Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Asante kwa taarifa hii.
Asante kwa Mwamposa kulisaidia jeshi letu la polisi.
Charity begins at home!, ametoa pikipiki ngapi Kawe, Kinondoni, Dar es Salaam, hadi sasa aende na Arusha?. Isije kuwa ametoa Arusha kwa sababu ya Makonda ni RC!.
P
Kwani arusha ipo nchi gani? But pia kutoa mtu anatoa anapo feel. Huwezi mpangia atoe wapi. Kuna wazungu na waarabu wanakuja toa msaada africa na kwao hawajawahi kutoa. Pesa ni zake asipangiwe atoe wapi au kwa nani.