Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Kwa nini unatumia the corrupted book kujenga hoja yako badala ya kitabu kisichokuwa na shaka?Ni kweli mimi ni mkristu ila nilikutega uikatae biblia kwa sbb madai yrnu alwayz mkibanwa husema kuwa biblia imevurugwa.Why use the bible?
Kwa sababu wewe bado unaamini sio corrupted ndio maana mpaka leo upo huko kwenye ukristo , hivyo kama inahitajika mifano hai ili upate kuelewa tutakupa kutoka huko huko unapokuamini
 
Huyu sikutaka kumpatia makavu. nilitaka ayaone kwa wenzake kisha ajiulize anaweza muziki huu au amute kama Khatan sijui mkonge!!
Muongeze na hii akaulizane vyema na imamu ila awe makini maana Allah aweza mgeuza uso wake kuwa Punda/Donkey.
Muwatta Malik » Prayer

Yahya related to me from Malik from Muhammad ibn Amr ibn AIqama from Malik ibn Abdullah as-Sadi that Abu Hurayra said, "The one who raises his head and lowers it before the imam - his forelock is in the hand of a shaytan." Malik said, concerning someone who forgot and raised his head before the imam in ruku or sujud, "The sunna of that is to return to bowing or prostrating and not to wait for theimam to come up. What he has done is a mistake, because the Messenger of Allah, may Allah bless him and grant him peace, said, 'The imam is appointed to be followed as a leader, so do not oppose him.' Abu Hurayra said, 'The one who raises his head and lowers it before the imam - his forelock is in the hand of a shaytan.' "

حَدَّثَنِي يَحْيَى، عَنْ مَالِكٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ عَمْرِو بْنِ عَلْقَمَةَ، عَنْ مَلِيحِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ السَّعْدِيِّ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّهُ قَالَ الَّذِي يَرْفَعُ رَأْسَهُ وَيَخْفِضُهُ قَبْلَ الإِمَامِ فَإِنَّمَا نَاصِيَتُهُ بِيَدِ شَيْطَانٍ ‏.‏



Jami` at-Tirmidhi » The Book on Traveling

Abu Hurairah narrated:
"Muhammad said: 'Does not the one who raises his headbefore the Imam fear that Allah will transform his head into a donkey's head?'"

حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، حَدَّثَنَا حَمَّادُ بْنُ زَيْدٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ زِيَادٍ، وَهُوَ أَبُو الْحَارِثِ الْبَصْرِيُّ ثِقَةٌ عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ مُحَمَّدٌ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ أَمَا يَخْشَى الَّذِي يَرْفَعُ رَأْسَهُ قَبْلَ الإِمَامِ أَنْ يُحَوِّلَ اللَّهُ رَأْسَهُ رَأْسَ حِمَارٍ ‏"‏ ‏.‏ قَالَ قُتَيْبَةُ قَالَ حَمَّادٌ قَالَ لِي مُحَمَّدُ بْنُ زِيَادٍ وَإِنَّمَا قَالَ ‏"‏ أَمَا يَخْشَى ‏"‏ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏ وَمُحَمَّدُ بْنُ زِيَادٍ هُوَ بَصْرِيٌّ ثِقَةٌ وَيُكْنَى أَبَا الْحَارِثِ ‏.‏



Sunan an-Nasa'i » The Book of Leading the Prayer (Al-Imamah)

It was narrated that Abu Hurairah said:
"Muhammad (saws) said: 'Does the one who raises his head before the Imam not fear that Allah may turn his headinto the head of a donkey?"'

أَخْبَرَنَا قُتَيْبَةُ، قَالَ حَدَّثَنَا حَمَّادٌ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ زِيَادٍ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ مُحَمَّدٌ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ أَلاَ يَخْشَى الَّذِي يَرْفَعُ رَأْسَهُ قَبْلَ الإِمَامِ أَنْ يُحَوِّلَ اللَّهُ رَأْسَهُ رَأْسَ حِمَارٍ ‏"‏ ‏.‏



Sasa Mwambie Asome hii akamuulize kulikoni Allah How it will happen.
Hadithi zote zinaonyesha umuhimu wa kumtii imamu kwa sababu ndio kiongozi. sasa hapo unachotamba kipi ? mbona hata huko kwenu makuhani wamepewa hadhi kubwa kiasi kwamba ata mtoto wake wa kike akiolewa bila bikra anapaswa AUAWE kwa sababu amemnajisi baba yake , Ahahahahaaaahahhahhaaha lazima utii viongozi sio ombi ahahahhahaahaaa
 
Kwa sababu wewe bado unaamini sio corrupted ndio maana mpaka leo upo huko kwenye ukristo , hivyo kama inahitajika mifano hai ili upate kuelewa tutakupa kutoka huko huko unapokuamini
Siyo kwamba kitabu kisicho ma shaka kimeplagiarize kutoka kwenye upagani na biblia?wacha kitabu kisicho ma shaka na kilichokamilika kijitetee katika ukamilifu wake.
 
mmoja nilimuita anichinjie kuku, anachinja huku udenda unamtoka [emoji15] alipomaliza kumnyonyo basi nikamzawadia utumbo, kichwa, stand nae akafaidi na family! wao kuchinja wameona ni fursa! gavana nilimpa offer tenda ya kuchinja nguruwe akawa hataki huku anataka [emoji38] [emoji38]


Kama alivyochinjwa huyo mungu wako ??? BAADA KUCHUKULIWA NA SHETANI KAMA KUKU NA KUONYESHWA MJI ??


1542941466596.png
 
Ahahahahaahahaahaha usiwe na hofu mualimu mbombezi nipo kutatua maswali kama haya ya chekechea , nakukaanga kwa mafuta yako ahahahahaahahahha sababu mbona Mungu wako wa biblia kaiweka peupe wewe tu uvivu wako

KUMB LA TORATI 20:18
";Wasije WAKAWAFUNZA kufanya mfano wa MACHUKIZO yao, yote ; waliyoifanyia miungu yao; hivyo itakuwa ni MAKOSA juu ya Bwana ,Mungu wenu ";

Ahahahahaahahaahaha hapa ndio mambo usiyoyajua utapata majibu yake ahahahhha


WANAPAPATIKA , WAMENASA PABAYA ETI MUNGU ACHUKULIWE NA SHETANI AONYESHWE MJI , BAADAYE AJE ACHINJWE KAMA KUKU ??? HIZI AKILI MWISHO
 
Huyu kweli kilaza sasa hapo kuna mfanano wa Allah na kitu chochote?
haya maneno yamekupa tabu sana "INDICATIONS OF ALLAH"; kama ulikua ujui bwege wewe hizi ni alama(ishara) ambazo ukiziona basi unajua kuwa Allah yupo, haya mambo Quran imeandika kwa uwazi soma wewe acha kutoka mishipa ya shingo ahahhahaha

QURAN 27:93
";Na sema: Alhamdu Lillah sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Yeye atakuonyesheni ishara zake , na mtazijua.

mkishazijua hizo ishara bila shaka utakubali Mungu yupo ndio tafsiri ya ";Indicator" bwege wewe ahahaahahahahahahajajjajj , sasa miongoni mwa ishara zake ni milima sasa unashangaa ni swafa na marwa , haya pokea

QURAN 50:7-8
7"; Na ardhi tumeitandaza na tukaiwekea MILIMA, na tukaotesha mimea mizuri ya kila namna

8"; Yawe haya ni KIFUMBUA MACHO na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea";

sasa kama pamoja na kuona ishara za kiuumbaji bado ujafumbuka macho pole sana ahaahhhhhahaha Ahahahhahahahaahjhhahaja
Logic iko wapi kukataa wewe kufanana(an Image of ) na Allah kwa kuwa unaweza fikiria na kutenda. Unakubali kuwa mlima ni ishara ya Allah?
Kwahiyo ndo maana mnakwenda kuabudu hapo huku mkinyenyekea?
Pagan rituals will kill you brother!
Ushetani umewajaa na tama zake.

 
Hadithi zote zinaonyesha umuhimu wa kumtii imamu kwa sababu ndio kiongozi. sasa hapo unachotamba kipi ? mbona hata huko kwenu makuhani wamepewa hadhi kubwa kiasi kwamba ata mtoto wake wa kike akiolewa bila bikra anapaswa AUAWE kwa sababu amemnajisi baba yake , Ahahahahaaaahahhahhaaha lazima utii viongozi sio ombi ahahahhahaahaaa
Tell us how many transformed into Donkey since then?
 
HOJA LAINI
1. Kwanini Muhammad hakupewa?
JIBU: maswali ya kipuuzi kwanini wewe kisoda ujazaliwa mzungu ? Mungu ndio anaamua sio binadamu pimbi wewe

2. QURAN 7:54, hiyo ni taarifa anapewa mtume na Jibril , kuhusu uumbaji wa Allah wewe ulitaka Jibril asemeje?
Ngoja nikufunze jambo maana wewe ni mweupe sana

Haya niambie huyu anaezungumza hapa ni nani? na huyo Yesu alietumwa ni yupi?
YOHANA 17:3
";Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe , Mungu wa pekee wa kweli , na Yesu kristo ULIEMTUMA";

Kama anazungumza hapo ni Yesu kwanini isiwe ULIENITUMA na iwe ULIEMTUMA , au kuna Mayesu wangap? Kilaza wewe kasome lugha halafu kacheze unapochezaga Ahahahhahahahaahjhhahaja
Huna majibu unakimbia kimbia tu kama punda wa Muhammad anaelekea Peponi.
Muulize Allah kwanini hakumpatia Mudi idhini hiyo.
Yohana 17:3 ni maneno yake Yesu. na yupo sahihi kusema hivyo.
Quran imeshuka na muongeaji ni Allah kwa maelezo yenu Abduls wote. Jibril is just a delivery boy for the untouched called quran!
Deal with it Abdul.
 
Wewe unaona wivu sisi kumpiga shetani ahahahahaha , hili ni tukio adhwim kabisa ambalo tutaliadhimisha siku zote kumuenzi mzee Ibrahim , mimi nafikiri wewe na genge lako endeleeni KUPULIZA UVUMBA

2 NYAKATI 29:11
";Basi wanangu msijipurukushe sasa, kwa kuwa Bwana amewachagua ninyi msimame mbele yake, kumhudumia , nanyi mpate kuwa watumishi wake , MKAFUKIZE UVUMBA";

Ahahahahaahahaahaha mambo ya kumpiga mawe shetani huyawezi, wewe endelea kufukiza UVUMBA ahahahhaahahajaajajjaa hapa tunaita tiba mbadala Ahahahahahahaa
Wivu? Kwa kumpiga nduguyo?
Mnampiga kisha anakua na kuongezeka kimo kila kukicha????
Mecca is the only place on Planet Earth, where Devil and Allah Live on same City! hahahahaaaaa.

Sababu za Uvumba unazielewa?

Soma hii kisha unambie ulinganifu wako wa uvumba na kugongomola sheitwani mawe vinafananaje?
2 Mambo ya Nyakati 29
1 Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka ishirini na kenda; na jina la mamaye aliitwa Abiya binti Zekaria.

2 Akafanya yaliyo ya adili machoni pa Bwana, sawasawa na yote aliyoyafanya Daudi babaye.

3 Yeye, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Bwana, akaitengeneza.

4 Akawaingiza makuhani na Walawi, akawakusanya uwandani upande wa mashariki,

5 akawaambia, Nisikieni, enyi Walawi; jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya Bwana, Mungu wa baba zenu, mkautoe uchafu katika patakatifu.

6 Kwa maana baba zetu wameasi, na kufanya yaliyo maovu machoni pa Bwana, Mungu wetu, wamemwacha, na kugeuzia mbali nyuso zao na makao ya Bwana, na kumpa maungo.

7 Tena wameifunga milango ya ukumbi, na kuzizima taa, wala hawakufukiza uvumba, wala hawakumtolea Mungu wa Israeli sadaka za kuteketezwa katika patakatifu.

8 Kwa hiyo hasira ya Bwana imekuwa juu ya Yuda na Yerusalemu, naye amewatoa kuwa matetemeko, wawe ushangao, na mazomeo, kama mwonavyo kwa macho yenu.

9 Kwa kuwa, tazama, baba zetu wameangamia kwa upanga, na wana wetu, na binti zetu, na wake zetu wametekwa kwa ajili ya hayo.

10 Basi nia yangu ni kufanya agano na Bwana, Mungu wa Israeli, ili kwamba hasira yake kali itugeukie mbali.

11 Basi wanangu, msijipurukushe sasa, kwa kuwa Bwana amewachagua ninyi msimame mbele yake, kumhudumia, nanyi mpate kuwa watumishi wake, mkafukize uvumba.

12 Ndipo wakaondoka Walawi, Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa wana wa Wakohathi; na wa wana wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wagershoni, Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;

13 na wa wana wa Elisafani, Shimri na Yeueli; na wa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;

14 na wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana wa Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.

15 Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa, wakaingia, kama alivyoamuru mfalme kwa maneno ya Bwana, ili waisafishe nyumba ya Bwana.

16 Nao makuhani wakaingia nyumbani mwa Bwana, katika mahali pa ndani, ili waisafishe, wakatoa uchafu wote waliouona hekaluni mwa Bwana, wakautupa nje uani mwa nyumba ya Bwana. Walawi wakautwaa, ili wauchukue nje mpaka kijito cha Kidroni.

Inaendelea.... Utasoma kwa faida yako.
 
Ahahahahaahahaahaha pole sana mdogo wangu 5:5 iko wazi chakula (kizuri au kisafi) , sasa wapi Qurani imesema kila aina ya chakula ni kizuri?
Utaumia Quran inafahamu kuna vyakula vizuri hivyo ruksa kula, lakini vyakula vichafu marufuku Kula

QURAN 6:145
"Sema: sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho haramishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika , au NYAMA ya Nguruwe, kwani hiyo ni UCHAFU;

Tumeambiwa tule vizuri tu , vichafu kula wewe fisi ahahahahahhahahaha bureee kabisa
Sasa wapi mimi nimeseam chakula kichafu?
Unawehuka wewe?
Mbona hamtaki kula tukichinja KUKU, MBUZI/NG'OMBE nk? zinachafukia wapi?
Devil and Stone KISSER, where is the logic there?

Umeongelea chakula, Vipi kuhusu kuoa??
 
Ahahahahaahahaahaha usiwe na hofu mualimu mbombezi nipo kutatua maswali kama haya ya chekechea , nakukaanga kwa mafuta yako ahahahahaahahahha sababu mbona Mungu wako wa biblia kaiweka peupe wewe tu uvivu wako

KUMB LA TORATI 20:18
";Wasije WAKAWAFUNZA kufanya mfano wa MACHUKIZO yao, yote ; waliyoifanyia miungu yao; hivyo itakuwa ni MAKOSA juu ya Bwana ,Mungu wenu ";

Ahahahahaahahaahaha hapa ndio mambo usiyoyajua utapata majibu yake ahahahhha
Sasa Shida iko wapi?
 
Huyu kweli kilaza sasa hapo kuna mfanano wa Allah na kitu chochote?
haya maneno yamekupa tabu sana "INDICATIONS OF ALLAH"; kama ulikua ujui bwege wewe hizi ni alama(ishara) ambazo ukiziona basi unajua kuwa Allah yupo, haya mambo Quran imeandika kwa uwazi soma wewe acha kutoka mishipa ya shingo ahahhahaha

QURAN 27:93
";Na sema: Alhamdu Lillah sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Yeye atakuonyesheni ishara zake , na mtazijua.

mkishazijua hizo ishara bila shaka utakubali Mungu yupo ndio tafsiri ya ";Indicator" bwege wewe ahahaahahahahahahajajjajj , sasa miongoni mwa ishara zake ni milima sasa unashangaa ni swafa na marwa , haya pokea

QURAN 50:7-8
7"; Na ardhi tumeitandaza na tukaiwekea MILIMA, na tukaotesha mimea mizuri ya kila namna

8"; Yawe haya ni KIFUMBUA MACHO na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea";

sasa kama pamoja na kuona ishara za kiuumbaji bado ujafumbuka macho pole sana ahaahhhhhahaha Ahahahhahahahaahjhhahaja

hiyo koloani 27:93 [emoji53] allah anatamka kwamba sie Mwenyezi Mungu ila Sifa zote ziende kwa Mwenyezi Mungu [emoji106] halafu nyinyi kina masudi mnamfanya allah ndio Mwenyezi Mungu [emoji15] [emoji12] hamna tofauti na huyu aliye logwa [emoji117]
IMG_20181123_085326_327.jpg
[emoji12]
 
Ahahahahaahahaahaha pole sana mdogo wangu 5:5 iko wazi chakula (kizuri au kisafi) , sasa wapi Qurani imesema kila aina ya chakula ni kizuri?
Utaumia Quran inafahamu kuna vyakula vizuri hivyo ruksa kula, lakini vyakula vichafu marufuku Kula

QURAN 6:145
"Sema: sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho haramishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika , au NYAMA ya Nguruwe, kwani hiyo ni UCHAFU;

Tumeambiwa tule vizuri tu , vichafu kula wewe fisi ahahahahahhahahaha bureee kabisa

mmeambiwa mkiwa na njaa au dharula mle mpaka mzoga wa nguruwe [emoji117]
IMG_20181123_091245_529.jpg
zaidi ya kula mzoga kipi kibaya [emoji351] [emoji346] labda mavi [emoji15] [emoji12] allah anakataa kwamba kaharamisha hao wanyama mnao sema haramu kama mnambishia leteni mashahidi na hata mkiuleta allah anatuagiza tuukatilie mbali [emoji117]
IMG_20181123_092859_813.jpg
 
