Mtungie shairi lenye ubeti mmoja au zaidi mwanadada umpendaye hapa JF

Jf hatokujibu ng'o
 
Eeh demiss cha mdeko, mchuchu wangu kimwana
nalipenda lako cheko. usiyejua kununa
na huo mji mtako, nipe (penzi) ntakukuna
ni tayar kwa chochote, nimpokonye mshana.
 
Mtoto umeshepuka, kifuani saa sita
Nyuma umejaaliwa, sura nayo umepewa
Picha nikikuvutia, bafuni nakimbilia
Nyuma nakushikilia, na makofi nakupiga
Mabusu nakumwagia, ndimi twazikutanisha
Kisha nakuinamisha, kimoja nakumwagia


NB: umeshepuka = una shape/shepu nzuri.

Cc Dinazarde
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nakupenda ...ia
nisipoona post yako jf ninalia,
nazani wewe ndiyo zawadi jf iliyonipatia
avata yako inamkia, na kiblauz cha punda mlia kiufupi umejazia
mimi ni nania ndotoni unanijia unizalie watoto pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…