PRO 90
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 301
- 808
Aaah sist, hapo unakosea, hii statemnt sio nzuri.Wakristo akili zenu zinawatosha wenyewe. Mnakanyagana na kuuana kama ng'ombe kisa mafuta. Kufungwa huyu aliechana Qur'an imewauma zaidi kuliko yule alisababisha vifo vya watu kuachiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana huko kukanyagana hata watu wakienda kuhij hufa sana na kukanyagana.
Sent using Jamii Forums mobile app