Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh zamani wanawake walikua wakifunua chupi unaona tako,siku hizi wanafunua tako uone chupi(bikini).
Baada ya kulipwa malimbikizo ya mshahara [emoji23] [emoji23]Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.
Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?
Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
Kwa mshahara wa chini ya 3M, na bila mikopo, lazima Uwe mwiziHii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.
Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?
Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
Hujajenga hoja!Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.
Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?
Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh zamani wanawake walikua wakifunua chupi unaona tako,siku hizi wanafunua tako uone chupi(bikini).
Kaanza kutunanga aiseeBaada ya kulipwa malimbikizo ya mshahara [emoji23] [emoji23]
Nchi ngumu sana hii kakaKaanza kutunanga aisee