Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Kuna ugonjwa wa kawaida na magonjwa ya mlipuko,tofautisha
Kwa hyo Tanzania kwa kua hatuunajisi uislam hakuna magonjwa, watu wote ni wenye afya na wazima tele.

Saudi Arabia, Yemen, Iran, Iraq ambao nsio msingi wa uislam wao hawana magonjwa, watu wote ni wazima kabisa wa afya.

Hivi ukiwa mfuasi wa hii dini akili hua zinafubaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu japokuwa hajuani lakini unatakiwa ujue kwamba kuna sheria na kuna order, sheria atakama haipo haiwezekani mtu ana hatarisha amani ya inchi alafu unazungumzia sheria. Ebu sema hapa wapi umewahi kuona waislam wanachana bibilia? Kama ameweza kuchana Qur'an manaake ata kuua anaweza na kama ameweza kufanya hilo jje ukimukuta ofisini na wewe niwa imani nyingine ataweza kukupa huduma?
Mkuu mimi nakubaliana na wewe kwa mengi tu, huyu mdau kakosea tena sana.
tatizo sheria haisemi lazima asimamishwe kazi huku akiendelea na kesi kwa muda namna hii, sheria imeweka muda wa kusimamishwa kazi au kufukuzwa kazi akiwa na kesi muda mrefu au kifungo muda mrefu.
Nadhani haipungui miezi 6[sina uhakika].

Alichofanya Jaffo huyu kijana akiamua kuishitaki serikali anaweza kushinda kesi akalipwa pesa nyingi.

Napenda nirudie kusema jamaa aliechana kitabu cha korani amekosea sana tena sana, uzuri ipo sheria itakayo mchukulia hatua na tayari kashafikishwa mahakamani.
 
Na hakuna muislamu,aliwahi kuchana Biblia,wala kufungia kitu,wala maandazi wala samaki.Kumbuka wafanyabiashara ndogo ndogo wengi ni waislamu,lakini hutaona karatasi ya Biblia amefungia hata kashata au samaki wa kukaanga,na wako makini sana,wakiona kitabu cha Biblia wanakihifadhi mahali pazuri.
Lini umesikia wakristu wakipigizana kelele mtu kuchana biblia?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hoja yako hasa ni ipi?
Vifungu alivoviweka vimekosewa? Au sio vya kweli?
Au hujapenda tu vifungu kuwekwa hadharani kwasababu tu kuna watu wamesomea miaka minne na wapo kimya?

Elimu bila kuelimika!
Ndio muache kiherehere cha kupesti sheria na kuzipachika mitandaoni!

Hiyo ni taaluma ya watu wanakaa darasani miaka nane na zaidi kujifunza!

LLB miaka minne, PGLDP mwaka mzima, Ofisi ya mwansheria mkuu wa serikali mwaka mzima, LLM miaka miwili....na LLD.

Wewe mbumbumbu ngumbaru standard two failure unakimbia google unakopi na kubandika tu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Redmi Y2
 
Huyu jamaa atakuwa na matatizo ya akili
 
Kosa alilotenda halihusiani na Kazi yake, hilo nikosa kalitenda uraiani yeye Kama yeye, kisheria anapaswa kushughulikiwa Kwa utaratibu nje ya Kazi yake, hivyo ukimfukuza Kazi akaja kukushtaki anadai fidia unalipa hilo liko wazi maaana Hakuna kosa lolote alilo tenda eneo la Kazi au linalohusiana na Kazi Ya mwajiri wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utumishi wa serekali ni kwa umma kwahiyo mtu akifanya kitendo kama hicho niubaguzi wa halo ya juu ambacho kinaweza kuleta chuki badae uvunjifi wa amani katika inchi, na kama haja vunja sheria yeyote kumbuka kesi za uchochezi zipo pia kuna maadili ya kazi. Mtu kama wewe anaeandika vzuri kutoa mandishi kama haya huoni kama huu niuchokozi na kukopi mambo ya Mwamposa? eti kisa yule kasa7bisha vifo na hakufanyiwa chochote.
 
Hivi hapo kuna sheria yoyote ya kazi aliyokiuka. Mimi nadhani kukamatwa ni sawa ila kusimamishwa kazi inahusianaje na hilo tukio. Lazima viongozi wetu wawe wanaangliq sheriq zaidi badala ya utashi wao binafsi
ukisema usubiri vifungu vya sheria na kushindwa kutumia akili/busara ndio unakuta watu wanauwana wenyewe kwa wenyewe Arusha huko.
 
Ni kifungu gani cha sheria za kazi alichovunja mtumishi aliyesimamishwa kazi? Wewe taja tu kifungu tumalize mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifungu cha mwamposa labda mkuu unakitaka...!!..bahati nzuri waislamu siku hizi mambo ya mihemko wametupilia mbali...wanaacha wauane wenyewe kwa wenyewe kupitia Mwamposa!HAHAAHAHHAHA
 
Hiyo JUZUU si ni maandishi tu kwani ina nini cha mno sana!?

Ni kweli kijana kakosa busara lakini hili sio kosa la kusimamishwa kazi.

Kukosa busara sio jinai wala sio kosa la kimaadili.

JUZUU ni ya kwake mwenyewe ana uamuzi hata wa kuinyea na kuikojolea!



Sent using Jamii Forums mobile app
bendera ya taifa letu kachome au ichanechane kisha utapata jibu.sisi waislam hicho alichochana huyu muhuni punguwani ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom