Sura 7:54, 10:3, 11:7, and 25:59 clearly state that God created "the heavens and the earth" in six days. But in 41:9-12 the detailed description of the creation procedure adds up to eight days. (This topic also includes many Muslim responses and further discussion.)
  26. Quick or Slow Creation? Allah creates the heavens and the earth in six days [7:54] and many Muslims want to be modern and scientific, and make that six eons, but then again, He creates instantaneously [2:117], "Be! And it is".
  27. Heavens or Earth? Which was created first? First earth and then heaven [2:29], heaven and after that earth [79:27-30].
  28. Calling together or ripping apart? In the process of creation heaven and earth were first apart and are called to come together [41:11], while 21:30 states that they were originally one piece and then ripped apart.
  29. What was man created from? A blood clot [96:1-2], water [21:30, 24:45, 25:54], "sounding" (i.e. burned) clay [15:26], dust [3:59, 30:20, 35:11], nothing [19:67] and this is then denied in 52:35, earth [11:61], a drop of thickened fluid [16:4, 75:37]
  30. What were jinn created from?
  31. The descent of the Quran: Piecemeal or all at once?
  32. Examining the inherent problems with the descent of the Quran
  33. Is half the Quran already fully detailed?
  34. Fully Detailed Or Incomplete? The Qur'an claims for itself to be (fully) detailed, that nothing is left out of the book [6:38, 6:114, 12:111, 16:89 etc.]. However there are plenty of important issues which are left unclear in the Qur'an. This article discusses the confusion found in the quranic statements on wine.
  35. Is the Quran Completely Clear or Not?
  36. The Perspicuity of the Quran and It’s Mysterious Letters
  37. Worshiping the Same or a Different God? Muhammad is commanded to speak to the disbelievers: ... nor do you worship what I worship [109:3]. However, other verses in the Qur'an state clearly that those disbelieving his message are in fact worshiping the same God, Allah.
  38. Did the Meccan Polytheist Believe That Allah Was The Supreme Being?
  39. To Intercede or Not To Intercede? - That is the Question! The Qur'an makes contradictory statements whether on the Day of Judgment intercession will be possible. No: [2:122-123, 254; 6:51; 82:18-19; etc.]. Yes: [20:109; 34:23; 43:86; 53:26; etc.]. Each position can be further supported by ahadith.
  40. How the Islamic Doctrine of Intercession undermines Allah's Omniscience
  41. Where is Allah and his throne? Allah is nearer than the jugular vein [50:16], but he is also on the throne [57:4] which is upon the water [11:7], and at the same time so far away, that it takes between 1,000 and 50,000 years to reach him [32:5, 70:4].
  42. The origin of calamity? Is the evil in our life from Satan [38:41], Ourselves [4:79], or Allah [4:78]?
  43. How merciful is Allah's mercy? He has prescribed mercy for himself [6:12], yet he does not guide some, even though he could [6:35, 14:4].
  44. Does Allah command to do evil? No [7:28, 16:90]. Yes [17:16, ]. Two examples are also given, where Allah clearly commanded or permitted indecent actions [2:229-230, 2:187].
  45. Should Muhammad Get Paid Or Shouldn’t He?
  46. A Contradiction Regarding Muhammad's Fatherhood
  47. Will there be inquiry in Paradise? "neither will they question one another" [23:101] but nevertheless they will be "engaging in mutual inquiry" [52:25], "and they will ... question one another" [37:27].
  48. Are angels protectors? "NO protector besides Allah" [2:107, 29:22]. But in Sura 41:31 the angels themselves say: "We are your protectors in this life and the Hereafter." And also in other suras is their role described as guarding [13:11, 50:17-18] and protecting [82:10].
  49. Is Allah the only Wali? On the one hand, Allah is supposedly the only wali (protector, helper, friend) [9:116, 17:111, 32:4, 42:28], on the other hand, the messenger and the believers are walis [5:55, 9:71], Allah has walis [10:62], and he raises walis [4:75].
  50. Does Allah Act Alone Or Does He Have Partners That Assist Him?
  51. Is Allah the Only Judge or Not?
  52. Is Allah the only sovereign or isn’t he?
  53. Are all obedient and prostrating to Allah? That is the claim in 16:49 and 30:26, but dozens of verses speak of the proud disobedience of Satan [7:11, 15:28-31, 17:61, 20:116, 38:71-74, 18:50] as well of many different human beings who reject His commands and His revelations.
  54. Does Allah forgive shirk? Shirk is considered the worst of all sins, but the author of the Qur'an seems unable to decide if Allah will ever forgive it or not. No [4:48, 116], Yes [4:153, 25:68-71]. Abraham committed this sin of polytheism as he takes moon, sun, stars to be his Lord [6:76-78], yet Muslims believe that all prophets are without any sin.
  55. Abraham and the Sun
  56. Abraham's Monotheism
  57. Abraham's Progeny? How the Qur'an messed up Abraham's family tree
  58. Did All Prophets Receive the Same Book?
  59. The event of worship of the golden calf: The Israelites repented about worshipping the golden calf BEFORE Moses returned from the mountain [7:149], yet they refused to repent but rather continued to worship the calf until Moses came back [20:91]. Does Aaron share in their guilt? No [20:85-90], yes [20:92, 7:151].
  60. Was Jonah cast on the desert shore or was he not? "Then We cast him on a desert shore while he was sick" [37:145] "Had not Grace from his Lord reached him, he would indeed have been cast off on the naked shore while he was reprobate." [68:49]
  61. Moses and the Injil? Jesus is born more than 1,000 years after Moses, but in 7:157 Allah speaks to Moses about what is written in the Injil [the book given to Jesus].
  62. Can slander of chaste women be forgiven? Yes [24:5], No [24:23].
  63. How do we receive the record on Judgment Day? On Judgement day the lost people are given the Record (of their bad deeds): Behind their back [84:10], or in their left hand [69:25].
