Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Tuwekee kifungu cha sheria kinachoonyesha hayo aliyotenda ni kosa la jinai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo JUZUU si ni maandishi tu kwani ina nini cha mno sana!?
Ni kweli kijana kakosa busara lakini hili sio kosa la kusimamishwa kazi.
Kukosa busara sio jinai wala sio kosa la kimaadili.
JUZUU ni ya kwake mwenyewe ana uamuzi hata wa kuinyea na kuikojolea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kama yeye haamini kama kuna Mungu na kwake hicho ni kama vitabu vengine tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Nini?angechochea vurugu
Lini umesikia wakristu wakipigizana kelele mtu kuchana biblia?Thubutuuuu
Afghanistan imechafuka japo asilimia 99 ya waumini wake ni dini moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo inavyofundishwa?Ana bahati alikuwa amezungukwa na mabwege wakati akifanya upuuzi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikunywa kupata sababu ya kutenda uovu wake.
Hiyo JUZUU si ni maandishi tu kwani ina nini cha mno sana!?
Ni kweli kijana kakosa busara lakini hili sio kosa la kusimamishwa kazi.
Kukosa busara sio jinai wala sio kosa la kimaadili.
JUZUU ni ya kwake mwenyewe ana uamuzi hata wa kuinyea na kuikojolea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja wajeMimi naona wangempotezea tu kwani hamna nakala nyingine za hiko kitabu hapo kilosa?
Uvunjifu wa amani upo kwenye sheria za kazi?
Yule wa Morogoro aliyesema Yesu si Mungu mahakama ilimwachia huru. Nadhani na huyu naye itakuwa ivo ivo!!Hapo kinywaji kishamtoka kichwani,anajilaumu kwa utumbo aliofanya...