Ahahahahaahahaahaha unatapa tapa kama unataka kukata roho ahahahhahaahaaa ahahhaahhaahahahah

mnachekesha sana kutokana na mnavyo penda ngonoka kuliko Mungu [emoji12] sasa uchu wenu ibilisi kawatega na kuwapata baada ya kuwaahidi dangulo fake kwa makundi [emoji24] [emoji24] mtakoma kuaminishwa ujinga [emoji117]
IMG_20181123_094804_462.jpg
IMG_20181123_094853_629.jpg
[emoji33] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Suala sio utenganisho , suala hapo ni kuona kuwa Mungu hawezi Kutoa amri ya kuua wakati alishafanya sana, na hakuna sehemu amesema kuwa hawezi kurudia amri , akitaka anarudia na asipotaka arudii. Unashangaa nini Muhammad kufyekelea mbali washirikina , wakati hata wakina Musa walifanya hivyo, Ahahahahaaaahahhahhaaha

hapa uone anacho Ahidi Mungu [emoji117]
IMG_20181123_095826_413.jpg
tupo ki-Digital [emoji106] analogia Mungu amesha ifekelea mbali [emoji53]
 
Mimi siamini katika biblia,why unatumia bible kujenga hoja yako?Tumia kitabu kisicho na shaka nisilimu!Ina maana bila hiyo scripture ya bible hoja ya kuabudu jiwe haijitoshelezi?

Mkristo haamini biblia unatumia Kitabu gani au uko the devil's church
 
kuandimisha kwani shetani hayupo tena [emoji351] [emoji346] basi mnaadhimisha ujinga shetani hapigwi kwa jiwe [emoji12]
Kumbe unampenda Shetani kwa vile alimbeba mungu wako akamwonyesha mji??
 
Wivu? Kwa kumpiga nduguyo?
Mnampiga kisha anakua na kuongezeka kimo kila kukicha????
Mecca is the only place on Planet Earth, where Devil and Allah Live on same City! hahahahaaaaa.

Sababu za Uvumba unazielewa?

Soma hii kisha unambie ulinganifu wako wa uvumba na kugongomola sheitwani mawe vinafananaje?
2 Mambo ya Nyakati 29
1 Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka ishirini na kenda; na jina la mamaye aliitwa Abiya binti Zekaria.

2 Akafanya yaliyo ya adili machoni pa Bwana, sawasawa na yote aliyoyafanya Daudi babaye.

3 Yeye, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Bwana, akaitengeneza.

4 Akawaingiza makuhani na Walawi, akawakusanya uwandani upande wa mashariki,

5 akawaambia, Nisikieni, enyi Walawi; jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya Bwana, Mungu wa baba zenu, mkautoe uchafu katika patakatifu.

6 Kwa maana baba zetu wameasi, na kufanya yaliyo maovu machoni pa Bwana, Mungu wetu, wamemwacha, na kugeuzia mbali nyuso zao na makao ya Bwana, na kumpa maungo.

7 Tena wameifunga milango ya ukumbi, na kuzizima taa, wala hawakufukiza uvumba, wala hawakumtolea Mungu wa Israeli sadaka za kuteketezwa katika patakatifu.

8 Kwa hiyo hasira ya Bwana imekuwa juu ya Yuda na Yerusalemu, naye amewatoa kuwa matetemeko, wawe ushangao, na mazomeo, kama mwonavyo kwa macho yenu.

9 Kwa kuwa, tazama, baba zetu wameangamia kwa upanga, na wana wetu, na binti zetu, na wake zetu wametekwa kwa ajili ya hayo.

10 Basi nia yangu ni kufanya agano na Bwana, Mungu wa Israeli, ili kwamba hasira yake kali itugeukie mbali.

11 Basi wanangu, msijipurukushe sasa, kwa kuwa Bwana amewachagua ninyi msimame mbele yake, kumhudumia, nanyi mpate kuwa watumishi wake, mkafukize uvumba.

12 Ndipo wakaondoka Walawi, Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa wana wa Wakohathi; na wa wana wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wagershoni, Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;

13 na wa wana wa Elisafani, Shimri na Yeueli; na wa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;

14 na wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana wa Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.

15 Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa, wakaingia, kama alivyoamuru mfalme kwa maneno ya Bwana, ili waisafishe nyumba ya Bwana.

16 Nao makuhani wakaingia nyumbani mwa Bwana, katika mahali pa ndani, ili waisafishe, wakatoa uchafu wote waliouona hekaluni mwa Bwana, wakautupa nje uani mwa nyumba ya Bwana. Walawi wakautwaa, ili wauchukue nje mpaka kijito cha Kidroni.

Inaendelea.... Utasoma kwa faida yako.

Mbona unatuletea mambo usiyoyaamini au uliposema huamini biblia ulikuwa umeleweshwa Kojo la punda wa Ezekiel 23 :20
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom