Wote Arusha ni ukweni kwaoMtume Mwamposya kutoa pikipiki 20 kwa Jeshi la polisi Arusha kurahisisha kazi zao
Hayo yalisemwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda alipokuwa akihutubia kwenye kikao cha viongozi wa ulinzi na usalama Arusha
Hongera Mtume Mwamposya kwa msaada
Asante kwa taarifa hii.Mtume Mwamposya kutoa pikipiki 20 kwa Jeshi la polisi Arusha kurahisisha kazi zao
Hayo yalisemwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda alipokuwa akihutubia kwenye kikao cha viongozi wa ulinzi na usalama Arusha
Hongera Mtume Mwamposya kwa msaada
Ni sawa tu..mana kote huko ni Tanzania alfu huwezi jua makonda anaushawishi sasa huwezi toa sehemu ambyo hawajakwambia..Asante kwa taarifa hii.
Asante kwa Mwamposa kulisaidia jeshi letu la polisi.
Charity begins at home!, ametoa pikipiki ngapi Kawe, Kinondoni, Dar es Salaam, hadi sasa aende na Arusha?. Isije kuwa ametoa Arusha kwa sababu ya Makonda ni RC!.
P
Hukumuona RPC wa Dar akitoa shukraninkwa Mwamposya jinsi anavyoshirikiana na polisi na kuwapa misaada? Mwandishi wa habari nguli hata hilo.lilikupita ? Nchi hii kuna shida kubwa sana .Sasa kama hata hilo mwandishi wa habari nguli hujui na uko Dar sasa unachojua nin labda kama mwandishi wa habari nguli?Asante kwa taarifa hii.
Asante kwa Mwamposa kulisaidia jeshi letu la polisi.
Charity begins at home!, ametoa pikipiki ngapi Kawe, Kinondoni, Dar es Salaam, hadi sasa aende na Arusha?. Isije kuwa ametoa Arusha kwa sababu ya Makonda ni RC!.
P
Chadema bana, hawana jema!Wote Arusha ni ukweni kwao
Kusaidia polisi ni kujikomba tu kwa watawala. Na wafuasi wake wataambiwa wapige kura ccm.Asante kwa taarifa hii.
Asante kwa Mwamposa kulisaidia jeshi letu la polisi.
Charity begins at home!, ametoa pikipiki ngapi Kawe, Kinondoni, Dar es Salaam, hadi sasa aende na Arusha?. Isije kuwa ametoa Arusha kwa sababu ya Makonda ni RC!.
P
This man is very powerful, akiwaambia wafuasi wake ni CCM, then ni CCM!. Shuhudia BullDoza Mwamposa Ana Powers za Mvuto wa Ajabu, Aleta Balaa Kubwa Kawe na Maeneo ya Jirani, Mkesha Wake, Kawe, Mikocheni, Mbezi Beach, Wote Tumekesha!Na wafuasi wake wataambiwa wapige kura ccm.
Halafu hata kodi hawakatwi.sadaka za wajinga hizo
Ambao tulisoma, havanna, Cuba, mwamposa ni njia tu ya kupitishia hizo pikipiki, lakini hizo zimetolewa na mkuu mwenyewe!Kusaidia polisi ni kujikomba tu kwa watawala. Na wafuasi wake wataambiwa wapige kura ccm.
Sidhani. Kwani ni Arusha tu ametoa?Ambao tulisoma, havanna, Cuba, mwamposa ni njia tu ya kupitishia hizo pikipiki, lakini hizo zimetolewa na mkuu mwenyewe!
Anajua chapati, chaapatiHukumuona RPC wa Dar akitoa shukraninkwa Mwamposya jinsi anavyoshirikiana na polisi na kuwapa misaada? Mwandishi wa habari nguli hata hilo.lilikupita ? Nchi hii kuna shida kubwa sana .Sasa kama hata hilo mwandishi wa habari nguli hujui na uko Dar sasa unachojua nin labda kama mwandishi wa habari nguli
KumbeWote Arusha ni ukweni kwao
This man is a good striker!, akikaa golini tu, he know well how to play!Sidhani. Kwani ni Arusha tu ametoa?
Asante kwa taarifa hii.
Asante kwa Mwamposa kulisaidia jeshi letu la polisi.
Charity begins at home!, ametoa pikipiki ngapi Kawe, Kinondoni, Dar es Salaam, hadi sasa aende na Arusha?. Isije kuwa ametoa Arusha kwa sababu ya Makonda ni RC!.
P
[/QUOTE
Kwani Arusha ni nchi gani? And where is his home? Huwezi mpangia mtu home au wapi atoe msaada. Au atoe kwa nani.