Hii ni mihemko isiyokuwa na maana ktk utumishi wa umma. Amemsimamisha kazi kwa kutumia kifungu kipi cha sheria za kazi? Kuna mahali pameandikwa kuwa mtumishi wa umma akichana kohorani asimamishwe kazi? Aache hizo. Analogia Malenga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe umeumbwa na Mungu lakini cha ajabu zaidi Chakula unajitafutia mwenyeweKitu cha kujifunza ni kwamba binadamu ni wajinga,hawajitambui na ni wanafiki! Kama Mungu yupo si ajitetee mwenyewe? Kwa nini watu/serekali inamtetea Mungu? Kama mtu kachana kitabu kitakatifu kilichoshuka kutoka mbinguni si waache Mungu amuadhibu jamaa!
Uhalifu upo tu ila una kipimo chake,huyu ni mtumishi wa serikali kafanya kitu cha hovyo.its shame to him.Siyo sababu kufanya uhalifu.
Dini ya mauajiinaruhusu kuua mtu kama huyu anaeidhihaki dini ya mwenzake.
Unaushaidi kwa icho ukisemacho
Tuanze na aliyempa hiyo Quran
Mkuu taratibu basi.Mimi naona wangempotezea tu kwani hamna nakala nyingine za hiko kitabu hapo kilosa?
Na bado ajiandae na ya Mungu yajayo Insha Allah hatoyasahauHuyo ni chizi hapo alipo. Anahitaji msaada na kufungwa ni kuonewa
Kitendo tu cha yeye kuwekwa mahabusu hadi kesi itakapokuja kusomwa iyo tarehe 20 ameshapoteza sifa ya kuwa mtumishi wa Umma,Ni kifungu gani cha sheria za kazi alichovunja mtumishi aliyesimamishwa kazi? Wewe taja tu kifungu tumalize mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooooh My god!! amechana heshima yake na amechana karatasi yenye maandishiya Qurani...Hyo ni Provocation isiyo na tija !! QURAAN ipo ndani ya mioyo ya Waumini na haitoweza kunyakuliwa au kuchanwa !! Tunapo hifadhi Quraan tunaiweka kifuani na kuitumikia.....Waisalm tuwe wavumilivu na tuondoe jazba !!
Uhuni huu wa uchokozi haukuanza leo.... walishindwa wengi miaka 1441 iliyopita
Tumemsamehe aalipwa na mwenye msahafu.
Walio na akili wanajuwa nini kinaendelea wasio na jicho la tatu wanaelewa kile wamekielewa pasipo tafasiri.Mtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo.
RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha Juzuu Amma ambacho ni sehemu ya Quran Tukufu.
“Maleki ni Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, alionekana akichana na kuchoma kitabu hicho Kitakatifu cha dini ya Kiislamu, kitendo ambacho kiliwakasirisha Waumini wa dini hiyo na wananchi waliokuwa maeneo hayo na kuamua kutoa taarifa kwa Polisi” RPC Mutafungwa.
Muheshimiwa Jafo amesema, Mtumishi huyo yuko chini ya ofisi ya Rais na jambo alilofanya halileti afya kwa jamii. Muheshimiwa Jafo amemtaka mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilosa kumsimamisha kazi mtumishi huyo pia afanye uchunguzi na kamati au mamlaka yake ya nidhamu iweze kuchukua hatua kadiri atakavyoona inafaa mara baada ya uchunguzi huo
Afrika wanaishi manyani mkuu! Hao polisy kule CCcP moshi huwa wanasoma/fundishwa sana mambo ya haki za binadamu pamoja na haki za mtuhumiwa ila hapo utakuta wamempiga sana tu na kumvua viatu!Yaani ni kama mang'ombe fulani hivi ambayo hayana nyuma wala mbele!Huyo jamaa ni kwa nini hajavaa viatu?
Nani amesema ikiwa hivyo anakua ameshapoteza sifa hizo?Kitendo tu cha yeye kuwekwa mahabusu hadi kesi itakapokuja kusomwa iyo tarehe 20 ameshapoteza sifa ya kuwa mtumishi wa Umma,
Icho alichokifanya ni udhalilishaji wa kutoheshimu imani za watu wengineNani amesema ikiwa hivyo anakua ameshapoteza sifa hizo?
dodge