mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Kama unaweza Muua mwenzako kisa QURAN au BIBLE imechanwa , basi wewe ni TAHIRA, yaani Mungu atulie wewe ndio uwe kiherehere
Ndio hivyo sasa maneno hayasaidii nenda kamsaidie huyo mlevi mwenzio huko mahakamani.Kama huyo Mungu hana uwezo wa kujitetea hadi kitabu cha maagizo yake kichanwe huku amekaa kimyaaa, halafu Jafo ambaye hakuwepo ndio amfukuze kazi na bado mahakama imhukumu kifungo!! Nadhani huyo ni mungu katili sana anayeruhusu mtu kuadhibiwa mara 2 kwa kosa moja. Sio haki.
Mungu wako ahukumu kwa haki. Kwa nini asimpasue hilo domo lake au aukate huo mguu hata kwa ajali au huo mkono ulemae?? Tungeogopa kukichezea hicho kitabu kitukufu
Mungu ana njia nyingi za kuadhibu, alipigwa yesu na msalabani akatundikwa kwanini Mungu hakumtetea?Kama huyo Mungu hana uwezo wa kujitetea hadi kitabu cha maagizo yake kichanwe huku amekaa kimyaaa, halafu Jafo ambaye hakuwepo ndio amfukuze kazi na bado mahakama imhukumu kifungo!! Nadhani huyo ni mungu katili sana anayeruhusu mtu kuadhibiwa mara 2 kwa kosa moja. Sio haki.
Mungu wako ahukumu kwa haki. Kwa nini asimpasue hilo domo lake au aukate huo mguu hata kwa ajali au huo mkono ulemae?? Tungeogopa kukichezea hicho kitabu kitukufu
Na hata waislam hatufundishwi kuwa kuichana qur an unakuwa chizi, hayo ni mafundisho yasiyo sahihi ambayo wakristo mnayo, ndio maana hata mtu anaweza kuwaambia mkikanyaga mafuta mnabarikiwa na nyie mnakubali,Kiukweli hata mimi nilivyokuwa mdogo hata kuigusa tu nilikuwa naiogopa.
Tuliambiwa ukiichana tu papo hapo unakuwa chizi au unakufa ndio maana nikaiona kama kitu hatari.
Inabidi watu waelimishwe tu kuwa kiheshimiwe tu kama kitabu cha Imani ya waislam, hawana haja ya kujaribu. Ila nadhani waislam wanavyoikuza na kuongezea vitisho ambavyo sio halisi.
Watu wafundishwe kuchana Quran ni uchizi sio ukichana Quran utakufa au utakuwa mwehu Mara tu baada ya kuchana.
Binafsi ni muislam lakini naamini yule jamaa hayuko timamu kichwani, nakubali asimamishwe kazi lakini si kutiwa ndani apelekwe hoslitaliMuache asimamishwe tu hiyo kazi, ikiwezekana afutwe kabisa.
Jitu zima kuanza kuchana maandiko ya Mungu.
Mimi si muislamu ila hiki kitendo kimeniumiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?Ondoa shaka, jibu hili alafu uulize hilo swali lako..
Point of correction: Issa ndio Yesu lakini Yesu Kristo sio Issa
Kuna sheria inayoruhusu mtumishi wa umma akiwa na kesi basi asimamishwe kazi,SIONI UHUSIANO WA KUCHANWA HIYO QURAN NA KUSIMAMISHWA KAZI.
Kwani amechania ofisini huko halmashauri au katika eneo lolote la ofisi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo mikwara huwa inapigwa na waislam.Na hata waislam hatufundishwi kuwa kuichana qur an unakuwa chizi, hayo ni mafundisho yasiyo sahihi ambayo wakristo mnayo, ndio maana hata mtu anaweza kuwaambia mkikanyaga mafuta mnabarikiwa na nyie mnakubali,
Vipi kuhusu wakristo hawana mambo mengi ya kusaidiwa? Maana wayafanya yanasikitisha pia, nikupe aya kwenye qur an inayokataza albadir?Mkuu hizo mikwara huwa inapigwa na waislam.
Kumbuka zile vurugu mbagala waislam wakiiba na kuvamia makanisa.
Ulianza ubishi wa watoto Mmoja mkristo anapigwa mikwara kuwa akikanyaga /kojolea Quran atakuwa chizi, dogo anawaambia haiwezekani. Akafanya yake waislam wakajibu Kwa fujo.
Kuna mambo mengi waislam hasa wasio na ilimu wanapaswa wasaidiwe, ikiwemo na albadri
YeahBinafsi ni muislam lakini naamini yule jamaa hayuko timamu kichwani, nakubali asimamishwe kazi lakini si kutiwa ndani apelekwe hoslitali
Kuilinda haki yao au status yakoKujitetea maana yake nini? Nataka kuelewa kwanza maana ya kujitetea.
Mkuu hizo mikwara huwa inapigwa na waislam.
Kumbuka zile vurugu mbagala waislam wakiiba na kuvamia makanisa.
Ulianza ubishi wa watoto Mmoja mkristo anapigwa mikwara kuwa akikanyaga /kojolea Quran atakuwa chizi, dogo anawaambia haiwezekani. Akafanya yake waislam wakajibu Kwa fujo.
Kuna mambo mengi waislam hasa wasio na ilimu wanapaswa wasaidiwe, ikiwemo na albadri
Kwanini asiwahudumie vzr? Ila anatakiwa aondolewe hapo wasije mdhuruHivi yule jamaa chuki aliyoionesha dhidi ya kitabu cha waislam unadhani ataweza kuwahudumia vizuri waislam watakaoenda kupata huduma yake kwenye hiyo ofisi ya umma?
Inamaana hujui kwanini Afghanistan imechafuka?
Hapana, taarifa zinasema alikwenda msikitini kununua yeye mwenyewe.
Wewe nazani ni mmoja wao
Nipe aya mkuu.Vipi kuhusu wakristo hawana mambo mengi ya kusaidiwa? Maana wayafanya yanasikitisha pia, nikupe aya kwenye qur an inayokataza albadir?