  64. Can angels disobey? No angel is arrogant, they all obey Allah [16:49-50], but: "And behold, we said to the ANGELS: 'Bow down to Adam'. And THEY bowed down, EXCEPT Iblis. He refused and was haughty." [2:34]. This article includes links to answers to four Muslim responses.
  65. How many wings does an angel have? Angels have 2, 3, or 4 wings [35:1]; but Gabriel had 600 wings according to Sahih al-Bukhari.
  66. Is Satan an angel or a jinn?
  67. Three contradictions in 2:97 and 16:101-103 Who brings the revelation from Allah to Muhammad? The ANGEL Gabriel [2:97], or the Holy Spirit [16:102]? The new revelation confirms the old [2:97] or substitutes it [16:101]? The Qur'an is PURE Arabic [16:103] but there are numerous foreign, non-Arabic words in it.
  68. Do not say, "Three"!? It is impossible to recite Sura 4:171 without transgressing the command contained in it.
  69. The infinite loop problem Sura 26:192,195,196: "It (the Qur'an) is indeed a revelation from the Lord of the Worlds, ... in clear Arabic speech and indeed IT (the Qur'an) is in the writings of the earlier (prophets)." Now, the 'earlier writings' are the Torah and the Injil for example, written in Hebrew and Greek. HOW can an ARABIC Qur'an be contained in books of other languages? Furthermore, it would have to contain this very passage of the Qur'an since the Qur'an is properly contained in them. Hence these earlier writings have to be contained in yet other earlier writings and we are in an infinite loop, which is absurd.
  70. Is the Torah like the Qur'an, or is it not? The Muslim claim of the corruption of the Bible leads to a contradiction between S. 2:24 and 17:88 on the one hand, and 28:49 and 46:10 on the other.
  71. Should Jews and Christians follow the Bible or the Quran?
  72. "An old woman" and God's character About the story of Lot: "So we delivered him and his family, - all exept an old woman who lingered behind." [Sura 26:170-171] And again: "But we saved him and his family, exept his wife: she was of those who lagged behind. [Sura 7:83]. Either this is a contradiction or if indeed Lot's wife is derogatorily called "an old woman" then this does not show much respect for her as a wife of a prophet.
  73. More problems with the story of Lot "And his people gave NO answer but this: They said, "Drive them out of your city: these are indeed men who want to be clean and pure!" [Sura 7:82 & 27:56]. Yet: "But his people gave NO answer but this: They said: "Bring us the Wrath of Allah if thou tellest the truth." [Sura 29:29]. Obviously these answers are different.
  74. The "pleasure" of Allah? Is God's action of punishment or mercy and guidance or misguidance arbitrary?
  75. Did Abraham smash the idols? The accounts of Abraham, Suras 19:41-49, 6:74-83 differ quite a bit from Sura 21:51-59. While in Sura 21 Abraham confronts his people strongly, and even destroys the idols, in Sura 19 Abraham shuts up after his father threatens him to stone him for speaking out against the idols. And he seems not only to become silent, but even to leave the area ("turning away from them all").
  76. What about Noah's son? According to Sura 21:76, Noah and his family is saved from the flood, and Sura 37:77 confirms that his seed survived. But Sura 11:42-43 reports that Noah's son drowns.
  77. Was Noah driven out? "Before them *the people of Noah* rejected (their messenger): They rejected Our servant and said, 'Here is One possessed!' And he was driven out." [Sura 54:9] Now, if he is driven out [expelled from their country] how come they can scoff at him while he is building the ark since we read "Forthwith he (starts) constructing the Ark: Every time that the Chiefs of *his people* passed by him, they threw ridicule on him." [Sura 11:38] He cannot be both: Driven out and near enough that they can regularly pass by.
  78. Pharaoh's Magicians: Muslims or Rejectors of Faith? Did the Magicians of Pharaoh, Egyptians, become believers in the God of Moses [7:103-126; 20:56-73; S. 26:29-51] or did only Israelites believe in Moses [10:83]?
  79. How many gods did the Egyptians worship?
  80. Pharaoh's repentance in the face of death? According to Sura 10:90-92, Pharaoh repented "in the sight of death" and was saved. But Sura 4:18 says that such a thing can't happen.
  81. Abrogation? "The words of the Lord are perfect in truth and justice; there is NONE who can change His words." [Sura 6:115] Also see 6:34 and 10:64. But then Allah (Muhammad?) sees the need to exchange some of them for "better ones" [Sura 2:106, 16:101]. And it is not for ignorant people to question Allah because of such practices!
  82. Guiding to truth? "Say: 'God - He guides to the truth; and which is worthier to be followed ...?" [Sura 10:35] But how much is left over of this worthiness when we also read: "Allah leads astray whom he pleases, and he guides whom He pleases, ..." [Sura 14:4]. And how do we know in which of Allah's categories of pleasure we fall? How sure can a Muslim be that he is one of those guided right and not one of those led astray?
  83. What is the punishment for adultery? Flogging with a 100 stripes (men and women) [24:2], "confine them to houses until death do claim them (lifelong house arrest - for the women) [4:15]. For men: "If they repent and amend, leave them alone" [4:16]. 24:2 contradicts both the procedure for women and men in Sura 4. And why is the punishment for women and men equal in Sura 24 but different in Sura 4?
  84. How are the sexually immoral supposed to be punished?
  85. The Problem of Divine Sovereignty, Predestination, Salvation and Human Free Will
  86. Who suffers the consequence of sins? The Qur'an declares that everyone will be held responsible only for his own sins [S. 17:13-15, 53:38-42]. Yet, the Qur'an accuses the Jews of Muhammad's day for the sins committed some 2000 years earlier by other Jews, e.g. worshipping the Golden Calf idol.
  87. Will Christians enter Paradise or go to Hell? Sura 2:62 and 5:69 say "Yes", Sura 5:72 (just 3 verses later) and 3:85 say "No".
  88. God alone or also men? Clear or incomprehensible? The Qur'an is "clear Arabic speech." [16:103] Yet "NONE knows its interpretation, save only Allah." [3:7]. Actually, "men of understanding do grasp it." [3:7]
