Mtumishi wa umma kutokuwa na gari na nyumba nzuri ni ujinga wake binafsi

Mtumishi wa umma kutokuwa na gari na nyumba nzuri ni ujinga wake binafsi

Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.

Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?

Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
Vipaumbele vinatofautiana!!

Mmoja anafanya biashara amepanga!

Mwingine anajenga nyumba za kupangisha hanunui gari!

Mwingine anaweka fedha fixed akaunti Kwa miaka karibu kumi ni millionea kapanga!

Mwingine kaamua kusoma tu anaunganisha ma masters, PhDs n k
 
Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.

Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?

Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
Kabla ya kuendelea na uzi wako tutajie gari nzuri na nyumba nzuri ndio zipi,na thamani yake...
 
Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.

Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?

Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
Bado kidogo utaanza kuuulizia dagaa wa nyama.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.

Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?

Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
Kuna taasisi zingine za uma maslahi si mazuri sana ,mtu anafamilia ,anasomesha ,anandugu .sasa usiseme hayo
 
Back
Top Bottom