Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Ukichukuwa sheria mkononi unakuwa muhalifu utasakwa na utakamatwa ufungwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo Tanzania kwa kua hatuunajisi uislam hakuna magonjwa, watu wote ni wenye afya na wazima tele.
Saudi Arabia, Yemen, Iran, Iraq ambao nsio msingi wa uislam wao hawana magonjwa, watu wote ni wazima kabisa wa afya.
Hivi ukiwa mfuasi wa hii dini akili hua zinafubaa?
Umewahi kuona mtu amekamatwa kwa sababu amechoma zana za waganga au wachawi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nakubaliana na wewe kwa mengi tu, huyu mdau kakosea tena sana.Mkuu japokuwa hajuani lakini unatakiwa ujue kwamba kuna sheria na kuna order, sheria atakama haipo haiwezekani mtu ana hatarisha amani ya inchi alafu unazungumzia sheria. Ebu sema hapa wapi umewahi kuona waislam wanachana bibilia? Kama ameweza kuchana Qur'an manaake ata kuua anaweza na kama ameweza kufanya hilo jje ukimukuta ofisini na wewe niwa imani nyingine ataweza kukupa huduma?
Huyo mtumishi amevunja kifungu kipi cha sheria za kazi? Unaweza kututajia hicho kifungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaoamini wakiharibu vitabu au vitu vingine vya wasioamnini kama vya waganga,wachawi na washirikina nao wakamatwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio muache kiherehere cha kupesti sheria na kuzipachika mitandaoni!
Hiyo ni taaluma ya watu wanakaa darasani miaka nane na zaidi kujifunza!
LLB miaka minne, PGLDP mwaka mzima, Ofisi ya mwansheria mkuu wa serikali mwaka mzima, LLM miaka miwili....na LLD.
Wewe mbumbumbu ngumbaru standard two failure unakimbia google unakopi na kubandika tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utumishi wa serekali ni kwa umma kwahiyo mtu akifanya kitendo kama hicho niubaguzi wa halo ya juu ambacho kinaweza kuleta chuki badae uvunjifi wa amani katika inchi, na kama haja vunja sheria yeyote kumbuka kesi za uchochezi zipo pia kuna maadili ya kazi. Mtu kama wewe anaeandika vzuri kutoa mandishi kama haya huoni kama huu niuchokozi na kukopi mambo ya Mwamposa? eti kisa yule kasa7bisha vifo na hakufanyiwa chochote.Kosa alilotenda halihusiani na Kazi yake, hilo nikosa kalitenda uraiani yeye Kama yeye, kisheria anapaswa kushughulikiwa Kwa utaratibu nje ya Kazi yake, hivyo ukimfukuza Kazi akaja kukushtaki anadai fidia unalipa hilo liko wazi maaana Hakuna kosa lolote alilo tenda eneo la Kazi au linalohusiana na Kazi Ya mwajiri wake
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaMimi naona wangempotezea tu kwani hamna nakala nyingine za hiko kitabu hapo kilosa?
ukisema usubiri vifungu vya sheria na kushindwa kutumia akili/busara ndio unakuta watu wanauwana wenyewe kwa wenyewe Arusha huko.Hivi hapo kuna sheria yoyote ya kazi aliyokiuka. Mimi nadhani kukamatwa ni sawa ila kusimamishwa kazi inahusianaje na hilo tukio. Lazima viongozi wetu wawe wanaangliq sheriq zaidi badala ya utashi wao binafsi
Kifungu cha mwamposa labda mkuu unakitaka...!!..bahati nzuri waislamu siku hizi mambo ya mihemko wametupilia mbali...wanaacha wauane wenyewe kwa wenyewe kupitia Mwamposa!HAHAAHAHHAHANi kifungu gani cha sheria za kazi alichovunja mtumishi aliyesimamishwa kazi? Wewe taja tu kifungu tumalize mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeye aliyemruhusu kuchana hicho kitabu ndio nami ataniruhusu nimtoe uhai wakeKwa kosa gani na nani alikupa mamlaka ya kuondoa uhai wa binadamu mwenzako?
Sent using Jamii Forums mobile app
UMECHELEWA MKUU ULIKUWA WAPI?...MBONA KAISHA ONJA TAMU YAKE ANALIA TU HAPA KITUONI ASAMEHEWE
yeye aliyemruhusu kuchana hicho kitabu ndio nami ataniruhusu nimtoe uhai wake
bendera ya taifa letu kachome au ichanechane kisha utapata jibu.sisi waislam hicho alichochana huyu muhuni punguwani ni muhimu sana.Hiyo JUZUU si ni maandishi tu kwani ina nini cha mno sana!?
Ni kweli kijana kakosa busara lakini hili sio kosa la kusimamishwa kazi.
Kukosa busara sio jinai wala sio kosa la kimaadili.
JUZUU ni ya kwake mwenyewe ana uamuzi hata wa kuinyea na kuikojolea!
Sent using Jamii Forums mobile app