Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1


Serikali haichukui kodi hata sh kumi, watumishi wana exemption kwenye kodi
 
Jiandae kuoga matusi Toka mitahila ya wagalatia
 
Sibuka FM sio radio ya dini pia channel ten sio TV ya dini.Ukiachilia YouTube,Facebook na mitandao mingine.Kama kupata hela ni rahisi kama wewe unavyodai yeye ni mfanyabiashara,basi Fanya na wewe Kwani wewe hupendi pesa?

Kwani yna shida gani?

Mana sielewi point yako, Mbona unakaza fuvu kuwa ana pata hela kuliko matumizi.
 
Serikali haichukui kodi hata sh kumi, watumishi wana exemption kwenye kodi
Hii ipo kimkakati haikuja bahati mbaya Mosi Serikali yoyote hua hailipi kodi
kwahiyo kuna serikali physical na spiritualy zote hukusanya mapato kwa watu wao

so kodi haitozwi kodi wala sadaka haitozwi kodi

#ukiuma chomoa!
#hata ukilia viboko bado!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…