FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Kwani si kafa juzi tu.. hao waliyafanya hayo akiwa hai..Jpm angekuwepo angezitapika
Ndio mjue tu watu wameiba sana sana wakati wake Yawezekana kuliko kipindi kingine kile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si kafa juzi tu.. hao waliyafanya hayo akiwa hai..Jpm angekuwepo angezitapika
Kuna kausemi kako "Mimi sio askari"Mkuu, inaweza kuwa ni kweli au majungu tu. Ila kama ni kweli basi Afrika tuna safari ndefu sana mpaka kufikia maendeleo
Ndio mkuu mimi ni raia tuKuna kausemi kako " Mimi sio askari"
Inawezekana ni majungu lakini binafsi kuna mzee namfahamu alikuwa ana miezi kadhaa kabla ya kustaafu. Kwao ni Morogoro, lakini alifanyiwa mpango akahamishwa Bukoba, akapewa hela ya Transfer kwenda Bukoba, of course alienda peke yake akapanga room 1 baada ya muda mfupi akastaafu, akalipwa tena hela ya usafiri kurudi Morogoro. Alivuta kama 30M extra kwa huo mchezo, na hapo ofisini HR wanafanya hako kabiashara na watu wanaokaribia kustaafu.Mkuu, inaweza kuwa ni kweli au majungu tu. Ila kama ni kweli basi Afrika tuna safari ndefu sana mpaka kufikia maendeleo
Mashirika mengi huwa wanafanya hivi Ili kuwasaidia wastaafu maana mtaani kigumu na upatikanaji wa mafao ni kizungumkuteInawezekana ni majungu lakini binafsi kuna mzee namfahamu alikuwa ana miezi kadhaa kabla ya kustaafu. Kwao ni Morogoro, lakini alifanyiwa mpango akahamishwa Bukoba, akapewa hela ya Transfer kwenda Bukoba, of course alienda peke yake akapanga room 1 baada ya muda mfupi akastaafu, akalipwa tena hela ya usafiri kurudi Morogoro. Alivuta kama 30M extra kwa huo mchezo, na hapo ofisini HR wanafanya hako kabiashara na watu wanaokaribia kustaafu.
Resources zipo, ila matumizi ndio laana tupu.
Jpm angekuwepo angezitapika
Unachukuaje fuso kuhama ofisi , ? maana haingii akilini ati alihama na makaziHalafu milioni zetu fudenge hawataki kutoa mpaka ufikishe miaka 55 halafu wao wanapewa mili 26 kutoka posta hadi kinondoni wakati pale ukichukua fuso haizidi laki usafiri.
Kwa nchi hii shamba la bibi,hata wewe ukipata mwanya piga sana. Yeyote unaemdhania ni mzarendo nyuma ya pazia ni mpigaji hatariIla wabongo ni wezi aisee
Ova tumelaaniwa
Wapigaji kuanzia viongozi hadi wafanyakazi wa kawaida
"Kidumu chama cha mapinduzi"Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Cha ajabu tuna hasira ya kuwaua vibaka wanaiba simu na kuku tu.Ila wabongo ni wezi aisee
Ova tumelaaniwa
Wapigaji kuanzia viongozi hadi wafanyakazi wa kawaida
Ndiyo maana bwana yule aliiba peke yake, wezi wengine wote aliwaita mafisadi.Kwa nchi hii shamba la bibi,hata wewe ukipata mwanya piga sana. Yeyote unaemdhania ni mzarendo nyuma ya pazia ni mpigaji hatari
Kwa hiyo alihama kutoka wilaya ya Ilala kwenda wilaya ya Kinondoni? Kwani taratibu za uhamisho zinasemaje? Anastahili kulipwa nini anapohama wilaya?Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Ndiyo maana bwana yule aliiba peke yake, wezi wengine wote aliwaita mafisadi.
Hahahaha we jamaa una dataKuna mtu alistaafu ppf sasa kaajiriwa kama principle accountant nssf,
Nasubiri kwa hamu kimbembe chake