  89. Was Pharaoh Drowned or Saved when chasing Moses and the Israelites? Saved [10:92], drowned [28:40, 17:103, 43:55].
  90. When Commanded Pharaoh the Killing of the Sons? When Moses was a Prophet and spoke God's truth to Pharaoh [40:23-25] or when he was still an infant [20:38-39]?
  91. When/how are the fates determined? "The night of power is better than a thousand months. The angels and spirit descend therein, by the permission of their Lord, with all decrees." [97:3,4] "Lo! We revealed it on a blessed night." [44:3] To Muslims, the "Night of Power" is a blessed night on which fates are settled and on which everything relating to life, death, etc., which occurs throughout the year is decreed. It is said to be the night on which Allah's decrees for the year are brought down to the earthly plane. In other words, matters of creation are decreed a year at a time. Contradicting this, Sura 57:22 says, "No affliction befalls in the earth or in your selves, but it is in a Book before we create it." This means it is written in the Preserved Tablet, being totally fixed in Allah's knowledge before anyone was created. All of the above is contradicted by "And every man's fate We have fastened to his own neck." This says that man alone is responsible for what he does and what happens to him. [17:13]
  92. Wine: Good or bad? Strong drink and ... are only an infamy of Satan's handiwork. [5:90, also 2:219]. Yet on the other hand in Paradise are rivers of wine [47:15, also 83:22,25]. How does Satan's handiwork get into Paradise?
  93. Good News of Painful Torture? Obviously, announcing torment and suffering to anyone is bad news, not good news. However, the Qur'an announces the good news of painful torment [3:21, 4:138, 9:3, 9:34, 31:7, 45:8, and 84:24].
  94. Jinns and men created for worship or for Hell? Created only to serve God [Sura 51:56], many of them made for Hell [Sura 7:179].
  95. Preferred for Hell? S. 17:70 says that Allah prefers (all) the children of Adam over many of his creatures, but S. 98:6 declares the majority of men to be the worst of creatures, many of them being even created specifically for Hell (S. 7:179).
  96. Will people stay in Hell forever, or not?
  97. Will all Muslims go to Hell? According to Sura 19:71 every Muslim will go to Hell (for at least some time), while another passage states that those who die in Jihad will go to Paradise immediately.
  98. Will Allah disgrace Muslims? On the day of judgment Allah will not humiliate or disgrace the Prophet and those who believe in him [S. 66:8]. However, 19:71 says that everyone will enter Hell, and 3:192 states that whomsoever Allah sends to Hell, is disgraced thereby.
  99. Will Jesus burn in Hell? Jesus is raised to Allah, [Sura 4:158], near stationed with him [Sura 3:45], worshiped by millions of Christians, yet Sura 21:98 says, that all that are worshiped by men besides Allah will burn in Hell together with those who worship them.
  100. Is Jesus God or Not? In Sura 16:17, 20-21 and S. 25:3 we find a criterion to distinguish the true God from false gods. Yet, according to S. 3:49, 55, 4:157-158, 5:110, 6:2, and 38:71-72 Jesus satisfies the definition and should be considered true Deity.
  101. Is Jesus Like Adam? S. 3:59 makes this claim, but how many aspects of likeness are there really?
  102. Can there be a son without a consort? Allah cannot have a son without a consort [Sura 6:101], but Mary can have a son without a consort because that is easy for Allah [Sura 19:21].
  103. Who is the father of Jesus? A more involved argument that is difficult to summarize in one sentence.
  104. Begetting and Self-sufficiency A self-contradiction on account of confused terminology.
  105. Could Allah have a son? Sura 39:4 affirms and Sura 6:101 denies this possibility.
  106. Did Jesus Die already? Sura 3:144 states that all messengers died before Muhammad. But 4:158 claims that Jesus was raised to God (alive?).
  107. One Creator or many? The Qur'an uses twice the phrase that Allah is "the best of creators" [23:14, 37:125]. What other creators are in mind? On the other hand, many verses make clear that Allah alone is "the creator of all things" [e.g. 39:62]. There is nothing left for others to be a creator of.
  108. From among all nations or from Abraham's seed? Sura 29:27 states that all prophets came Abraham's seed. But 16:36 claims that Allah raised messengers from among every people.
  109. Marrying the wives of adopted sons? It is important that Muslims can marry the divorced wives of adopted sons [Sura 33:37], yet it is forbidden to adopt sons [Sura 33:4-5].
  110. Messengers were never sent to other than their own people? So it is claimed in Sura 14:4 and 30:47. However, the Bible and the Qur'an, and the Muslim traditions confirm that Jonah was sent to a different nation.
  111. Messengers Were Sent Only to Their Own People? Sura 14:4 states that never was a messenger sent except in the language of his own people. Yet, the Quran itself claims that Jesus is supposed to be a sign to all people, that the Torah and Gospel are for all people, that Moses was sent to Pharaoh of Egypt, and that Muhammad is sent to all of mankind. The hadith also claim that Noah was sent to "the inhabitants of the earth".
  112. Did Allah give a Greek Injil to the Jews?
  113. What kind of book is the Injil?
  114. Messengers Amongst the Jinns and Angels? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21] but there seemingly are messengers from Jinns and Angels [6:130; 11:69,77; 22:75; etc., see article for details].
  115. Do all of God's messengers eat food?
  116. A Messenger from among the beasts? Allah sent only men as messengers [Suras 12:109, 21:7-8, 25:20-21]. Yet, the Qur'an also speaks about a beast that is a messenger from Allah to men [S. 27:82].
  117. Is Muhammad Only A Warner or a Prophet/Messenger?
  118. Did the Messengers Perform Miracles?
  119. Divinely Inspired Ignorance?
  120. Which Prophets Did the Jews Kill?
  121. Another eleven contradictions...
Further:



A summary response to (some of items) above
  • Misha'al Al-Kadhi's response titled "Does the Word of God in the Noble Qur'an Contain Contradictions?" He never informed me that he was writing about me ... Maybe he hoped that as long as I don't know about it he will not be refuted? Carefully compare my reasoning and his reply, since many times he only responds to the short abstract given on this page, without paying any attention to the detailed discussion of each of these contradictions, found when one follows the given links.
  • Some interesting responses from the sectarian Qur'an Only camp: [*]
  • Osama Abdallah also put together a number of responses [*]
  • Answering Islam's Critics is Shabir Ally's new page in response to the Qur'an Contradictions. Having just written a response to only the first entry above, he already claims they are all invalid. That seems somewhat premature to us.

Introductory question
Science:

  • Solomon listening to ants? In Sura 27:18-19 Solomon overhears a "conversation of ants".
    Is this possible based on our knowledge about the mode and complexity of ant communication?
  • The stars and the moon The Qur'an teaches that there are seven heavens one above the other [67:3, 71:15], and that the stars are in the lower heaven [67:5, 37:6, 41:12], but the moon is depicted as being in/inside the seven heavens [71:16], even though in reality the stars are much further away from the earth than the moon.
  • All things are made in pairs? Sura 51:49 claims that everything is created in pairs. But this is not true! There are quite a number of things that have no counterpart and species where only one gender exists.
The Qur'an Attacks ... Christianity?

what the Qur'an says about the Bible), while radically denying central aspects of their message, e.g. the core themes of sacrifice and atonement in the Torah, the crucifixion of Jesus, the deity of Jesus and even the mere messianic title "Son of God" for Jesus, the very nature of God, the fall and the sinfulness of man (*, *), necessity and means of salvation, etc. For this reason Muslims had to invent the unwarranted theory of corruption of the earlier scriptures, even against the clear testimony of the Qur'an itself.

In the following some smaller discrepancies between the Qur'an and the scriptures it supposedly confirms.

Saul, David, Gideon and Goliath
Other contradictions in comparison to the Bible:

Introductory remark

  • Adoption by Adaption analyzes various discrepancies inf the quranic version of the stories of Moses and Joseph.




Internal contradictions claims and responses:
  1. Anti-Islamic claim: Who suffers loss if Muhammad was wrong?

    Islamic Responses: My response.




  2. Anti-Islamic claim: Allah, Adam, and the Angels.
    Islamic Responses: My response.




  3. Anti-Islamic claim: Who Was the First Muslim?
    Islamic Responses: Response by Sami Zaatari.




  4. Anti-Islamic claim: Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord?

    Islamic Responses: Response by Bassam Zawadi.



  5. Anti-Islamic claim: Were Warners Sent to All Mankind Before Muhammad?
    Islamic Responses: My response (1)

    My response (2)




  6. Anti-Islamic claim: What will be the food for the people in Hell?
    Islamic Responses: My response




  7. Anti-Islamic claim: Can Angels Cause the Death of People?
    Islamic Responses: Response by Sami Zaatari.




  8. Anti-Islamic claim: Confusion Concerning Identity of the Spirit and Gabriel
    Islamic Responses: My response.




  9. Anti-Islamic claim: 'Iddah rules for divorced and widowed women

    Islamic Responses: My response.



  10. Anti-Islamic claim: Is there a minimum age of marriage for girls?

    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.




  11. Anti-Islamic claim: To Marry or Not to Marry?

    Islamic Responses: Response by Karim. (1)

    Response by Karim. (2)



  12. Anti-Islamic claim: Will it be accepted of them or not?

    Islamic Responses: Response by Mucahit Sivri.




  13. Anti-Islamic claim: Will Allah reward the good deeds of Unbelievers?

    Islamic Responses: Response by Bassam Zawadi.




  14. Anti-Islamic claim: Should Muslims Accept Peace or Not?

    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  15. Anti-Islamic claim: Can They Disbelieve in the Last Day and be Safe?

    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  16. Anti-Islamic claim: Should Muslims show kindness to their parents?

    Islamic Responses: Response by Yahya Ahmed.



  17. Anti-Islamic claim: Can one be a believer in God and oppose Muhammad at the same time?

    Islamic Responses: Response by Yahya Ahmed.



  18. Anti-Islamic claim: How many mothers does a Muslim have?
    Islamic Responses: Response by Karim.




  19. Anti-Islamic claim: And it just doesn't add up.
    Islamic Responses: A new response by the Learner

    Understanding The Law of Inheritance of the Qur'an (by the Learner)

    Response by a Muslim

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Khalid

    Response by Randy Desmond

    My response




  20. Anti-Islamic claim: How many angels were talking to Mary?
    Islamic Responses: My response

    The Learner's response

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by Khalid





  21. Anti-Islamic claim: Further numerical discrepancies.
    Islamic Responses: My response

    Response by Karim

    Gardens or Gardens?

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  22. Anti-Islamic claim: How many days did Allah need to destroy the people of Aad?
    Islamic Responses: My response




  23. Anti-Islamic claim: Six or eight days of creation?
    Islamic Responses: Response by Dr. Zakir Naik.

    My response

    Response by Karim (pdf file)

    Response by MENJ

    Six or Eight Days of Creation?

    The Length of God's Days A Numerical Discrepancy?

    Response by Misha'al ibn Abdullah




  24. Anti-Islamic claim: Quick or slow creation?
    Islamic Responses: Quick or Slow Creation?

    The Meanings of "Thumma" and "Yawm"

    Response by Neil Littlejohn (Ismail)




  25. Anti-Islamic claim: Which was created first, Heavens or Earth?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by Frank




  26. Anti-Islamic claim: Calling together or ripping apart?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  27. Anti-Islamic claim: What was man created from?
    Islamic Responses: What was Man Created From?

    Response by Misha'al ibn Abdullah




  28. Anti-Islamic claim: Fully Detailed Or Incomplete?
    Islamic Responses: My response.




  29. Anti-Islamic claim: Worshiping the Same or a Different God?
    Islamic Responses: Response by MENJ




  30. Anti-Islamic claim: To Intercede or Not To Intercede? - That is the Question!
    Islamic Responses: My response.




  31. Anti-Islamic claim: Where is Allah and his throne?
    Islamic Responses: Where is Allah and his throne?




  32. Anti-Islamic claim: The origin of calamity?
    Islamic Responses: Is Evil from Satan, Ourselves or Allah?

    My response.






