Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Kwa nini utoe pesa?Makanisani na misikitini tunachangia makanisa mangapi yamerudisha pesa kwa jamii kutoa huduma za bure kabisa ziwe shule,hospitali,polisi nk bure? Nitajie kanisa mojawapo linalopokea sadaka kwa waumini likatoa kitu bure kwa jamii au polisi
Naomba jina la hilo kanisa au msikiti kuwa OK tumepokea sadaka kwa jamii sasa tuirudishie jamii kiasi cha sadaka asilimia fulani ziwe za kweli au kutapeli warudishe kwa jamii bure bila kuwadai hata mia kama alivyofanya Mwamposya kwenye pikipiki