Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Naona hakuna anayetaja kifungu cha sheria kinachompa madaraka waziri kufanya aliyoyafanya... Wengi mmetumia hisia tu za kidini na kiimani....
 
Hakuna sheria inayomuweka hatiani atatoka ila ajifunnze kuheshimu (demokrasia) utamaduni wa wenzake asiwe na akili ya ki CCM anataka anachokipenda kila mtu apende
 
Ndio upo sahihi 100%

Otherwise sheria iwe na lake.
 
Kwenye huo umma, kuna wasioamini kinachoaminiwa na wengine kiimani
OKEY KWANINI UFANYE KILE KINACHOWEZA KULETA TAHARUKI KATIKA SEHEMU YA UMMA UNAOUNGOZA? HUONI HII SINTOFAHAMU INAWEZA LETA UTENGANO NA CHUKI?
HAPA TUNAWEZA CHUKUA MFANO WA HUKUMU ILIYOTOLEWA BRAZIL ZIDI YA FILAMU YA USODOMA ALIOFANYA YESU. SI WOTE WAAMINIO KATIKA KRISTO HIVYO WENGINE WANAMUONA YESU KAMA MR BEAN TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…