Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Ukiangalia hizo screenshot, kuna moja mwanamke kalipokea kwa furaha kama unavyoeleza, nadhani alikuwa kishachoka.Unaweza kutuma hivyo ukashangaa unajibiwa "bora umejiongeza nilikuwa natafakari tutaachana vipi, haya mahusiano mema" πππ
Ukaanza kubembeleza π
ππππDah
Ndo alikujibu hivyo? π₯ Muongo huyoWewe nimeshakuambia ukiniacha ninunulie na jeneza maanake nitakufa hapo hapo.
Tunavyofanya hutaweza....Nyinyi mashangazi huwa mnafanyaje βΊοΈβΊοΈ
kwasababu unajua lazima uachwe najua jamaa linatafuta sababu hivyo ukigusa tu linachomoa waya..π€£Huu ujinga siwezi hata kujaribu.
Wengi wanaoogopa ni wazi wanajua wataachika TU hivyo hawawezi kuharibu hata kidogokwasababu unajua lazima uachwe najua jamaa linatafuta sababu hivyo ukigusa tu linachomoa waya..π€£
Kuna watu hawajaribiwiMichezo ya watoto hii, usijaribu hovyo hasa kama ni 25+ utaharibu mahusiano yako mazima.
Unaonaje sasa ukanikaribisha,,, Angalau na mimi nilambe buyu la asali ππππ.Tunavyofavyofanya hutaweza....
Wewe endelea na hii michezo yenu..
Sisi kama familia ya Jamiiforum tupo na ww mkuu πKaka mwez wa 12 Mungu atupe uhai
Kama mahusiano yako hayana afya sishauri vijana wafanye hivyoπUkiangalia hizo screenshot, kuna moja mwanamke kalipokea kwa furaha kama unavyoeleza, nadhani alikuwa kishachoka.
Kuna demu mmoja ana matusi huyo, anataka kitu ndiyo wavunje relation, ni mhuni af mbabe.
Wengine wote ni mwendo wa kulilia love, ingawa zimejirudia rudia.
Nimeichukua huko mjini X (zamani Twitter )
View attachment 3126901View attachment 3126903View attachment 3126904View attachment 3126905View attachment 3126907View attachment 3126909View attachment 3126910View attachment 3126912View attachment 3126914View attachment 3126914View attachment 3126915View attachment 3126917View attachment 3126918View attachment 3126919View attachment 3126921View attachment 3126923