Tetesi: Mtumishi wa NSSF alilipwa milioni 26 za uhamisho akitokea HQ Posta kwenda ofisi za NSSF Kinondoni Dar

Tetesi: Mtumishi wa NSSF alilipwa milioni 26 za uhamisho akitokea HQ Posta kwenda ofisi za NSSF Kinondoni Dar

Si tulikubaliana Ufisadi wote uliisha kwenye Serikali ya Shujaa wa Afrika?
Vita ya ufisadi ni endelevu, ndiyo maana mahakama zakushughulikia mafisadi hazijafutwa, na ilani ya CCM ya 2020 inazidi kusisitiza mapambano dhidi ya ufisadi.

Ukumbuke neno ufisadi ni neno la jumla linalojumuisha maneno ya wizi, rushwa,uzandiki, utapeli, na mengine kama hayo. Katika jamii inayoishi mambo haya udhibitiwa, lakini ni nadra sana kuyaondoa kabisa.

Leta swali lingine.
 
Ndo hivyo Erio aliwabeba ppf,
Mkurugenzi wa fedha alopo nssf kwa sasa kashindwa kumudu nafasi yake hadi kuweka consultant ambae alikua DF ppf na baada ya kuona hali tete kufunga hesabu kaamua kumuajiri ex DF wa ppf(consultant) kuwa principle accountant cha ajabu zaidi kamhamisha chief accountant toka ofisi yake na kumuweka huyo P/accountant Mzee Mmari.
Mmari, Mmari narudia tena Mmari kimbia kikombe hicho kiache
Hahahaha we jamaa una data
 
Mbwembwe tu hizo mbona yeye mwenyewe JPM alishindwa kutapika 1.5 trillion alishindwa kutapika hela za kivuko kibovu kilichonunuliwa akiwa waziri wa ujenzi tena wizara yake ndiyo ilikinunua? alishindwa tapika nyumba aliyompa hawara yake?
Duuuh 🚶🚶🚶
 
Huu Sasa Ndiyo Ukwapuaji Wa Cash Sehemu Ya Daladala Ya Tshs 500/-
Kapewa Mzigo Wote!!!! 🖒😅😁😀Viongozi Wapo
 
Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.

Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Huyu bwana Fungo[emoji48][emoji48][emoji48]Hivi na Erio alikua anajilipa 30m per months zilikua za nini vile[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Kwa hiyo alihama kutoka wilaya ya Ilala kwenda wilaya ya Kinondoni? Kwani taratibu za uhamisho zinasemaje? Anastahili kulipwa nini anapohama wilaya?
Kwa hiyo wafanyakazi wa NSSF wanaokaa nyumba za NSSF wilaya ya kinondoni wanaofanya kazi makao makuu yaliyoko wilaya ya Ilala huwa wanalipwa perdiem kila siku wanapoenda kazini?
 
Back
Top Bottom