  33. Anti-Islamic claim: How merciful is Allah's mercy?
    Islamic Responses: My response.

    Response by Understanding Islam

    Response by the Learner





  34. Anti-Islamic claim: Does Allah command to do evil?
    Islamic Responses: Response by Karim




  35. Anti-Islamic claim: Should Muhammad Get Paid Or Shouldn’t He?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.







  36. Anti-Islamic claim: Will there be inquiry in Paradise?
    Islamic Responses: Inquiry in Paradise

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  37. Anti-Islamic claim: Are angels Protectors?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  38. Anti-Islamic claim: Is Allah the only Wali?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  39. Anti-Islamic claim: Is everything devoutly obedient to Allah?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  40. Anti-Islamic claim: Does Allah forgive shirk (believing in more than one God)?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by the Learner (1)

    Response by the Learner (2)

    Response by the Learner (3)




  41. Anti-Islamic claim: The event of worship of the golden calf.
    Islamic Responses: Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by the Learner (1)

    Response by the Learner (2)




  42. Anti-Islamic claim: Was Jonah cast on the desert shore or was he not?
    Islamic Responses: My response

    Response by the Learner




  43. Anti-Islamic claim: Moses and the Injil (New Testament)?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  44. Anti-Islamic claim: Can slander of chaste women be forgiven?
    Islamic Responses: Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Amiri-Shirifi





  45. Anti-Islamic claim: How do we receive the record on judgment day?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  46. Anti-Islamic claim: Can Angels disobey Allah?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Shaahin Sharifi





  47. Anti-Islamic claim: Is Satan an angel or a jinn?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.





  48. Anti-Islamic claim: Three contradictions in 2:97 and 16:101-103.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Shaahin Amiri-Sharifi





  49. Anti-Islamic claim: Do not say, "Three"!?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.




  50. Anti-Islamic claim: The infinite loop problem.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  51. Anti-Islamic claim: Is the Torah like the Qur'an, or is it not?
    Islamic Responses: My response.




  52. Anti-Islamic claim: Should Jews and Christians follow the Bible or the Quran?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.




  53. Anti-Islamic claim: "An old woman" and God's character.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  54. Anti-Islamic claim: More problems with the story of Lot.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  55. Anti-Islamic claim: The "pleasure" of Allah.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  56. Anti-Islamic claim: Did Abraham smash the idols?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by Misha'al ibn Abdullah




  57. Anti-Islamic claim: What about Noah's son?
    Islamic Responses: My response

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  58. Anti-Islamic claim: Was Noah driven out?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  59. Anti-Islamic claim: Pharaoh's Magicians: Muslims or Rejectors of Faith?
    Islamic Responses: My response

    Also see my my response to their so-called "detailed" article that they linked at the bottom of the above article.

    Response by Bassam Zawadi




  60. Anti-Islamic claim: Pharaoh's repentance in the face of death?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  61. Anti-Islamic claim: Abrogation?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    See also my article: Countless abrogations in the Bible's Moses', David's and many other books.

    Naskh "Supersession" I

    Naskh "Supersession" II

    Naskh: Examples III

    Naskh & Purity of Creed IV

    Is the Qur'an the Word of God? By minister Badawi

    The Authenticity of the Quran. By minister Badawin





  62. Anti-Islamic claim: Guiding to truth?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  63. Anti-Islamic claim: What is the punishment for adultery?
    Islamic Responses: My response

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  64. Anti-Islamic claim: Who suffers the consequence of sins?
    Islamic Responses: Response by Karim

    Response by MENJ

    See also:
    1. The satanic and evil beliefs and doings are ALLURING (feel right and good) to their people according to the Noble Quran.
    2. Everything from good and bad that happens to us is determined by Allah Almighty.
    3. How can a Muslim connect with GOD Almighty in life? Six important points backed with Noble Verses that every Muslim must always keep in mind.
    4. Is our destiny pre-determined by GOD? Does GOD choose who is evil and who is good? How come GOD didn't make all of us good if He is the "Most Merciful" and "Most Just"?
    5. Did GOD create some Men and Jinns to be destined to hell?
    6. After death, what would prevent a Muslim from entering Heaven? Also, how long will the Disbelievers stay in Hell?
    7. How does a Muslim get to Heaven, saved, reach a state of perfect harmony with God?
    8. I liked your concept of God in Islam and that man can directly have fellowship with God. But how does God stand the sin in man ? How does God see the sin between man and man?


  65. Anti-Islamic claim: Will Christians enter Paradise or go to Hell?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  66. Anti-Islamic claim: God alone or also men? Clear or incomprehensible?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  67. Anti-Islamic claim: Was Pharaoh Drowned or Saved when chasing Moses and the Israelites?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  68. Anti-Islamic claim: When Commanded Pharaoh the Killing of the Sons?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  69. Anti-Islamic claim: When/how are the fates determined?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  70. Anti-Islamic claim: Wine: Good or bad?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    The Authenticity of the Quran. By Minister Badawi.





  71. Anti-Islamic claim: Good News of Painful Torture?
    Islamic Responses: My response.




  72. Anti-Islamic claim: Jinns and men created for worship or for Hell?
    Islamic Responses: My response





  73. Anti-Islamic claim: Will all Muslims go to Hell?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  74. Anti-Islamic claim: Will Allah disgrace Muslims?
    Islamic Responses: Response by Karim.

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  75. Anti-Islamic claim: Will Jesus burn in Hell?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    My response





  76. Anti-Islamic claim: Is Jesus God or Not?
    Islamic Responses: Response by Sami Zaatari.





  77. Anti-Islamic claim: Can there be a son without a consort?
    Islamic Responses: My response.




  78. Anti-Islamic claim: Who is the father of Jesus?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  79. Anti-Islamic claim: Begetting and Self-sufficiency.
    Islamic Responses: My response





  80. Anti-Islamic claim: Could Allah have a son?
    Islamic Responses: My response





  81. Anti-Islamic claim: Did Jesus die already?
    Islamic Responses: My response





  82. Anti-Islamic claim: One Creator or many?
    Islamic Responses: My response





  83. Anti-Islamic claim: From among all nations or from Abraham's seed?
    Islamic Responses: My response





  84. Anti-Islamic claim: Marrying the wives of adopted sons?
    Islamic Responses: My response





  85. Anti-Islamic claim: Messengers were never sent to other than their own people?
    Islamic Responses: My response.

    Response by Ahmed Eldin.




