Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
This is not fair, hii katika dini ya kiislamu ipo wazi kabisa, namna ya mgawanyo wa maliHakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu