Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Wakristo akili zenu zinawatosha wenyewe. Mnakanyagana na kuuana kama ng'ombe kisa mafuta. Kufungwa huyu aliechana Qur'an imewauma zaidi kuliko yule alisababisha vifo vya watu kuachiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah sist, hapo unakosea, hii statemnt sio nzuri.
Maana huko kukanyagana hata watu wakienda kuhij hufa sana na kukanyagana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alitaka ajue Kama kunamadhara yakuchana kama alivyoambiwa atakuafa matokeo yake amejikuta hapambani na Qurani ambayo aliambiwa itamuua ameanza kupambana na waziri Jafo.
Mimi ningekua muumini WA dini yoyote ningemuacha Mungu ninayemuamini ajitetee.
Kama kaburi tu la Kiyeyeu Pale Iringa lilijitetea Sembuse Mungu?
Tuache kumdhalilisha Mungu kwamba anatetewa na waziri na Mahakama mtawafanya atheist wawacheke waumini.
Mkuu,,mwishoe nitakutukana tusi baya ujue! Nimishakuambia usiifananishe Quran na vijitabu vyenu, au Bible yenu..cjui kama umenipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hafurahishwi na hicho kitendo mbona unamtetea alie fanya hicho kitendo cha kijinga?
Ndiyo maana nikakuomba uonyeshe huo mstari unaoonyesha mimi kutetea huyo jamaa alifanya hivyo. Hebu fikiri kuhusu hili, inadaiwa huyomtu alikuwa anabishana na watu kablaya kuchana hicho kitabu. Kwa namna yoyote ile ni lazima alikuwa anabishana na watu wanaoamini kitabu hicho na wakaamua kukubaliana kuwa afanye hivyo ili wathibitishe matokeo ambayo walikuwa wanabishana kuyahusu. Hapo utaona huyo mchanaji na aliokuwa anabishana nao wote ni wapuuzi. Dini si mbaya ila ulevi wake.

NB: samahani kama unakwazika kwa maandishi yangu, nafahamu jinsi imani inavyouma lakini hayo ni maoni yangu tu. Unaweza kuyapuuza kama kwako ni upumbavu.
 
Ukiwa na hela waweza kuanzisha dini, na hata ukijiita mungu watu watakuamini/
 
Unachanganya kwa mifano isiyoendana fedha na bendera ya taifa ni alama za taifa, sheria inasema hivyo ukichana au kudhalilisha ni kosa kisheria. Hii ni kwamujibu wa civics tuliyofundishwa form one.
Sasa vitabu vya dini na vingine vyote havina sheria inayolazimisha mtu avitunze kikubwa asichafue mazingira akiwa anavichoma au kuvichana.


Sent using Jamii Forums mobile app


Wakristo mnatabu, yani mnatetea upumbavu,,,nyie ni viumbe wa type gani lakini! ndio maana profesa mazinge huwa anawashushua.
 
Mimi naamini ingechanwa biblia wala hakuna ambae angemind, coz zipo nakala kibao.
Sema wafuasi wa dini ya munyazi mungu wana shida sana.

Wakristo wangechukulia huyo ni mpuuzi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hakuchukuliwa nabii tito kuwa ni mpuuzi?

Hapa hoja ni kukashifu dini ya upande fulani.tena huyu ni mkristo kakashfu uislamu.

Ila nabii tito alikuwa mkristo mwenzenu.kwa nini hakupuuzwa na alipokuwa amepwwa adabu hamkukemea na kusema aachiwe tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu tuache utumwa ,kabla ya kuja hawa waarabu na wamisionari ambao waliletwa ukristo sisi waafrica tulikua na imani zetu,naona jamaa kafanya jambo analoamini wamuachie tu aendelee na kazi na maisha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom