Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Kosa kulingana na kifungu kipi cha sheria za nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jifunzeni kujua mambo na kuwa na wivu wa kutaka kujua jambo, mpaka umewekewa tangazo la RPC na kosa hilo ni la jinai na ukiwa mtumishi wa serikali lazima usimamishwe kaz hasa inapotokea umefikishwa mahakamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuguswa na muislamu yoyote.Hapo ndio ujuwe Qur'an,imefanyakazi yake,huko kuchana hicho kitabu hadharani ni dalili ya kuwa,alishafanya mafichoni,sasa Qur'an imemtoa hadharani,aonekane na wengi,anayoyafanya mafichoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio lazima mtu uwe na dini kuheshimu dini za wengine. Fid Q alisema, "kama unaabudu punda nitakuletea majani." There's more to that sentence.
Fid Q ni scholar wa kusema una fanyia In text citation maneno yake kwenye comment yako?

ELIMU YA MTAA SIO SIFA UJUMBE TAALUMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WATU WASOMI NDIO HUFANYA MAMBO YA HOVYO SANA...
 
Huyo mchana Qur'an,amesumbuliwa na nani,na ametaka ajisumbuwe mwenywe,nguvu aliyotumia kuchana Qur'an,angeitumia kulima,yasingemfika hayo.
Mimi Nashangaa kwani hapo kilosa hakuna copy nyingine ya hiyo quran?
Hadi wamsumbue huyo mtu ambae anamasikitiko na majuto kibao ya kuja duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo tayari sasa keshasimamishwa kazi na yupo mahabusu kesi tarehe 20 apigwe miaka yake ajifunze adabu. Kama mmechukia sana andamaneni mumsaidie.wapumbavu wakubwa nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…