Kama kichwa cha habari kinavysomeka hapo juu
Nimetizama video ya yule kijana mchana Quran nilichogundua ni kuwa huyu jamaa alikuwa kalewa na hata hajielewi
Na hapo awali walibishana kama atachana Quran bas atakufa hapo hapo
Cha ajabu hajafa
Cha ajabu Quran imeshindwa kujitetea yenyewe hadi imetetewa na waziri
Lakin nafikiri huyu jamaa Endapo angechana BIBLE angepuuzwa tu
Na angepambana na kristo mwenyewe wala siyo na waziri
Maana BIBLE inajitetea yenyewe wala siyo na wanadam
Sent using
Jamii Forums mobile app