  86. Anti-Islamic claim: Messengers Amongst the Jinns and Angels?
    Islamic Responses: My response.

    Response by Sami Zaatari.





  87. Anti-Islamic claim: Do all of God's messengers eat food?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  88. Anti-Islamic claim: A Messenger from among the beasts?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  89. Anti-Islamic claim: Another eleven contradictions
    Islamic Responses:
    (1) My response
    (2) My response
    (3) My response
    (4) My response
    (5) My response
    (6) My response
    (7) The Learner's response
    (8) My response
    (9) My response
    (10) My response
    (11) My response




Further:

Grammatical Errors

Anti-Islamic claim: Contradictory Grammar.

Islamic Responses to "Answering Islam's" and all of the other anti-Islamic sites' claims:



Anti-Islamic claim: To speak or not to speak?

Islamic Responses: Response by Randy Desmond



External contradictions:

Anti-Islamic Introductory question

Response by Randy Desmond



  1. Anti-Islamic claim: Solomon listening to ants?
    Islamic Responses: Response by Randy Desmond, a Muslim brother and me.




  2. Anti-Islamic claim: The stars and the moon
    Islamic Responses: My response




  3. Anti-Islamic claim: Qur'an and Science: Section Four in Dr. Campbell's book.
    Islamic Responses: Response by a Muslim




  4. Anti-Islamic claim: Qur'an and Embryology
    Islamic Responses:

    My and others' responses:
    1. The Noble Quran on Human Embryonic Development.
    2. Embryology in the Noble Quran. The three stages of the fetus formation in the Noble Quran and Science.
    3. Abortion in Islam is a crime! The fetus is a human child in Islam.
    4. The Noble Quran on the Cerebrum: Lying is generated from the person's forehead.
    5. The region in the brain that controls our movements - In Noble Quran and confirmed by Science.
    6. Sex determination and human creation in Islam. Allah Almighty and Prophet Muhammad both claimed that the human gender is determined by the male's ejaculated semen.
    7. Bones or muscles created first?
    8. Rebuttal to Sam Shamoun on Semen Production in the Noble Quran.
    9. Were human cloning and gender alteration prophesied in Islam?

 
Usichafue uzi Tafadhali [emoji12]
Uzi hauwezi kuchafuliwa na maswali yanayotafuta ukweli.

Unapozima maswali hayo, kwa kuwa huna majibu, hapo ndipo unapochafua uzi.
 
Inaonekana mzee una majibu yako tayar na pia unajionyesha kabisa imani yako iko upande gani tayar umeanza kudhihaki kile ulichokiuliza.
Jiulize hivi biblia na quraan inatuambia mtu wa kwanza aliumbwa kwa udongo ambaye ni adamu,wanasayansi wametuambia mtu wa kwanza ametokana na sokwe na fuvu lake limegunduliwa Tanzania sasa hapo mzee wewe una amini lipi labda?
Nionyeshe sehemu ambayo wanasayansi wanasema binaadamu alikuwa sokwe
 
Internal contradictions claims and responses:
  1. Anti-Islamic claim: Who suffers loss if Muhammad was wrong?

    Islamic Responses: My response.




  2. Anti-Islamic claim: Allah, Adam, and the Angels.
    Islamic Responses: My response.




  3. Anti-Islamic claim: Who Was the First Muslim?
    Islamic Responses: Response by Sami Zaatari.




  4. Anti-Islamic claim: Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord?

    Islamic Responses: Response by Bassam Zawadi.



  5. Anti-Islamic claim: Were Warners Sent to All Mankind Before Muhammad?
    Islamic Responses: My response (1)

    My response (2)




  6. Anti-Islamic claim: What will be the food for the people in Hell?
    Islamic Responses: My response




  7. Anti-Islamic claim: Can Angels Cause the Death of People?
    Islamic Responses: Response by Sami Zaatari.




  8. Anti-Islamic claim: Confusion Concerning Identity of the Spirit and Gabriel
    Islamic Responses: My response.




  9. Anti-Islamic claim: 'Iddah rules for divorced and widowed women

    Islamic Responses: My response.



  10. Anti-Islamic claim: Is there a minimum age of marriage for girls?

    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.




  11. Anti-Islamic claim: To Marry or Not to Marry?

    Islamic Responses: Response by Karim. (1)

    Response by Karim. (2)



  12. Anti-Islamic claim: Will it be accepted of them or not?

    Islamic Responses: Response by Mucahit Sivri.




  13. Anti-Islamic claim: Will Allah reward the good deeds of Unbelievers?

    Islamic Responses: Response by Bassam Zawadi.




  14. Anti-Islamic claim: Should Muslims Accept Peace or Not?

    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  15. Anti-Islamic claim: Can They Disbelieve in the Last Day and be Safe?

    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  16. Anti-Islamic claim: Should Muslims show kindness to their parents?

    Islamic Responses: Response by Yahya Ahmed.



  17. Anti-Islamic claim: Can one be a believer in God and oppose Muhammad at the same time?

    Islamic Responses: Response by Yahya Ahmed.



  18. Anti-Islamic claim: How many mothers does a Muslim have?
    Islamic Responses: Response by Karim.




  19. Anti-Islamic claim: And it just doesn't add up.
    Islamic Responses: A new response by the Learner

    Understanding The Law of Inheritance of the Qur'an (by the Learner)

    Response by a Muslim

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Khalid

    Response by Randy Desmond

    My response




  20. Anti-Islamic claim: How many angels were talking to Mary?
    Islamic Responses: My response

    The Learner's response

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by Khalid





  21. Anti-Islamic claim: Further numerical discrepancies.
    Islamic Responses: My response

    Response by Karim

    Gardens or Gardens?

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  22. Anti-Islamic claim: How many days did Allah need to destroy the people of Aad?
    Islamic Responses: My response




  23. Anti-Islamic claim: Six or eight days of creation?
    Islamic Responses: Response by Dr. Zakir Naik.

    My response

    Response by Karim (pdf file)

    Response by MENJ

    Six or Eight Days of Creation?

