Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒😒
 
Braza kosa halihalishi kosa elewa mwanamke anayefanya kazi ana nafasi kubwa sana ya kugongwa mpini kutokana na anazo opportunities nyingi sana atakazoahidiwa na akaziamini kutokana na wale wanomwuahidi anaona kweli wanaweza kumpa pia kutokana na kuona kweli ana-fit ktk kile alichoahidiwa so haoni hatari kuchanua paja.

Hao wasiofanya kazi sisemi hawafanyi wanafanya kwa hobby tu au tamaa ila kama ana kila kitu sidhani kama atajaa kirahisi,pia nisieleweke vibaya,sijasema mkeo asifanye kazi ila afanye kazi utakayompa wewe na hadi ibidi kama ukiwa na uwezo.

Bro usijidanganye.

..........Mwanamke kama ni malaya ni Malaya tu, awe mama wa nyumbani au mtumishi.

Nakumbuka humu Jamiiforums kuna Dada yetu alileta Uzi kuwa anamtamani mwendawazimu anayemuona akiwa uchi njiani anakopita akienda na kurudi kazini, Dada zetu akili zao wanazijua wenyewe.
 
Dah! Jamaa katuangusha sana watu wa kule .....alishindwa hata kuwasambaratisha kwa radi ya kuangazi?
 
..................Hii yote inatokana na huu ujinga β€œMke wangu anafanya kazi ili tusaidiane maisha”!!!well atakusaidia mpaka kuwahi kuuona udongo na eleweni hakuna duniani kitu kama hiko.

Vijana mkiendelea kukimbia majukumu yenu mliyoandikiwa kwamba mtatafuta ridhiki za familia zenu huku wake zenu mliowaowa wakiwazalia watoto na kuwaangalia kwa ukaribu majumbani mwenu basi mtagongewa sana na mtakufa na kuuwa mpaka akili zenu ziwakae sawa.

Kizazi hiki kinataka kupambana na nature jambo ambalo ni kosa kubwa sana
Kuna wanawake wapo nyumbani tu hawana kazi yoyote lakini wanagongwa sana. Wewe unaenda kazini asubuhi, jamaa anaingia kupiga mzigo. Nina ushuhuda kabisa
Hawa wanawake wasikie tu. Wewe unaweza usijue chochote lakini majirani zako wote wanajua michezo ya mkeo.
 
Nikiwa kama private investigator hii stry naihisi iko kinyume na ulivyopata stry, itakua ww unajua kuhusu kifo cha jamaa au jamaa kakupa stry ya uongo ili kuficha ukweli, kwa mtazamo wangu Huyo jamaa hakujiuwa ameuliwa
Sasa wewe ndio unaujua ukweli...nimeangalia comment za wengi humu naona kawapotosha kwel, DEO aliuliwa mana kuna ufisadi aliujua pale ofisin haraf alikuwa anachapiwa mkewe na aliefanya ule ufisadi kwa hiyo muda wowote alikuwa anaitema report wakaona suluhisho ni kumuondoa
 
Ndo tatizo la kutokuwa na michepuko hilo ,jamaa angekuwa na michepuko wala asingewaza chochote angamtema kiroho safi na kuendelea na maisha
Ushamba mwingine ni wa kumsomesha mke.

Imekuwa kama laana vile, kila anayemuinua aidha mchumba ama mke kwa kumpiga kitabu kwa minajili ya kuboresha future zao, lazima tu atendwe, yaani ni wengi mno wanaolizwa.

Wanaume dumisheni mifumo dume kwenye ndoa zenu, ndiyo uAfrika huo, uZungu acheni.
 
Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Hayo uliyoyasema yapo kweli, lakini pia mahakama inaangalia ni nani aliyeanza kuitikisa ndoa.
 
Bro usijidanganye.

..........Mwanamke kama ni malaya ni Malaya tu, awe mama wa nyumbani au mtumishi.

Nakumbuka humu Jamiiforums kuna Dada yetu alileta Uzi kuwa anamtamani mwendawazimu anayemuona akiwa uchi njiani anakopita akienda na kurudi kazini, Dada zetu akili zao wanazijua wenyewe.

Miss Natafuta
 
Back
Top Bottom