Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Na usikute labda alikuwa na mpango mwingine tena wa kupenyeza kitimoto msikitini.

Nalo akalitekeleza!"

Kama huoni sababu ya kusimamishwa kazi utakuwa ni kipofu!

Kama ndo mfanyakazi wako labda wa dukani kwako, anafanya kama huyo alivofanya.
Na ktk hilo duka nusu ya anaowauzia ni waislam.

Bado utaendelea kumuona anafaa!?
Hiyo JUZUU si ni maandishi tu kwani ina nini cha mno sana!?

Ni kweli kijana kakosa busara lakini hili sio kosa la kusimamishwa kazi.

Kukosa busara sio jinai wala sio kosa la kimaadili.

JUZUU ni ya kwake mwenyewe ana uamuzi hata wa kuinyea na kuikojolea!



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Redmi Y2
 
Anaonekana kalewa au Kachanganyikiwa law waliotazama video

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikunywa kupata sababu ya kutenda uovu wake.
Alhamdullillah, Subra imefanya kazi yake.
Usikasirike, usikasirike,usikasirike...Huu ni usia wa Mtume wetu Muhammad(SAW) kwa waisalmu wa dunia nzima.
Tusome Tabatiada x 3, na tumuachia Allah aamue kinachomstahiri.
Ammin
 
Wafikiri kama waislamu,wangechukuwa sheria mkononi,ungeandika hayo?Si ungeandika mabaya kwa uislamu na waislamu.Hapa ni kuwasifu waislamu,kwa kutochukuwa sheria mkononi,na ndio uislamu unavyotakiwa,kuweka mazingira ya amani.
Hiyo JUZUU si ni maandishi tu kwani ina nini cha mno sana!?

Ni kweli kijana kakosa busara lakini hili sio kosa la kusimamishwa kazi.

Kukosa busara sio jinai wala sio kosa la kimaadili.

JUZUU ni ya kwake mwenyewe ana uamuzi hata wa kuinyea na kuikojolea!



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timamu kichwanin hawezi fanya alichofanya,Watanzania tunaishi kwa upendo na kusaidiana..
 
Back
Top Bottom