    The Length of God's Days A Numerical Discrepancy?

    Response by Misha'al ibn Abdullah




  24. Anti-Islamic claim: Quick or slow creation?
    Islamic Responses: Quick or Slow Creation?

    The Meanings of "Thumma" and "Yawm"

    Response by Neil Littlejohn (Ismail)




  25. Anti-Islamic claim: Which was created first, Heavens or Earth?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by Frank




  26. Anti-Islamic claim: Calling together or ripping apart?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  27. Anti-Islamic claim: What was man created from?
    Islamic Responses: What was Man Created From?

    Response by Misha'al ibn Abdullah




  28. Anti-Islamic claim: Fully Detailed Or Incomplete?
    Islamic Responses: My response.




  29. Anti-Islamic claim: Worshiping the Same or a Different God?
    Islamic Responses: Response by MENJ




  30. Anti-Islamic claim: To Intercede or Not To Intercede? - That is the Question!
    Islamic Responses: My response.




  31. Anti-Islamic claim: Where is Allah and his throne?
    Islamic Responses: Where is Allah and his throne?




  32. Anti-Islamic claim: The origin of calamity?
    Islamic Responses: Is Evil from Satan, Ourselves or Allah?

    My response.






  33. Anti-Islamic claim: How merciful is Allah's mercy?
    Islamic Responses: My response.

    Response by Understanding Islam

    Response by the Learner





  34. Anti-Islamic claim: Does Allah command to do evil?
    Islamic Responses: Response by Karim




  35. Anti-Islamic claim: Should Muhammad Get Paid Or Shouldn’t He?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.







  36. Anti-Islamic claim: Will there be inquiry in Paradise?
    Islamic Responses: Inquiry in Paradise

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  37. Anti-Islamic claim: Are angels Protectors?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  38. Anti-Islamic claim: Is Allah the only Wali?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  39. Anti-Islamic claim: Is everything devoutly obedient to Allah?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  40. Anti-Islamic claim: Does Allah forgive shirk (believing in more than one God)?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by the Learner (1)

    Response by the Learner (2)

    Response by the Learner (3)




  41. Anti-Islamic claim: The event of worship of the golden calf.
    Islamic Responses: Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond

    Response by the Learner (1)

    Response by the Learner (2)




  42. Anti-Islamic claim: Was Jonah cast on the desert shore or was he not?
    Islamic Responses: My response

    Response by the Learner




  43. Anti-Islamic claim: Moses and the Injil (New Testament)?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  44. Anti-Islamic claim: Can slander of chaste women be forgiven?
    Islamic Responses: Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Amiri-Shirifi





  45. Anti-Islamic claim: How do we receive the record on judgment day?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  46. Anti-Islamic claim: Can Angels disobey Allah?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Shaahin Sharifi





  47. Anti-Islamic claim: Is Satan an angel or a jinn?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.





  48. Anti-Islamic claim: Three contradictions in 2:97 and 16:101-103.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Shaahin Amiri-Sharifi





  49. Anti-Islamic claim: Do not say, "Three"!?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.




  50. Anti-Islamic claim: The infinite loop problem.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond




  51. Anti-Islamic claim: Is the Torah like the Qur'an, or is it not?
    Islamic Responses: My response.




  52. Anti-Islamic claim: Should Jews and Christians follow the Bible or the Quran?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.




  53. Anti-Islamic claim: "An old woman" and God's character.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  54. Anti-Islamic claim: More problems with the story of Lot.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    Response by Randy Desmond





  55. Anti-Islamic claim: The "pleasure" of Allah.
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  56. Anti-Islamic claim: Did Abraham smash the idols?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by Misha'al ibn Abdullah




  57. Anti-Islamic claim: What about Noah's son?
    Islamic Responses: My response

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  58. Anti-Islamic claim: Was Noah driven out?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  59. Anti-Islamic claim: Pharaoh's Magicians: Muslims or Rejectors of Faith?
    Islamic Responses: My response

    Also see my my response to their so-called "detailed" article that they linked at the bottom of the above article.

    Response by Bassam Zawadi




  60. Anti-Islamic claim: Pharaoh's repentance in the face of death?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  61. Anti-Islamic claim: Abrogation?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah

    See also my article: Countless abrogations in the Bible's Moses', David's and many other books.

    Naskh "Supersession" I

    Naskh "Supersession" II

    Naskh: Examples III

    Naskh & Purity of Creed IV

    Is the Qur'an the Word of God? By minister Badawi

    The Authenticity of the Quran. By minister Badawin





  62. Anti-Islamic claim: Guiding to truth?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  63. Anti-Islamic claim: What is the punishment for adultery?
    Islamic Responses: My response

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  64. Anti-Islamic claim: Who suffers the consequence of sins?
    Islamic Responses: Response by Karim

    Response by MENJ

    See also:
    1. The satanic and evil beliefs and doings are ALLURING (feel right and good) to their people according to the Noble Quran.
    2. Everything from good and bad that happens to us is determined by Allah Almighty.
    3. How can a Muslim connect with GOD Almighty in life? Six important points backed with Noble Verses that every Muslim must always keep in mind.
    4. Is our destiny pre-determined by GOD? Does GOD choose who is evil and who is good? How come GOD didn't make all of us good if He is the "Most Merciful" and "Most Just"?
    5. Did GOD create some Men and Jinns to be destined to hell?
    6. After death, what would prevent a Muslim from entering Heaven? Also, how long will the Disbelievers stay in Hell?
    7. How does a Muslim get to Heaven, saved, reach a state of perfect harmony with God?
    8. I liked your concept of God in Islam and that man can directly have fellowship with God. But how does God stand the sin in man ? How does God see the sin between man and man?

  65. Anti-Islamic claim: Will Christians enter Paradise or go to Hell?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  66. Anti-Islamic claim: God alone or also men? Clear or incomprehensible?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  67. Anti-Islamic claim: Was Pharaoh Drowned or Saved when chasing Moses and the Israelites?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  68. Anti-Islamic claim: When Commanded Pharaoh the Killing of the Sons?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  69. Anti-Islamic claim: When/how are the fates determined?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  70. Anti-Islamic claim: Wine: Good or bad?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    Response by MENJ

    Response by Misha'al ibn Abdullah

    The Authenticity of the Quran. By Minister Badawi.





