Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

Totoz zimejaa UDOM jamaa angekua anajifariji kwa kupiga threesome daily tena kwa hela ndogo tu unaendana nao hadi ngorongoro....hivi haya maisha watu hawajuagi namna ya kuyala eh..
Mkuu 3some inaliwa ukiwa na free minded.
Lakini kama umetendwa na 'yamekutachi' baba, jongoo linatelezaga kupanda mtungi.
 
Mwanamke mmoja kafanya wanawake wote tuonekane hatuna thamani mbele ya wanaume, mkiwa mnatoa dukuduku mseme baadhi maana kuna wanawake kama mama zenu walivumilia tabu za baba zenu mpaka kuwakuza nyie mnaotukana wanawake wote.
 
Haya mambo ni kutishana jamani. Eeh!
 
Siku zote nasema.
Oa rafiki yako
Oa mtu wa kwenu
Oa mwanamke msiyepishana umri sana
Mila na desturi zizingatiwe
Usioe ukoo au jamii yenye malaya wengi
Usioe mwanamke mpumbavu
Usioe ili umalize matatizo yako ya pesa

Kwa ushauri zaidi njoo pm
Umesema kwa msaada zaidi!?

Unao wanawake wanaofaa kuolewa?
Au ni msaada gani ulionao?
 
Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Kwa mujibu wa sheria ipi na ya Nchi gani?
 
Naona mama wa nyumbani umekuja kujitetea fasta fasta.
Asichokijua ni kwamba wanaangalia mali walizochuma wakiwa pamoja na ushiriki wa kila mmoja kwenye kuchuma mali hizo.
 
Uzuri wa huu udhulumati laana hii itamkuta huyo boss wake na yatamkuta mara elfu ya haya aliyomfanyia mwenzie!
 
angemsahau tu aendelee na maisha yake, mke akishaanza kiburi ndani timua


Usimtimue, mpishe kaanze maisha yako kivyako, kuna thawabu utaipata, dhamira itamshitaki atajutia maamuzi yake
 
Mwanamke mmoja kafanya wanawake wote tuonekane hatuna thamani mbele ya wanaume, mkiwa mnatoa dukuduku mseme baadhi maana kuna wanawake kama mama zenu walivumilia tabu za baba zenu mpaka kuwakuza nyie mnaotukana wanawake wote.
kizazi hiki sio kilichopita
 
Nikiwa kama private investigator hii story naihisi iko kinyume na ulivyopata story, itakua ww unajua kuhusu kifo cha jamaa au jamaa kakupa story ya uongo ili kuficha ukweli, kwa mtazamo wangu Huyo jamaa hakujiuwa ameuliwa

I was thinking the same
 
Kwa mwanaume rijali ni muhimu sana kugonga nje japo mwaka Mara 2/3 tena demu mkali itasaidia kujiweka sawa kiakili na kimwili siku ukimfumania mkeo
 
Boss mmoja inadaiwa Mkurugenzi akamtamani mke wa jamaa(marehemu) mara kidogo jamaa akatumwa kufanya kazi nje ya nchi huku bongo boss akaanza kumgegeda wife wa mchizi.
Paukwa pakawa
 
Ebhana ndioo..[emoji2]
Totoz zimejaa UDOM jamaa angekua anajifariji kwa kupiga threesome daily tena kwa hela ndogo tu unaendana nao hadi ngorongoro....hivi haya maisha watu hawajuagi namna ya kuyala eh..
 
Back
Top Bottom