  71. Anti-Islamic claim: Good News of Painful Torture?
    Islamic Responses: My response.




  72. Anti-Islamic claim: Jinns and men created for worship or for Hell?
    Islamic Responses: My response





  73. Anti-Islamic claim: Will all Muslims go to Hell?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  74. Anti-Islamic claim: Will Allah disgrace Muslims?
    Islamic Responses: Response by Karim.

    Response by Misha'al ibn Abdullah





  75. Anti-Islamic claim: Will Jesus burn in Hell?
    Islamic Responses: Response by Islamic Awareness

    My response





  76. Anti-Islamic claim: Is Jesus God or Not?
    Islamic Responses: Response by Sami Zaatari.





  77. Anti-Islamic claim: Can there be a son without a consort?
    Islamic Responses: My response.




  78. Anti-Islamic claim: Who is the father of Jesus?
    Islamic Responses: Response by Misha'al ibn Abdullah





  79. Anti-Islamic claim: Begetting and Self-sufficiency.
    Islamic Responses: My response





  80. Anti-Islamic claim: Could Allah have a son?
    Islamic Responses: My response





  81. Anti-Islamic claim: Did Jesus die already?
    Islamic Responses: My response





  82. Anti-Islamic claim: One Creator or many?
    Islamic Responses: My response





  83. Anti-Islamic claim: From among all nations or from Abraham's seed?
    Islamic Responses: My response





  84. Anti-Islamic claim: Marrying the wives of adopted sons?
    Islamic Responses: My response





  85. Anti-Islamic claim: Messengers were never sent to other than their own people?
    Islamic Responses: My response.

    Response by Ahmed Eldin.




  86. Anti-Islamic claim: Messengers Amongst the Jinns and Angels?
    Islamic Responses: My response.

    Response by Sami Zaatari.





  87. Anti-Islamic claim: Do all of God's messengers eat food?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  88. Anti-Islamic claim: A Messenger from among the beasts?
    Islamic Responses: Response by Adeel Khan.



  89. Anti-Islamic claim: Another eleven contradictions
    Islamic Responses:
    (1) My response
    (2) My response
    (3) My response
    (4) My response
    (5) My response
    (6) My response
    (7) The Learner's response
    (8) My response
    (9) My response
    (10) My response
    (11) My response




Further:

Grammatical Errors

Anti-Islamic claim: Contradictory Grammar.

Islamic Responses to "Answering Islam's" and all of the other anti-Islamic sites' claims:



Anti-Islamic claim: To speak or not to speak?

Islamic Responses: Response by Randy Desmond



External contradictions:

Anti-Islamic Introductory question

Response by Randy Desmond



  1. Anti-Islamic claim: Solomon listening to ants?
    Islamic Responses: Response by Randy Desmond, a Muslim brother and me.




  2. Anti-Islamic claim: The stars and the moon
    Islamic Responses: My response




  3. Anti-Islamic claim: Qur'an and Science: Section Four in Dr. Campbell's book.
    Islamic Responses: Response by a Muslim




  4. Anti-Islamic claim: Qur'an and Embryology
    Islamic Responses:

    My and others' responses:
    1. The Noble Quran on Human Embryonic Development.
    2. Embryology in the Noble Quran. The three stages of the fetus formation in the Noble Quran and Science.
    3. Abortion in Islam is a crime! The fetus is a human child in Islam.
    4. The Noble Quran on the Cerebrum: Lying is generated from the person's forehead.
    5. The region in the brain that controls our movements - In Noble Quran and confirmed by Science.
    6. Sex determination and human creation in Islam. Allah Almighty and Prophet Muhammad both claimed that the human gender is determined by the male's ejaculated semen.
    7. Bones or muscles created first?
    8. Rebuttal to Sam Shamoun on Semen Production in the Noble Quran.
    9. Were human cloning and gender alteration prophesied in Islam?

Unaelewa kwamba aya kuwa na utata tu ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo?

Unaelewa kwamba habari za Mungu kuhitaji kuelezewa kwa kitabu, kwa tafsiri ya lugha fulani tu, kunaonesha huyo Mungu hayupo?

Kama yupo, kwa nini atoe kitabu chake kwa lugha fulani?

Kwa nini asiweke habari za kuwepo kwake kwenye DNA wote tujue pamoja?
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.


Did the Noble Quran really say that the sun sets and rises on earth?
 
Hakikuzungumzwa katika Quran hiko unachomaanisha, hiyo ni mojawapo ya historia ya mmoja wa Manabii aliyetajwa ndani ya Quran. Hiyo aya ndiyo inaelezea kuhusu Juja wa majuja.

Mwanadamu kuna muda majira ya kuzama unaliona kama linaingia ziwani kama ziwa lipo upande wa unaozamia jua. Huo ni udhaifu wa macho yetu ulivyo, na huo ndiyo uliyosemwa hapo maana ilitajwa jinsi wanadamu walivyokuwa wakiona. Ndiyo kilichomaanishwa hapo hizo sayansi zipo ndani ya Quran, ila si huo uzushi wako

Hebu ukijaribu kukosoa fuatilia, itakuepusha usionekane poyoyo na pia kutunza heshima yako.

Mkuu njoo vizuri!

Unaifahamu vizuri historia ya Alexander the Great (Dhul-Qarnaini)? Nani kakuambia Alexander alikuwa ni Nabii? Na kama alikuwa Nabii, unamaanisha nini hasa? Nabii wa shetani au wa Mungu? Kama ni Nabii wa Mungu,Mungu anaweza kuleta Nabii ambaye yuko anashikilia Juja na Majuja ambayo baadaye yatamtoroka ili yaje yawaangamize waislamu? Ina maana mpaka Juja na Majuja wataweza kumtoroka huyo nabii ina maana atakuwa ameishiwa uwezo wa kinabii? Na kama ndivyo, huyo nabii wa Mungu wa namna gani hata Juja na Majuja wamtoroke?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom